Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,290
Reaction score
96,516
Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiliwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.

Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.

Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko

nf.png
 
Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiriwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police. Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma. Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umeifukisha nchi kwenye machafuko
Note: Tusitaje majina ya watu
Mkuu hapo 👆 jeshi linamshikilia ni police au JWTZ.
Maana kiswahili kina misamiati michache
 
Hii issue ilifanyika kipindi kile mlipoona chopa zikizunguka anga la Dar na viunga vyake, pamoja na ulinzi mkali ukiimarishwa jijini Dar. Watu wengi wakahusisha na mkwara wa bro wa slowslow.

Inadaiwa siku hiyo polisi kadhaa na hired goons kadhaa walidakwa na kuchujwa kwa mahojiano ya siku 3 kambi ya jeshi ya Lugalo.

Waliokwama kwenye mchujo wako chini ya ulinzi mpk kesho.

N. B. Mleta mada hataki majina yatajwe. Nami naheshimu na kuishia hapo
 
Hii issue ilifanyika kipindi kile mlipoona chopa na uulinzi mkali vikiimarishwa jijini Dar. Watu wengi wakahusisha na mkwara wa bro wa slowslow.

Inadaiwa siku hiyo polisi kadhaa na hired goons kadhaa walidakwa na kuchujwa kwa mahojiano ya siku 3 kambi ya jeshi ya Lugalo.

Waliokwama kwenye mchujo wako chini ya ulinzi mpk kesho.

N. B. Mleta mada hayaki majina yatakwe. Nami naheshimu na kuishia hapo
Aisee, mna vipaji,,
Unakitu utafika mbali bongo muvi
 
Hii stori hata mimi niliisikia baada ya mtandao kurejea kile kipindi cha maandamano.

Aliyenambia alikuwa ni mfanyakazi wa ofisi binafsi ambayo inamilikiwa na mwanajeshi mwenye cheo cha juu.

Alipenyezewa hizo taarifa ila sikuziamini kwa asilimia zote kwa jinsi namna huyo mtu anavyoogopwa na hadi wakuu wake sikuona kama itakuwa ni real.

Maana kile kipande kina roho ngumu waweza sema Sisu, watu wanakihofia hadi maboss zake sikuweza kuamini moja kwa moja ila kwa huu ukimya wake tangu maandamano yafanyike maybe inawezekana.
 
Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiriwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.

Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.

Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko

View attachment 3516393

..hilo jambo haliwezekani.

..wanajeshi hawahusiki na ukamataji wa wahalifu, au raia.

..wanajeshi au MP wanakamata wanajeshi wenzao.

..Mafwele ndiye aliyekamata wanajeshi na alisikika akitoa taarifa ktk kikao na IGP.
 
Binya kende za huyo mbusi kenge de mafwele mpaka zipasuke kisha mnatia pilipili, chumvi, jivu, petrol, conc H2SO4 na maji ya mkonge.

Huyo ilipaswa wanipe mimi nimtese kijadijadi kabla sijamfilimba na kumchinjilia mbali.
 
Back
Top Bottom