baharia Ar
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 837
- 316
Mtoa mada nitahira
Chadema haina kadi zinazoanzia na namba 0......so hiyo ni kadi ya magamba ....
Hii ingekuwa posti dhidi ya ACT mods wangekuwa wameitoa. Angekuwa amesemwa Zitto na tabia za kubadili wanawake wangeingilia kati haraka. Ujinga wa ma-ACT, WAKO KIMYA.
Ndio hivyoTime flies.
Kumbe Mbowe kapata uongozi CHADEMA tangu 1993!
Time flies.
Kumbe Mbowe kapata uongozi CHADEMA tangu 1993!
Asante kwa ufafanuzi..hapana.
..kuna makosa ktk maandishi ya Mzee Mtei.
..ameandika Mbowe alikuwa mwenyekiti tangu 1993 lakini alimaanisha 2003.
..mfumo wa vyama vingi ulianza 1992 baada ya ripoti ya Jaji Mkuu Francis Nyalali.
..Mwenyekiti wa kwanza wa CDM Edwin Mtei aliongoza mpaka mwaka 1998.
..Mzee Mohamed " Bob " Makani aliongoza chama mpaka mwaka 2003.
..baada ya hapo ndiyo Freeman Mbowe akachaguliwa mwenyekiti na ameendelea mpaka leo.
Cc meningitis
ngoja kwanza tuchangie chadema digitoMwenyekti wa kwanza wa CHADEMA, Mzee Edwin Mtei, alikuwa Gavana wa BoT.
Mwenyeti wa sasa wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe, alikuwa mwajiriwa wa BoT.
Kabla ya kupata uenyeti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe, alimuoa mtoto wa Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA, Mzee Edwin Mtei.
Mwenyekiti wa sasa wa CHADEMA, amekiri kwa maandishi kuwa anamiliki mabilioni ya shilingi pesa tasilimu na mali zisizohamishika yenye thamani ya mabilioni ya shilingi.
Hesabu za kiasi cha kodi alicholipa Mh. Freeman Mbowe kwa miaka kumi iliyopita hakiendani na utajiri huo mkubwa alio nao.
Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA Mzee Edwin Mtei, hupenda kujitambulisha kama mkulima. Hata hivyo, utajiri wake ni mkubwa sana kuliko kiasi cha uzalishaji wa shamba lake lililopo Tengeru, Arusha.
Mzee Mtei amekuwa akitumia pesa zake binafsi kuendesha shughuli zote za CHADEMA tangu ilipoanzishwa mpaka ilipofikia hatua ya kupata wabunge na ruzuku. Huu ni utajiri wa hali ya juu. Sio mbaya kuwa tajiri, lakini utajiri wa mtu ni lazima uendane na kiasi cha kodi anacholipa. Mtu akiwa tajiri sana lakini katika orodha ya walipa kodi haonekani, ni ishara ya ufisadi.
Ukwasi huu wa wanasiasa hawa wawili walioitumikia BoT na kuamua kuunganisha familia zao kwa njia ya ndoa ya binti wa mmoja wao unatokana na chanzo gani?
Je, kuunganisha familia hizi ni njia ya kuongeza uaminifu wa "ushirikiano" waliokuwa nao tangu BoT? Je, "ushirikiano" wao waliouanza BoT unaendelea ndani ya Chadema? Je, hii ndio sababu ya Mzee Mtei kulazimisha Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti na kukataza wagombea "who are from nowhere"?.
Je, biashara ya ukumbi wa muziki inamuwezesha mtu kumiliki mabilioni nje ya nchi? Kiingilio bilicanas ni shilingi ngapi kila mtu? Kwa siku wanaingia watu wangapi? Je, zinatosha kununua nyumba Uingereza, Marekani, Afrika Kusini na Dubai?
Its too early to go to bed, wake up. Connect the dots...
=================================
UFAFANUZI toka kwa Ndugu Edwin Mtei
=================================
Post # 1
Post # 2
Kwa akili yako Mbowe anamiliki biashara moja ya Ukumbi wa Burudani (Billicanas)?
Na kama hajalipa/ halipi kodi huoni kama huo ni udhaifu wa Serikali yetu ya CCM ktk kukusanya kodi?
Na kama, kwa namna yoyote ile walitumia nafasi zao vibaya kwa maslahi binafsi wakiwa watumishi wa UMMA kwa nini serikali haikuwachukulia hatua? Huoni kama huo nao ni udhaifu wa Serikali yetu sikivu ya Chama Cha Mapinduzi?