MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Una maana tupate approval ya WB/IMF au tuachane nao na kujiundia mfumo wetu?
Strangely, Wachumi wetu wengi wanafikiri kuandika majarida n akufanya kazi WB/IMF, ADB na UN ndio njia pekee ya kuinua uchumi wetu.
Nimesema wakati fulani kuwa ningekuwa Mkuu wa Kitivo cha Uchumi UDASA, ningeweka kama sharti kwenye mitaala kuwa kila Mwanafunzi ili afaulu na kupata Shahada ya Uchumi, ni lazima awasilishe project ambayo itakuwa ni 50% ya maksi zake za kufaulu kwa kuonyesha mradi wa maendeleo unaofanya kazi ambao ameukuza kwa kushirikiana na wananchi iwe wa Mtaa, Kata, Kijiji, SACCOS au kikundi chochote cha Ushirika na tuone wakiimarika katika miaka hiyo minne waliyokuwa na "Mchumi" huyu!
No mkuu simaanishi tupate approval ya WB/IMF. Mimi naamanisha kuangalia mfumo huo tulio kuwa nao kabla ya ukoloni na tuufanye wa kisasa na kitaalamu zaidi.
Na kuhusu hiyo sehemu nyekundu hapo nimeipenda sana kwa sababu moja kuu. Ume point out tatizo moja ambalo nime liona lina tusumbua sana. Sisi Tanzania tuna watu ambao tuwaite "book worms"ambao kusoma kitu kutoka kwenye kitabu na kufaulu siyo tatizo. Lakini tatizo linakuja kuapply mtu kuapply elimu aliyo ipata. Sasa watu hawa wakifika makazini ambapo hamna vitabu vya kusoma wana chemsha.Mfumo wetu umebase sana kwenye mitihani tu na real work experience inakua haipo. Ndiyo maana napenda mfumo wa elimu wa Marekani kwa sababu una create watu ambao wanaweza kuapply elimu wanayo jifunza practically. We have smart people but when it comes to these guys applying their knowledge and skills in the real world it is like taking them out of their element completely.