Mtela Mwampamba, kamatia hapohapo

Mtela Mwampamba, kamatia hapohapo

Ukiangalia kwa undani sana utagundua kuwa adhabu ile iliwagusa Mtela na Jokate kwa pamoja.
Lakini Jokate kapona kwa sababu zilizohifadhiwa.
Kitendo cha kumuambia DAS mpya nakuteua na wewe mkaanze kugombania wanaume na DC wako ni picha ya wazi kuwa DC anapenda kugombea wanaume hivyo ana tabia za Mtela naye.
Jee kwa nini DC Jokate yeye hajaguswa? Na jee kwani Jokate ni mke wa mtu kiasi cha kusababisha anayefanya mahusiano naye awe amefanya na mke wa mtu?
Maswali ni mengi zaidi ya majibu, hasa tabia hiyo ya Mtela inapoichukiza hadi Ikulu yetu na kuchukuliwa hatua hadharani bila kujali wangapi wataathirika na udhalilishaji ule
Kaka tuchati
 
Huyo DAs mtenguliwa alishindwa nini kula na kipofu? Sidhani na haiingii akilini kwamba ishu personal kama hiyo inamfikia mpaka Rais wewe hujielewi.Huyo ni kwamba alinogewa na akajisahau na akafia kwenye kidonda. Kweli huu ni ujuha.Hata kama ni kula wake za watu ni watu wangapi wanafanya hivyo na hawajulikani? Kifupi huyo ni mzembe wa hali ya juu sana japo nimetoa mawazo kwa kusikiliza upande mmoja tu wa alichokisema Mtukufu wetu. Huenda kaonewa.
Au alikula 'the forbidden apple'.
 
Ukiangalia kwa undani sana utagundua kuwa adhabu ile iliwagusa Mtela na Jokate kwa pamoja.
Lakini Jokate kapona kwa sababu zilizohifadhiwa.
Kitendo cha kumuambia DAS mpya nakuteua na wewe mkaanze kugombania wanaume na DC wako ni picha ya wazi kuwa DC anapenda kugombea wanaume hivyo ana tabia za Mtela naye.
Jee kwa nini DC Jokate yeye hajaguswa? Na jee kwani Jokate ni mke wa mtu kiasi cha kusababisha anayefanya mahusiano naye awe amefanya na mke wa mtu?
Maswali ni mengi zaidi ya majibu, hasa tabia hiyo ya Mtela inapoichukiza hadi Ikulu yetu na kuchukuliwa hatua hadharani bila kujali wangapi wataathirika na udhalilishaji ule
Hivi hizi stori za vijiweni huwa mwazitoa wapi? Kutumbuliwa kwa DAS hakufungamani na JPM wala DC, hilo ni zigo lake mwenyewe na wake za watu kama alivyosema Mh.
 
Inzi kufia kwenye kidonda si ufala....!! kamatia hapo hapo - Kisawawe si mbali - watu wanafuata mizigo Kivu regardless mabomu na milio ya risasi...acha kabisa hiyo kitu.
 
Kumwita mtu mnene "bonge"au kumwita mtu mrefu "tall" ni kashifa?
Kuna majina yanatweza, it depends, mtu mnene kuitwa bonge ni sifa akiitwa bonge nyanya ametwezwa, mtu mrefu akiitwa tall ni sifa, akiitwa ngongoti- ametwezwa!.
Kilema- mtu mwenye ulemavu
Zeruzeru- Mtu mwenye albinism
Kiziwi- Mtu asiyesikia
Kipofu- Mtu asiyeona
Bubu- Mtu asiye ongea.
Bonge Nyanya- Mtu mnene.
Ngongoti- Mtu mrefu.
Malaya- sex workers
Taahira- Upungufu wa akili
Kichaa- mgonjwa wa akili
Mwendawazimu- mtu mwenye ugonjwa wa wazimu
Etc
 
mkuu Mtela Mwampamba hakika leo umelitendea inavyofaa taifa lako, umechangia vizuri mno katika kipindi ya malumbano ya hoja ITV nakupongeza sana. achana na zile siasa zako ulizokuwa unafanya kipindi kifupi kilichopita. kwa mwendo huu ulioanza nao leo utafika mbali
Hebu acha kujipigia debe...lini utajitambua?
 
Akikujibu Pascal nitag
Alikuwa sell hivi karibuni na msululu wa wake za watu aliowazalisha watoto mbele yake, wote wakuajiri Kuwa ndie aliye wapatia ujawepesi! Utetezi wake eti alikuwa hajui Kama ni wake za watu! Hivi vyeo bandugu ni dhamana, tusivitumie vibaya kujinufaisha kingono aisee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom