Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
CCM wana mkakati wa kuwa kila mwenye maisha ya kati (middle class) au tajiri ni FISADI. Ili baadae tuamue kutafuta suluhu kuwa mwenye nacho abakie nacho tuanze afresh. Hili linaanza kupikwa hapa hapa.
Take care, huenda hili ndo kundi la majambazi alosema HALISI.
Take care, huenda hili ndo kundi la majambazi alosema HALISI.