MTEI: Nililipwa Mshahara sawa na Nyerere

MTEI: Nililipwa Mshahara sawa na Nyerere

Ujinga mwingine unatisha sana,

Hivi Nyerere hata asipochukuwa mshahara alikuwa anashida ipi, nyumba bure, kula bure, kulala bure, na huku anazidi kuiangamiza Tanzania kuwa nchi masikini ya mwisho duniani.

Mtei asitafute umaarufu wa Kisiasa kwa kupitia jina la Nyerere, yeye kwanini aliachia/aliachishwa uwaziri? aeleze ukweli.

mmeanza kumkataa hadi nyerere!! Kweli ccm ina laana
chama chenu kinaishi kwa neema za nyerere tu
 
Hata hueleweki bi mkola yaani wewe adui yako ni Nyerere chadema na ukiristu. Wewe ni hasara hata kwa familia yako.

Naona hoja imekuwa nzito haijibiki.

Mpaka leo kafa na tunalipia gharama zake na familia yake, jee alipokuwa hai? hata huo mshahara "kidogo" aliokuwa akiupata siioni faida yake.

Au aje Kikwete leo hii atangaze "najipunguzia mshahara", si mtasema changa la macho tu? ni nini kiachowasumbua.

Mtei ni muongo na mnafik. Aeleze sababu za ukweli za kuachia ngazi, mimi nnazikubali sana kwani zilikuwa ni sababu zinazoingia akilini kwa wakati huo. Anaogopa nini kuzisema hadi leo hii?

Hili la mshahara ni upunguani wa hali ya juu kulileta.
 
Hapa ni sawa na Mzee Slaa kulipwa mshahara na marupurupu sawa na mbunge.
 
Ujinga mwingine unatisha sana,

Hivi Nyerere hata asipochukuwa mshahara alikuwa anashida ipi, nyumba bure, kula bure, kulala bure, na huku anazidi kuiangamiza Tanzania kuwa nchi masikini ya mwisho duniani.

Mtei asitafute umaarufu wa Kisiasa kwa kupitia jina la Nyerere, yeye kwanini aliachia/aliachishwa uwaziri? aeleze ukweli.

Kumbe ndio maana kuna watu wanakudharau sana hapa jamvini....una ushahidi gani kuwa muasisi wa Taifa hili ndio chanzo cha umaskini uliokuwepo?
Tafadhali kuwa makini kugusia mambo ambayo ni sensitive, I repeat kuwa makini.
 
mmeanza kumkataa hadi nyerere!! Kweli ccm ina laana
chama chenu kinaishi kwa neema za nyerere tu

Wala sio CCM ni huyu mtu mmoja ambaye nafikiri uwezo wake wa kuchambua mambo ni mdogo katika masuala mazito.
 
Naona hoja imekuwa nzito haijibiki.

Mpaka leo kafa na tunalipia gharama zake na familia yake, jee alipokuwa hai? hata huo mshahara "kidogo" aliokuwa akiupata siioni faida yake.

Au aje Kikwete leo hii atangaze "najipunguzia mshahara", si mtasema changa la macho tu? ni nini kiachowasumbua.

Mtei ni muongo na mnafik. Aeleze sababu za ukweli za kuachia ngazi, mimi nnazikubali sana kwani zilikuwa ni sababu zinazoingia akilini kwa wakati huo. Anaogopa nini kuzisema hadi leo hii?

Hili la mshahara ni upunguani wa hali ya juu kulileta.

Nitabaki katika suala la muasisi wa Taifa.
Hivi hayo malipo unayosema, moja yanafanya kinyume cha utaratibu? mbili kwani malipo yanahitaji baraka zako?
Saa nyingine usiotoe mawazo yanayochochea hisia mbaya.....mawazo yako butu baki nayo kichwani mwako.
 
Mzee umechoka pumzika, Maelezo yako yanadhihirisha ulivyo na hata Chama chako pia. Bila aibu unawaambia watz Kuwa ulipunguza mshahara wako kwa Kuwa Mwalimu Nyerere alipunguza wa kwake na kwa kuona Kuwa usingefanya hivyo mshahara wako ungekuwa mkubwa kuliko was Mwalimu, kumbe hukusukumwa na uzalendo wala huruma kwa wananchi wa kipato cha chini, una tofauti gani na wale waliopunguziwa kwa nguvu? Huu ni unafiki usiovumilika kusikika masikioni. Eti Huyu ndio mwasisi wa Chama mbadala! Tumekusikia Mzee hatutafanya makosa kamwe.

Si ndio hapo Mkuu, hata mimi nimesoma kipengere hicho nikabaki najiulizza maswali mengi - kumbe MTEI hakuwa na nia thabiti ya kupunguza mshahara wake - alichokuwa anatafuta pale ni publicity STUNT basi, ili Nyerere aweze ku-renew contract yake ya BENKI KUU asitake kuhadaa watu hapa!! Katika suala la kujali wananchi na mstakabali wa Taifa letu Mzalendo Kambarage Nyerere was just alone, wengine walikuwa wasanii tu including MTEI mwenyewe no wonder Azimio la Arusha alikufanikiwa sana timu ya Kambarage ilikuwa haimu-support by 100%.
 
Ujinga mwingine unatisha sana,

Hivi Nyerere hata asipochukuwa mshahara alikuwa anashida ipi, nyumba bure, kula bure, kulala bure, na huku anazidi kuiangamiza Tanzania kuwa nchi masikini ya mwisho duniani.

Mtei asitafute umaarufu wa Kisiasa kwa kupitia jina la Nyerere, yeye kwanini aliachia/aliachishwa uwaziri? aeleze ukweli.

Pamoja na hayo uliyosema ya bure. Je kuna rais aliyeweza kusubutu kufanya vile yani kupunguza mshahara wake zaidi ya kuongeza amka bi mkola?
 
Pamoja na hayo uliyosema ya bure. Je kuna rais aliyeweza kusubutu kufanya vile yani kupunguza mshahara wake zaidi ya kuongeza amka bi mkola?

Hilo ni changa la macho. Anajengewa anafanyiwa kila kitu hizo pesa zilikuwa na picha yake na signature yake halafu mnadanganywa mnadanganyika.

Unajuwa kilichofata baada ya hapo? Eti kuwanyang'nya hata kwa nguvu walionacho na kuwapa wasionacho, alituletea hekaya za Robin Hood, matokeo yake? nchi ikafa kabisa hii. Hata chakula tukawa hatuna, unafanya mchezo na kudhulumu?
 
huo ujinga unazidi wakwako?

Mtei anawamwagia changa la macho kwa kutaja kisa cha kuwajaza watu ujinga cha Nyerere.

Wajinga ndio waliwao.

Hivi kamshahara ka Nyerere kalimsaidia nini Mtanzania?
 
Naona hoja imekuwa nzito haijibiki.

Mpaka leo kafa na tunalipia gharama zake na familia yake, jee alipokuwa hai? hata huo mshahara "kidogo" aliokuwa akiupata siioni faida yake.

Au aje Kikwete leo hii atangaze "najipunguzia mshahara", si mtasema changa la macho tu? ni nini kiachowasumbua.

Mtei ni muongo na mnafik. Aeleze sababu za ukweli za kuachia ngazi, mimi nnazikubali sana kwani zilikuwa ni sababu zinazoingia akilini kwa wakati huo. Anaogopa nini kuzisema hadi leo hii?

Hili la mshahara ni upunguani wa hali ya juu kulileta.

Tatizo sio hoja yako mrembo faiza tatizo ni chuki yako kwa Nyerere anyway sijui ni nini alichowafanyia wazazi wako maana wewe ni mtoto na utakua umesimuliwa tu na kujenga chuki. Yote kwa yote kua na moyo wa kusamehe. Sahahu yaliyopita tugange yaliyopo na yajayo. Makosa aliyofanya Nyerere wakati huo Tuyaache tufanye yetu mazuri kwa sasa. Muda bado upo
 
Uwe unasoma na kuelewa kabla Ya kupost, Mshahara wake ulikuepo kisheria na sheria ilikua inamlinda asiguswe na mamlaka yoyote ile juu mshahara wake. Hivyo uamuzi wa kupunguza kipato chake ilikua ni heshima kwa mkuu wake na kwa wananchi.

Je, kwenye CCM Ya sasa nani anaweza kupunguza mshahara wake kwa hiyari achilia mbali kwa lazima.?

Chadema nani amekataa mshahara!
Nani amekataa posho?
Angekuwa (mtei) anauchungu na unyerere kwa nn alimwachia mzee wa watu nchi ikiwa katika mapambano ya kiuchumi?
Anasema alikuwa kijana mzalendo/
 
Ujinga mwingine unatisha sana,

Hivi Nyerere hata asipochukuwa mshahara alikuwa anashida ipi, nyumba bure, kula bure, kulala bure, na huku anazidi kuiangamiza Tanzania kuwa nchi masikini ya mwisho duniani.

Mtei asitafute umaarufu wa Kisiasa kwa kupitia jina la Nyerere, yeye kwanini aliachia/aliachishwa uwaziri? aeleze ukweli.

Hata aje rais gani Tanzania hakuna atakayefananishwa na nyerere, ndo maana kila mtu anakumbuka uzalendo wa Mwalimu Nyerere,
 
FaizaFoxy kwani JK anapolipwa Milion 32 kwa mwezi hapati nyumba bure?Hapati chakula bure?Hapati matibabu bure?Hapati huduma zote bure?

Mpe Nyerere sifa zake!Sikubaliani na baadhi ya maamuzi ya Nyerere alipokuwa madarakani(hasa Azimio la Arusha)lkn kwenye uadilifu aliwashinda tena kwa mbali ma Rais wote waliokuja hasa Kikwete ambaye sio MWADILIFU kwenye pesa za UMMA!

Nyerere asingekubali kujitengea Bilion 50 za safari zake(JK kajitengea) huku bohari ya madawa kwa TZ nzima ikipewa Bilion 48 tu
 
Last edited by a moderator:
Hawa mafisadi!!! Thubutu!!! Mishahara yao mikubwa sana na haikatwi kodi na bado haiwatoshi hivyo wanaamua kufanya ufisadi wa matrilioni mwaka nenda mwaka rudi kisha kwenda kuzificha nchi za nje. Maslahi ya Tanzania na Watanzania hawa mafisadi hawayajali kabisa wanachojali ni matumbo yao.

Viongozi na wana siasa wetu wapunguze mishahara yao?Thubutu
 
Wazee wetu walikuwa wanajali wananchi, walikuwa ni watumishi kweli kweli... sasa hivi hatu viongozi bali tuna makanjanja wenye kutamani bonus kubwa kubwa bila kuzalisha kama wa CEOs wa Wall street walivyosababisha economic recessions...
 
Kali kuliko kuna baadhi ya Watanzania na hata baadhi ya member humu wanawaona hao MAFISADI kama celebrities badala ya kuwachukulia kama Wauaji wenye kusababisha maafa katika kila sector i.e Afya, Maji, Nishati, Madini, Elimu nk... Ifike mahala hawa MAFISADI wajue kuwa hatuwafagilii kwa magari walla mavazi ya bei mbaya! Hatuwafagilii kwa kukaa kwenye Majumba ya kifahari wakati watoto wetu hawana vyoo hawana madawati, hawana uhakika wa mlo mmoja kwa siku! Kuna haja ya sisi kupaza sauti kwa ummoja wetu kukataa umasikini huu wa kuletewa wakati nchi hii imesheheni utajiri wa kila aina... CCM must go!...
Hawa mafisadi!!! Thubutu!!! Mishahara yao mikubwa sana na haikatwi kodi na bado haiwatoshi hivyo wanaamua kufanya ufisadi wa matrilioni mwaka nenda mwaka rudi kisha kwenda kuzificha nchi za nje. Maslahi ya Tanzania na Watanzania hawa mafisadi hawayajali kabisa wanachojali ni matumbo yao.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mwaka 1968 mshahara wa 4500 pesa nyingi sana alikuwa anatakiwa kulipwa 2500.
 
Back
Top Bottom