Mzee Mtei,
Kwa sisi tunaokufahamu hatukuhitaji maelezo yako. Hao wanaokusema wewe ni fisadi ama wanasema hivyo kwa kutokujua au kwa ajenda zao binafsi, au labda wanapotosha makusudi maana ya neno fisadi. Asante pia kwa kitabu chako kimeweka kumbukumbu za historia ambayo wengine
tulikuwa hatuifahamu. Mungu akubariki.
Kwa sisi tunaokufahamu hatukuhitaji maelezo yako. Hao wanaokusema wewe ni fisadi ama wanasema hivyo kwa kutokujua au kwa ajenda zao binafsi, au labda wanapotosha makusudi maana ya neno fisadi. Asante pia kwa kitabu chako kimeweka kumbukumbu za historia ambayo wengine
tulikuwa hatuifahamu. Mungu akubariki.