Mtei - Mbowe - BoT; Connecting the dots...

Mtei - Mbowe - BoT; Connecting the dots...

quote_icon.png
By Mwita Maranya

Wakati unapokuwa unajitahidi kuitetea ccm na serikali yake uwe unaongeza umakini kidogo.

Sasa twende hatua kwa hatua kwa kunijibu maswali yafuatayo.

1. Mtei aliacha kazi BOT mwaka gani?
2. Mbowe aliajiriwa BOT mwaka gani na katika nafasi gani?

Ukinijibu haya maswali mawili kwanza ili baada ya hapo ndipo ywende mbele hatua nyingine.




- Unajua mnapojifanyaga mnajua sana kuhusu Chadema huwa ninawashangaa sana, Mbowe anayajua haya siku nyingi sana, alipotaka kugombea urais uchaguzi uliopita kuna wasamaria wema toka CCM walimuonya kwa siri mapema sana kwamba this time uchafu wake utaanikwa hadharani kama atagombea, ndipo aakaamua kumuachia Dr. Slaa at a very late time bila ya kusema sababu inayomfanya kumuchia Slaa dakika za mwisho.

- Chadema sio chama chenu nyie kina wenyewe na ndio hawa kina Mbowe na Mtei, ndio wenye chama. Mwenyekiti wenu wa Chadema anawezaje kuwa na majumba nje ya nchi? Yaani it does not make any sense at all kwa mtu anayelia kila siku kwamba ni Mzalendo, na kwamba yupo tayari kufa kwa ajili ya wananchi I mean in the wake of this all that is bullshit!!

- Halafu mimi narudia tena naomba anayejua ukweli auweke hapa kwamba ni wapi Mwenyekiti wenu amepata hizo hela za kuwa na majumba nje ya nchi, auweke hapa uhalali wa mapesa yake kwa sababu that is incredible, only in Tanzania sasa imagine kama Zitto asingejilipua on this tungejuaje? Binafsi I know the guy since we were kids, I am shocked kusikia kwamba na utajiri wa ajabu kiasi hiki kwa biashara gani? Please!!

- Sasa ndio ukweli unajiweka wazi kwamba ni kwa nini Zitto anachukiwa sana huko Chadema, kumbe mnajua akiwa Mwenyekiti haya yote atayatolea ufafanuzi bila kuogopa na itakuwa aibu!! Knowing Mbowe as I do najua kwamba ana utajiri najua hata size ya utajiri aliokabidhiwa na Marehemu baba yake, lakini utajiri wa kuwa na majumba nje ya nchi, no way something is a big miss hapo!! na anahitaji kutoa maelezo makubwa na mazito ya kina kwamba amepata wapi hizo mali tena kwa haraka haraka hivyo!!

- Mtei hana mali nyingi sana wala sio siri, lakini huu utajiri wa ajabu wa Mwenyekiti wenu umenishitusha sana!!, halafu kama hamna hoja nzito za kumtetea ni bora mkanyamaza kwa sababu kwa tunaomjua inashangaza sana kusikia jamaa ana this kind of utajiri, I mean kuna mjinga mmoja kule juu nimeona anasema Mbowe aliachiwa hayo majumba na baba yake, pure nonsense!! nyamazeni tu!!

Le Mutuz
 
- Unajua mnapojifanyaga mnajua sana kuhusu Chadema huwa ninawashangaa sana, Mbowe anayajua haya siku nyingi sana, alipotaka kugombea urais uchaguzi uliopita kuna wasamaria wema toka CCM walimuonya kwa siri mapema sana kwamba this time uchafu wake utaanikwa hadharani kama atagombea, ndipo aakaamua kumuachia Dr. Slaa at a very late time bila ya kusema sababu inayomfanya kumuchia Slaa dakika za mwisho.

- Chadema sio chama chenu nyie kina wenyewe na ndio hawa kina Mbowe na Mtei, ndio wenye chama. Mwenyekiti wenu wa Chadema anawezaje kuwa na majumba nje ya nchi? Yaani it does not make any sense at all kwa mtu anayelia kila siku kwamba ni Mzalendo, na kwamba yupo tayari kufa kwa ajili ya wananchi I mean in the wake of this all that is bullshit!!

- Halafu mimi narudia tena naomba anayejua ukweli auweke hapa kwamba ni wapi Mwenyekiti wenu amepata hizo hela za kuwa na majumba nje ya nchi, auweke hapa uhalali wa mapesa yake kwa sababu that is incredible, only in Tanzania sasa imagine kama Zitto asingejilipua on this tungejuaje? Binafsi I know the guy since we were kids, I am shocked kusikia kwamba na utajiri wa ajabu kiasi hiki kwa biashara gani? Please!!

- Sasa ndio ukweli unajiweka wazi kwamba ni kwa nini Zitto anachukiwa sana huko Chadema, kumbe mnajua akiwa Mwenyekiti haya yote atayatolea ufafanuzi bila kuogopa na itakuwa aibu!! Knowing Mbowe as I do najua kwamba ana utajiri najua hata size ya utajiri aliokabidhiwa na Marehemu baba yake, lakini utajiri wa kuwa na majumba nje ya nchi, no way something is a big miss hapo!! na anahitaji kutoa maelezo makubwa na mazito ya kina kwamba amepata wapi hizo mali tena kwa haraka haraka hivyo!!

- Mtei hana mali nyingi sana wala sio siri, lakini huu utajiri wa ajabu wa Mwenyekiti wenu umenishitusha sana!!

Le Mutuz

Unafiki mtupu umeandika,ila wewe kweli utakuwa na matatizo ya kujirudia rudia, hivi ccm si ndio ngome ya majambazi unalijua hilo, hatawewe pia ni miongoni mwao?
 
Rostam Aziz amezaliwa kwenye familia tajiri zaidi kuliko familia ya Mbowe yenye biashara ya hoteli.

Enhee hapo umekuja vizuri,sasa unatakiwa kujua ufisadi ni hulka na tabia ya mtu. Makongoro na Madaraka Nyerere ni watoto wa ikulu pale.
Huyo uliyemtaja ana hulka hiyo ya wizi na ubinafsi,na pesa zake ni chafu.
 
Huu mkakati wa kujaribu kumchafua Mbowe niliunasa na nikauanzishia thread hapa,lakini kwa sababu zisozoeleweka ama mazingira yenye utata thread yangu ikafungwa.

Baada ya kufungwa kwa thread ile tumeendelea kushuhudia buku Saba fc wanavyoanzisha kila aina ya threads za kumshambulia Mbowe.

Jambo moja la uhakika ni kwamba Mbpwe hachafuki. Mbowe ni mfanyabiashara anayefanya biashara kwa uwazi na analipa kodi inaypstahili kwa mujibu wa sheria.

Kama ccm wanadhani wanaweza kuwanusuru viongozi wao mafisadi walioficha mabilioni ya shilingi katika mabenki ya uswisi kwa hadaa ya kujadili Mbowe kununua nyumba Dubai Huku wakishindwa kubaini kwamba Ana nyimba SA,Kenya,USA na Uingereza basi huo ni upofu wa halo ya juu.

Wananchi wa sasa sio wale wa mwaka 47 kwahiyo hawadanganyiki na hivi vipropaganda uchwara vya ccm. Kwani ccm wamethibitika kushindwa kabisa kutekeleza ilani Yao ya uchaguzi ya 2010 na kujikita katika kufanya ghilba.

Anzisha tena mkuu Mwita,ipe sura ya kulalamika.
 
Hivi tangu lini kuwa mfanyabiashara imekuwa kigezo cha kutokuhusika na ufisadi?

Thread za ufisadi za JF kwa miaka mingi zilikuwa zinamuhusu Rostam Aziz.

Familia ya Rostam kwa vizazi kadhaa imekuwa ikifanya biashara za kimataifa...

Si anakwepa kodi mkuu,unajua kodi ni nyaraka mkuu. Kajibanza,kajipendekeza pamoja na kufanya uswahiba na wakuu,huku akigombea UNEC ili mambo yaende vizuri,tenda na 10% huku akikwepa kodi. Mbona Ndesamburo anafanya biashara za kimataifa pia.
 
- Unajua mnapojifanyaga mnajua sana kuhusu Chadema huwa ninawashangaa sana, Mbowe anayajua haya siku nyingi sana, alipotaka kugombea urais uchaguzi uliopita kuna wasamaria wema toka CCM walimuonya kwa siri mapema sana kwamba this time uchafu wake utaanikwa hadharani kama atagombea, ndipo aakaamua kumuachia Dr. Slaa at a very late time bila ya kusema sababu inayomfanya kumuchia Slaa dakika za mwisho.

- Chadema sio chama chenu nyie kina wenyewe na ndio hawa kina Mbowe na Mtei, ndio wenye chama. Mwenyekiti wenu wa Chadema anawezaje kuwa na majumba nje ya nchi? Yaani it does not make any sense at all kwa mtu anayelia kila siku kwamba ni Mzalendo, na kwamba yupo tayari kufa kwa ajili ya wananchi I mean in the wake of this all that is bullshit!!

- Halafu mimi narudia tena naomba anayejua ukweli auweke hapa kwamba ni wapi Mwenyekiti wenu amepata hizo hela za kuwa na majumba nje ya nchi, auweke hapa uhalali wa mapesa yake kwa sababu that is incredible, only in Tanzania sasa imagine kama Zitto asingejilipua on this tungejuaje? Binafsi I know the guy since we were kids, I am shocked kusikia kwamba na utajiri wa ajabu kiasi hiki kwa biashara gani? Please!!

- Sasa ndio ukweli unajiweka wazi kwamba ni kwa nini Zitto anachukiwa sana huko Chadema, kumbe mnajua akiwa Mwenyekiti haya yote atayatolea ufafanuzi bila kuogopa na itakuwa aibu!! Knowing Mbowe as I do najua kwamba ana utajiri najua hata size ya utajiri aliokabidhiwa na Marehemu baba yake, lakini utajiri wa kuwa na majumba nje ya nchi, no way something is a big miss hapo!! na anahitaji kutoa maelezo makubwa na mazito ya kina kwamba amepata wapi hizo mali tena kwa haraka haraka hivyo!!

- Mtei hana mali nyingi sana wala sio siri, lakini huu utajiri wa ajabu wa Mwenyekiti wenu umenishitusha sana!!, halafu kama hamna hoja nzito za kumtetea ni bora mkanyamaza kwa sababu kwa tunaomjua inashangaza sana kusikia jamaa ana this kind of utajiri, I mean kuna mjinga mmoja kule juu nimeona anasema Mbowe aliachiwa hayo majumba na baba yake, pure nonsense!! nyamazeni tu!!

Le Mutuz

Mzee wako kawa PM wa nchi hii. Unataka tuambia mzee wako hana nyumba ughaibuni? Je,mzee wako hana biashara ndani na nje ya nchi?
Tutaleta data hapa utakimbia wewe.
 
Kwa akili yako Mbowe anamiliki biashara moja ya Ukumbi wa Burudani (Billicanas)?

Na kama hajalipa/ halipi kodi huoni kama huo ni udhaifu wa Serikali yetu ya CCM ktk kukusanya kodi?

Na kama, kwa namna yoyote ile walitumia nafasi zao vibaya kwa maslahi binafsi wakiwa watumishi wa UMMA kwa nini serikali haikuwachukulia hatua? Huoni kama huo nao ni udhaifu wa Serikali yetu sikivu ya Chama Cha Mapinduzi?
Good questions.
 
Le mutuz hivi wewe na zero yako unaandika nini hapa?
Baba yako mzazi mzee Jumanne John Samwel Malecela anamiliki nyumba Australia na Canada na miaka yote amekuwa mtumishi wa umma.
Mzee Jumaane Malecela hajawahi kufanya biashara hata ya ubuyu tu, sasa hayo majumba anayomiliki huko ughaibuni alitoa wapi fedha ya kuyajenga ama kuyanunua?

Mimi najua unamtajataja sana Mbowe kwasababu mmelingana umri lakini bahati mbaya kwako bado unatunzwa na baba yako at your age of 55 yrs wakati Mbowe anafanya biashara ya kueleweka hadi anamiliki mali ambazo hata mkijikusanya ukoo wenu wote mkachanga mali zenu hamuwezi kumfikia.
 
- Unajua mnapojifanyaga mnajua sana kuhusu Chadema huwa ninawashangaa sana, Mbowe anayajua haya siku nyingi sana, alipotaka kugombea urais uchaguzi uliopita kuna wasamaria wema toka CCM walimuonya kwa siri mapema sana kwamba this time uchafu wake utaanikwa hadharani kama atagombea, ndipo aakaamua kumuachia Dr. Slaa at a very late time bila ya kusema sababu inayomfanya kumuchia Slaa dakika za mwisho.

- Chadema sio chama chenu nyie kina wenyewe na ndio hawa kina Mbowe na Mtei, ndio wenye chama. Mwenyekiti wenu wa Chadema anawezaje kuwa na majumba nje ya nchi? Yaani it does not make any sense at all kwa mtu anayelia kila siku kwamba ni Mzalendo, na kwamba yupo tayari kufa kwa ajili ya wananchi I mean in the wake of this all that is bullshit!!

- Halafu mimi narudia tena naomba anayejua ukweli auweke hapa kwamba ni wapi Mwenyekiti wenu amepata hizo hela za kuwa na majumba nje ya nchi, auweke hapa uhalali wa mapesa yake kwa sababu that is incredible, only in Tanzania sasa imagine kama Zitto asingejilipua on this tungejuaje? Binafsi I know the guy since we were kids, I am shocked kusikia kwamba na utajiri wa ajabu kiasi hiki kwa biashara gani? Please!!

- Sasa ndio ukweli unajiweka wazi kwamba ni kwa nini Zitto anachukiwa sana huko Chadema, kumbe mnajua akiwa Mwenyekiti haya yote atayatolea ufafanuzi bila kuogopa na itakuwa aibu!! Knowing Mbowe as I do najua kwamba ana utajiri najua hata size ya utajiri aliokabidhiwa na Marehemu baba yake, lakini utajiri wa kuwa na majumba nje ya nchi, no way something is a big miss hapo!! na anahitaji kutoa maelezo makubwa na mazito ya kina kwamba amepata wapi hizo mali tena kwa haraka haraka hivyo!!

- Mtei hana mali nyingi sana wala sio siri, lakini huu utajiri wa ajabu wa Mwenyekiti wenu umenishitusha sana!!, halafu kama hamna hoja nzito za kumtetea ni bora mkanyamaza kwa sababu kwa tunaomjua inashangaza sana kusikia jamaa ana this kind of utajiri, I mean kuna mjinga mmoja kule juu nimeona anasema Mbowe aliachiwa hayo majumba na baba yake, pure nonsense!! nyamazeni tu!!

Le Mutuz

Le Mutuz
Wewe unaweza kutusaidia kidogo kulingana na maelezo yako hapo kwenye wino mwekundu

Je aliachiwa utajiri kiasi gani na baba yake na lini??

Je hizo nyumba nje ya nchi thamani yake kila moja ni Tsh ngapi? Ili tusije ogopa hayo majina ya Dubai,U.S,S.A na Nairobi. Inawezekana nyumba ya Nairobi ikauzwa bei chee zaidi ya nyumba iliyopo Moshi mjini.

Je utajiri aloachiwa anaundeleza kibiashara au?? nimeuliza kwa kua maelezo yako yanaonesha kama unamfahamu tangu zamani.

Ukitupa hayo maelezo utakuwa umetusaidia sana.
 
Le mutuz hivi wewe na zero yako unaandika nini hapa?
Baba yako mzazi mzee Jumanne John Samwel Malecela anamiliki nyumba Australia na Canada na miaka yote amekuwa mtumishi wa umma.
Mzee Jumaane Malecela hajawahi kufanya biashara hata ya ubuyu tu, sasa hayo majumba anayomiliki huko ughaibuni alitoa wapi fedha ya kuyajenga ama kuyanunua?

Mimi najua unamtajataja sana Mbowe kwasababu mmelingana umri lakini bahati mbaya kwako bado unatunzwa na baba yako at your age of 55 yrs wakati Mbowe anafanya biashara ya kueleweka hadi anamiliki mali ambazo hata mkijikusanya ukoo wenu wote mkachanga mali zenu hamuwezi kumfikia.

Mkuu,
Huyu jamaa angetulia tuu,atapata BP tukianza anika madudu ya baba yake hapa. Anyway sio mada
 
mbowe alishajichafua mwenyewe tangu zamani
-amempachika mbunge wake mimba zisizotarajiwa
-anaendesha danguro ambalo ni kitovu cha ushoga na usagaji afrika mashariki na kati na ndio kitovu cha madawa ya kulevya na kuharibu vijana
-anakiuzia chadema magari mabovu kwa fedha kubwa
sasa anakula ruzuku kununulia makasri huko dubai

Wewe binti mwanambozi acha kujidhalilisha.
Unaona wivu mwanamke mwenzako kupata mimba,ulitaka akupachike wewe? Huko kwenu mbozi ni ajabu mwanamke kupachikwa mimba? Au ni wewe mwenyewe umeamua kujitia ukichaa. Au huyo beana uliyenaye huko ccm hakutoshi?

Madawa ya kulevya yanauzwa na viongozi Wako huko ccm au hili nalo unahitaji desa ili kulijua? Unafikiri kwanini serikali inapata kigugumizi kuwashughulikia wauza sembe? Si kwakuwa wote ni wanaccm.

Serikali yenyewe inayo sheria inayoiruhusu kununua vitu vilivyokwisha kutumika,sasa unashangaa nini Mbowe kuiuzia Chadema magari ambayo aliyanunua yakiwa mapya na kuyatoa kwa chama wakati hakina uwezo wa kununua gari,na ameyauza kwa bei ndogo sana.
 
Wewe binti mwanambozi acha kujidhalilisha.
Unaona wivu mwanamke mwenzako kupata mimba,ulitaka akupachike wewe? Huko kwenu mbozi ni ajabu mwanamke kupachikwa mimba? Au ni wewe mwenyewe umeamua kujitia ukichaa. Au huyo beana uliyenaye huko ccm hakutoshi?

Madawa ya kulevya yanauzwa na viongozi Wako huko ccm au hili nalo unahitaji desa ili kulijua? Unafikiri kwanini serikali inapata kigugumizi kuwashughulikia wauza sembe? Si kwakuwa wote ni wanaccm.

Serikali yenyewe inayo sheria inayoiruhusu kununua vitu vilivyokwisha kutumika,sasa unashangaa nini Mbowe kuiuzia Chadema magari ambayo aliyanunua yakiwa mapya na kuyatoa kwa chama wakati hakina uwezo wa kununua gari,na ameyauza kwa bei ndogo sana.

- Huu ni utetezi wa mtumzima mwenye akili timamu anajaribu kuutoa kwa watu wengine wazima na wenye akili timamu, sad unaona Chadema mkishikwa kwamba ni waongo na wanafiki wakubwa, hamjashika dola Mwenyekiti ana uiwezo wa kuwauzia magari yake ya binafsi, na mkishika dola itakuwaje? Aibuu sana wakuu wangu!!

Le Mutuz
 
Mzee wako kawa PM wa nchi hii. Unataka tuambia mzee wako hana nyumba ughaibuni? Je,mzee wako hana biashara ndani na nje ya nchi?
Tutaleta data hapa utakimbia wewe.

- Nakuahidi kukupa Shillingi Millioni moja ukiweza kuleta dataz hapa za baba yangu kuwa na hizo mali, call me my number ni 0717 618 997 ukishaweza kuleta hizo dataz nakupa hiyo pesa, anytime!!

LE Mutuz
 
Hivi unaifahamu familia ya Mbowe au umekurupuka tu kama kawaida ya bk7 team,baba yake na Mbowe aliwahi mchangia Nyerere fedha kwa ajili ya harakti za uhuru leo hii unajiuliza katoa wapi fedha na kuanza kuungnaisha dots za kipumbavu.Do som research and stop yawning
 
quote_icon.png
By Mwita Maranya

Le mutuz hivi wewe na zero yako unaandika nini hapa?
Baba yako mzazi mzee Jumanne John Samwel Malecela anamiliki nyumba Australia na Canada na miaka yote amekuwa mtumishi wa umma.
Mzee Jumaane Malecela hajawahi kufanya biashara hata ya ubuyu tu, sasa hayo majumba anayomiliki huko ughaibuni alitoa wapi fedha ya kuyajenga ama kuyanunua?

Mimi najua unamtajataja sana Mbowe kwasababu mmelingana umri lakini bahati mbaya kwako bado unatunzwa na baba yako at your age of 55 yrs wakati Mbowe anafanya biashara ya kueleweka hadi anamiliki mali ambazo hata mkijikusanya ukoo wenu wote mkachanga mali zenu hamuwezi kumfikia.

- Ok unasema ninamtaja Mbowe kwa sababu tunalingana kwa umri, and then unasema nina miaka 55 miaka ambayo hata Mbowe anayenizidi hana sasa ndio unajivua nguo mtumzima kwamba something is wrong na uwezo wako wa kufikiri.

- Mzee Malecela, kama kuna mali yoyote anamiliki wacha nje ya nchi hata hapa bongo lete dataz hapa nakuahidi Shillingi Millioni moja on the spot, namba yangu ya simu ni 0717 618 997 tafuta shahidi uje naye nikupe hiyo hela ukishaweza kuweka hizo dataz hapa.

- Kutunzwa na baba yangu kama ni kweli sidhani kama ni Crime against Jamhuri, ila ningekuwa ninaishi jela au rumande hapo kweli, haya ni maneno maneno yenu ya majungu majungu ambayo mnadhani yanaweza kunitisha nisiwape bad news zenu, otherwise I am fine na masiha yangu and u know that kwa sababu I am having big fun, punguzeni maneno yasiyo na tija kwa sababu the more you say ni more mnamharibia hata huyo Mbowe maana kama kweli ana utetezi wa uhakika wa mali zake, be leo angeshajitokeza kusema uhalali wa mali zake mpaka kuwa na majumba nje ya nchi, kwenye hili mmeporomoka sana!!

Le Mutuz
 
Hivi unaifahamu familia ya Mbowe au umekurupuka tu kama kawaida ya bk7 team,baba yake na Mbowe aliwahi mchangia Nyerere fedha kwa ajili ya harakti za uhuru leo hii unajiuliza katoa wapi fedha na kuanza kuungnaisha dots za kipumbavu.Do som research and stop yawning

- Wewe wacha hizo alimshangia hizo pesa wapi wewe ulikuwepo au unasikia tu ya kuambiwa, Mzee Mbowe alikuwa ni Mlinzi wa hiari wa Mwalimu akijua kwamba Mwalimu akitoka na yeye anatoka and that is what happened, wacha kulishwa maneno msiyoyajua, Utajiri wa Mzee Mbowe haukuwepo kabla ya Mwalimu kushika dola, nyamaza maana hujui unachokisema!!

LE Mutuz
 
1. Hujataja cheo cha mbowe hapo BOT kwa nini? je, inawezekana kuwa cheo chake kilikuwa hakina uwezo wa kuchota hela yoyote ila wewe unajaribu kuleta hisia kuwa mtu yoyote anayefanya kazi BOT anaweza kuiba mabilioni. Kama unajua mtei cheo chake kilikuwa Gavana, kwa nini usijue na cha mbowe kilikuwa nini?
2. Mbowe alifanya kazi muda gani hapo BOT?
3. kumewahi kutokea kashfa yoyote hapo BOT wakati wa Mtei inayohusiana na upotevu au matumizi mabaya ya fedha? Labda hati chafu toka CAG n.k? Maana kama mahesabu ya BOT wakati wote Mtei yupo yako safi, Obviously mabilioni binafsi unayoongelea hayana uhusiano wowote na BOT. Ingetokea kuna kashfa kama za EPA, ununuzi wa rada ya BAE, ujenzi wa majengo pacha n.k yanayohusisha BOT hapo kungekuwa na angalau sababu ya kutilia mashaka mabilioni ya gavana ambaye angekuwepo. Lakini hilo halikutokea sasa wewe msingi wa kuhusianisha mabilioni ya mtei na mbowe na ufanyaji kazi wao BOT ni nini?
4. Kwanza hujaleta hizo hesabu za miaka kumi za mapato ya mbowe, huelezi umezipataje kwa sababu naamini sio public kwa hiyo hata ukizileta utakuwa na kazi nzito ya kuthibitisha uhalali wake, na vile vile huelezi kwa nini umeangalia mahesabu ya miaka kumi na si miaka yote toka anaanza biashara au toka amerithi biashara za baba yake. Tafadhali leta hayo mahesabu yakiambatana vile vile na kila kitega uchumi cha Mbowe ili wana-JF waoanishe.
5. Una uhakika kuwa shamba la mtei unalolifahamu wewe ndio kitega uchumi pekee cha mtei? na kama ndio, basi lete hadharani hayo mapato ya shamba hilo hapa JF ili na sisi tuone jinsi yalivyopishana na 'utajiri' wake.
6. "Mtu akiwa tajiri sana lakini katika orodha ya walipa kodi haonekani, ni ishara ya ufisadi". Orodha gani ya walipakodi uliyonayo wewe? tafadhali imwage hapa JF ili tuwaone kina Said Bakhresa, Mohammed Dewji, Ali Mufuruki, Rostam Aziz, Reginald Mengi n.k ambao wamefikia hatua ya kuandikwa na Forbes kuwa matajiri wanalipa kiasi gani, kabla hatujaanza kumfuatilia huyu mkulima. Tunaomba hiyo orodha tafadhali!
7. "Je, kuunganisha familia hizi ni njia ya kuongeza uaminifu wa "ushirikiano" waliokuwa nao tangu BoT?". Hakuna sababu ya kutilia shaka uhusiano wao wa kifamilia kwa sababu hakuna wizi wowote au kashfa yoyote iliyotokea BOT wakati wa Mtei. Ninavyojua Mtei aliondoka BOT kwa kutokubaliana na mwalimu Nyerere, he was a clean governor.
kwa upande mwingine, Benjamin Mkapa na mkwewe Daniel Yona, walianzisha makampuni na kujimilikisha mgodi wa Kiwira unaomilikiwa na Taifa kinyume na sheria. Nadhani unapaswa kuwa unapigia kelele uhusiano huu wa kifamilia kuliko uhusiano wa Mtei-Mbowe-BOT ambao hauna kashfa yoyote hata ya kusingiziwa.
8. "Je, biashara ya ukumbi wa muziki inamuwezesha mtu kumiliki mabilioni nje ya nchi?" nilishasema huko juu, bila kujua vyanzo vyote vya mapato ya Mbowe itakua ngumu kujadili utajiri wake. Wewe inaonekana unadhani Mbowe ana hilo disco tu, hata mimi sijui vitega uchumi vyote vya Mbowe, lakini angalau najua kwa uhakika biashara yake nyingine zaidi ya hilo disco. Pointi ni kwamba unatakiwa utafute biashara ZOTE za mbowe na mahesabu yake ndio uanze kuhoji utajiri wake. Nadhani hilo ndilo zoezi linaloendelea sasa la akina werema, kuoanisha vyanzo vya mapato na mapato.
 
Mwenyekti wa kwanza wa CHADEMA, Mzee Edwin Mtei, alikuwa Gavana wa BoT.

Mwenyeti wa sasa wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe, alikuwa mwajiriwa wa BoT.

Kabla ya kupata uenyeti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe, alimuoa mtoto wa Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA, Mzee Edwin Mtei.

Mwenyekiti wa sasa wa CHADEMA, amekiri kwa maandishi kuwa anamiliki mabilioni ya shilingi pesa tasilimu na mali zisizohamishika yenye thamani ya mabilioni ya shilingi.

Hesabu za kiasi cha kodi alicholipa Mh. Freeman Mbowe kwa miaka kumi iliyopita hakiendani na utajiri huo mkubwa alio nao.

Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA Mzee Edwin Mtei, hupenda kujitambulisha kama mkulima. Hata hivyo, utajiri wake ni mkubwa sana kuliko kiasi cha uzalishaji wa shamba lake lililopo Tengeru, Arusha.

Mzee Mtei amekuwa akitumia pesa zake binafsi kuendesha shughuli zote za CHADEMA tangu ilipoanzishwa mpaka ilipofikia hatua ya kupata wabunge na ruzuku. Huu ni utajiri wa hali ya juu. Sio mbaya kuwa tajiri, lakini utajiri wa mtu ni lazima uendane na kiasi cha kodi anacholipa. Mtu akiwa tajiri sana lakini katika orodha ya walipa kodi haonekani, ni ishara ya ufisadi.

Ukwasi huu wa wanasiasa hawa wawili walioitumikia BoT na kuamua kuunganisha familia zao kwa njia ya ndoa ya binti wa mmoja wao unatokana na chanzo gani?

Je, kuunganisha familia hizi ni njia ya kuongeza uaminifu wa "ushirikiano" waliokuwa nao tangu BoT? Je, "ushirikiano" wao waliouanza BoT unaendelea ndani ya Chadema? Je, hii ndio sababu ya Mzee Mtei kulazimisha Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti na kukataza wagombea "who are from nowhere"?.

Je, biashara ya ukumbi wa muziki inamuwezesha mtu kumiliki mabilioni nje ya nchi? Kiingilio bilicanas ni shilingi ngapi kila mtu? Kwa siku wanaingia watu wangapi? Je, zinatosha kununua nyumba Uingereza, Marekani, Afrika Kusini na Dubai?

Its too early to go to bed, wake up. Connect the dots...
unajua hoja za kukurupuka huwa hazina muda kwa mtoa hoja kuaibika fuatilia histolia ya tanganyika ndo utajua jina mbowe limeanza ujasiliamali lini bt kuwa makini sana na siasa unazo zifanya hasa za kukulupuka itakusaidia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom