ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
kwani si ni mkewe? Tatizo ni nn? Kwa hapo kweli unahitaji msaada, huu ni zaidi ya udaku...Biashara zote za Mbowe zinasimamiwa na mtoto wa Mtei.
Connect the dots...
kwani si ni mkewe? Tatizo ni nn? Kwa hapo kweli unahitaji msaada, huu ni zaidi ya udaku...Biashara zote za Mbowe zinasimamiwa na mtoto wa Mtei.
Connect the dots...
ZeMarcopolo, nakuomba sana uwe unatafakari kidogo kabla ya kujibizana na watu wanaokuzidi akili na maarifa. Wewe hakuna lolote unalolijua zaidi ya kukesha humu na kuingilia mijadala inayokuzidi kimo. Umeita taarifa zangu kwamba siyo sahihi...nakuchallenge uthibitishe! Kama huwezi niombe msamaha.Wewe ni mlaghaika. Hizo taarifa ulizoandika sio sahihi. Connect the dots...
Biashara zote za Mbowe zinasimamiwa na mtoto wa Mtei.
Connect the dots...
Biashara zote za Mbowe zinasimamiwa na mtoto wa Mtei.
Connect the dots...
ZeMarcopolo nakusubiri uthibitishe kuwa taarifa niliyotoa ni ya uongo, ukifanya hivyo mapema sitakuchukulia hatua yoyote ile ila ukiendelea kubana...
Cc: Moderator.
ZeMarcopolo, Mtei alikuwa Gavana wa BOT mwaka 1966 hadi 1974. Freeman Mbowe kazaliwa 14/9/1961, hivyo Mtei wakati anatolewa BOT Freeman alikuwa na miaka 13 kwa maana hiyo hata shule ya msingi hajamaliza.Sasa huo uhusanisho wako wa Mtei-Mbowe-BOT ni wapi na wapi; huu ni uupuzi mtupu, jitahidi uwe unachunguza kwanza kabla huja kurupuka kuandika ujinga.
Mkuu, kwa hiyo unatuambia kuwa Mbowe alitafutiwa kazi BoT na baba yake kwa sababu alikuwa maarufu anajuana na watu serikalini, nchi hii majanga nilidhani alipata kazi kutokana na elimu yake.
HIVI NI KWANINI TUNADANGANYANA??? Kama HIVYO MTEI alimpatia kazi MBOWE MTEI aliondoka UGAVANA 1980's wakati MBOWE akiwa na Miaka 20 sasa angempatiaje kazi?
Mbowe angepatiwa kazi na watu wengine zaidi ya MTEI sababu baba yake alikuwa anajulika serikalini enzi hizo....
Kuhusu pesa... MTEI haujui alifanya kazi WORLD BANK baada ya kuondoka UGAVANA? sasa Malipo yake yalikuwa ni Minono na alikaa kwa zaidi ya Miaka 12 Washington DC
Kwanini Wataka kudanganya Watanganyika; Yaani Unajaribu kulinda wezi wa MALI za NCHI HII kwa kutaka kulazimisha WIZI WA MTEI na MBOWE??
Sasa kama kweli huo wizi umeweza kuupata na kuconnect hizo DOTS... Vipi kwa MAWAZIRI waliokuwa serikalini DOTS zao haziwezi kuwa connected???
Akuombe msamaha kivipi kwani tupo mahakamani hapa, kila mtu kajenga hoja zake waachieni wasomaji.ZeMarcopolo, nakuomba sana uwe unatafakari kidogo kabla ya kujibizana na watu wanaokuzidi akili na maarifa. Wewe hakuna lolote unalolijua zaidi ya kukesha humu na kuingilia mijadala inayokuzidi kimo. Umeita taarifa zangu kwamba siyo sahihi...nakuchallenge uthibitishe! Kama huwezi niombe msamaha.
Umenikumbusha Dr. Slaa alivyokataa kujiuzuru baada ya kuvujisha barua ya siri aliyoandikiwa na kiongozi mwandamizi wa chama chake.
By the way, Dr. Slaa ni mwanasiasa ambaye hajawahi kuomba msamaha hata siku moja, anajiona yeye yuko perfect wakati wote...
Ritz ndio zao hawa yeye mara nyingi ni muongo Lakini hilo halioni!Kama kawaida yenu mkibanwa kwenye hoja mnakimbilia kwa Mods.
Akuombe msamaha kivipi kwani tupo mahakamani hapa, kila mtu kajenga hoja zake waachieni wasomaji.
Wewe ni mlaghaika.
Hizo taarifa ulizoandika sio sahihi.
Connect the dots...
Kumbe bado ulikuwa unashabikia CCM?Yaani we ze makopolo unataka kuhalalisha ufisdi unaofanywa na wanaccm wenzako kwa kulinganisha na umiliki wa nyumba alionao mbowe, kiukweli mnachokifanya sasa ni kuisafisha ccm kwa kinyesi hamtafika popote aise kumbe kuna haja cdm wachukue nchi, namshukuru mwita maranya alitahadhalisha khs mkakati wa kumchafua mbowe na chadema unakuja, binafsi kuanzia leo ctashabikia ccm tena.