Mtazamo wangu kuhusu wabunge wa UKAWA Kuzomea bungeni

Naheshimu mtazamo wako huo, ila kwakua tuko wachanga sana kisiasa hamtaelewa kilichofanyika na impact yake kwa Jamii ya kimataifa, kwamba kinachofanyika Zanzibar sio sahihi na kwamba Ccm wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

Walichaguliwa na wananchi sio wakashangilie upuuzi wa serikali ya ccm, Walichaguliwa ili wapinge dhuluma na uonevu dhidi ya Watanzania wote na jana walipinga. ASANTENI UKAWA.

......safi sana
 
Kwa sasa UKAWW hawana tena ajenda ya kujinadi kwa wananchi. Wamebaki kushikilia bango suala la Zanzibar tu kama mtaji wao wa kutokea
Bara walijificha nyuma ya pazia, zanzibar wamepora mchana kweupe. Ndio maana tunashikia bango ili uhalifu wa kikatiba ufike kikomo.
 
Kupata suluhisho katika mazingira gani? Fikiri kwa kina kabla ya kuchangia mada .......utajua kweli ni ipi na kweli itakuweka huru.
 
Kinachofurahisha zaidi ni kwamba comments za wananchi wengi juu ya maamuzi ya UKAWA ni negativu. Ka kweli wananchi wengi huku mitaani wanalaani sana walichofanya ukawa jana. Nimepita jana mitaa kadhaa kama Mfaranyaki, Bombambili, Makambi, Mateka, Mjimwema, Matarawe, hapa Lizaboni, Lilambo na kwingineko hakika wananchi wamekasirishwa sana na walichofanya UKAWA

Kwa hiyo wewe ulitegemea Songea kuwa na jipya? si ndiyo ngome yenu ya kujidaia?
 
Bunge la 11. Iliingia siku yake ya nne (4) ijumaa ambapo ilikuwa sikuu maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia bunge na kufungua rasmi. Kabla ya Mh. Magufuli hajaingia wabunge wa upinzani wanaounda UKAWA walianza kupiga makelele wakimtaja Maalim Seif wa Zanzibar. Hali hiyo ilimlazimu spika wa bunge Job Ndugai kuamuru watoke nje baada ya kuwataka watulie lakini hawakufanya hivyo.
Cha kujiuliza; Walichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kufanya vitu vya ajabu?
UKAWA sioni wanachodai hadi kupiga makelele ndani ya ukumbi tukufu la bunge. Katika kufuatilia kwangu kwa undani zaidi kuna mtu nyuma ya wabunge wa UKAWA, na si wote wanapenda kufanya fujo (kupiga kelele)
Kwa mtazamo wangu UKAWA nakoelekea watapoteza mwelekeo pia watakosa matumaini kwa wananchi, uchochezi huu huchangiwa na viongozi wakubwa wa vyama vinavyounda UKAWA. Cha kushangaza hata sheria inayozungunzia ukomo wa kipindi cha Rais Zanzibar wanapindisha.
Kwa mtazamo wangu UKAWA muda si mrefu watatengana.

Haki ya Wanzibar kwenu haina maana.
Sisi tuliowachagua hao wabunge ndiyo tumewatuma wabunge wa UKAWA wapinge uhuni wowote unaofanywa na serikali dhalimu ya CCM haijalishi watatumia style gani tunataka ujumbe ufike kwa namna yoyote na bado huu ni mwanzo tu.
Kwanini hamjadili chanzo cha tatizo mnakimbilia kujadili matokeo ya tatizo.
Neno "Maalim Seif" lililokua linatajwa bungeni ni ujumbe tosha kuwa mgombea wa CUF ndugu Maalim Seif aliyepata kura nyingi zaidi atangazwe mshindi. Wapinzani wangekaa kimya na kukenua kama fisiemu ingekua ni unafiki na usaliti kwa wapiga kura wa zanzibar.
 
Kinachofurahisha zaidi ni kwamba comments za wananchi wengi juu ya maamuzi ya UKAWA ni negativu. Ka kweli wananchi wengi huku mitaani wanalaani sana walichofanya ukawa jana. Nimepita jana mitaa kadhaa kama Mfaranyaki, Bombambili, Makambi, Mateka, Mjimwema, Matarawe, hapa Lizaboni, Lilambo na kwingineko hakika wananchi wamekasirishwa sana na walichofanya UKAWA

wasio na elimu ndo wanacomennt negatively kama wewe mana hamzijui hata hyo katiba zinasemaje ila kidogokidogo mtaelewa
 
Kupata suluhisho katika mazingira gani? Fikiri kwa kina kabla ya kuchangia mada .......utajua kweli ni ipi na kweli itakuweka huru.

Bunge la 11. Iliingia siku yake ya nne (4) ijumaa ambapo ilikuwa sikuu maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia bunge na kufungua rasmi. Kabla ya Mh. Magufuli hajaingia wabunge wa upinzani wanaounda UKAWA walianza kupiga makelele wakimtaja Maalim Seif wa Zanzibar. Hali hiyo ilimlazimu spika wa bunge Job Ndugai kuamuru watoke nje baada ya kuwataka watulie lakini hawakufanya hivyo.
Cha kujiuliza; Walichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kufanya vitu vya ajabu?
UKAWA sioni wanachodai hadi kupiga makelele ndani ya ukumbi tukufu la bunge. Katika kufuatilia kwangu kwa undani zaidi kuna mtu nyuma ya wabunge wa UKAWA, na si wote wanapenda kufanya fujo (kupiga kelele)
Kwa mtazamo wangu UKAWA nakoelekea watapoteza mwelekeo pia watakosa matumaini kwa wananchi, uchochezi huu huchangiwa na viongozi wakubwa wa vyama vinavyounda UKAWA. Cha kushangaza hata sheria inayozungunzia ukomo wa kipindi cha Rais Zanzibar wanapindisha.
Kwa mtazamo wangu UKAWA muda si mrefu watatengana.

Tusijidanganye bila kutenda haki na ikaonekana kweli inatendeka amani ya kweli inaweza kuwa ni kitenda wili tu. Kusiwe na double standard isiwe kwa kuwa kashinda fulani basi tunafuta uchaguzi.
 
Bunge la 11. Iliingia siku yake ya nne (4) ijumaa ambapo ilikuwa sikuu maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia bunge na kufungua rasmi. Kabla ya Mh. Magufuli hajaingia wabunge wa upinzani wanaounda UKAWA walianza kupiga makelele wakimtaja Maalim Seif wa Zanzibar. Hali hiyo ilimlazimu spika wa bunge Job Ndugai kuamuru watoke nje baada ya kuwataka watulie lakini hawakufanya hivyo.
Cha kujiuliza; Walichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kufanya vitu vya ajabu?
UKAWA sioni wanachodai hadi kupiga makelele ndani ya ukumbi tukufu la bunge. Katika kufuatilia kwangu kwa undani zaidi kuna mtu nyuma ya wabunge wa UKAWA, na si wote wanapenda kufanya fujo (kupiga kelele)
Kwa mtazamo wangu UKAWA nakoelekea watapoteza mwelekeo pia watakosa matumaini kwa wananchi, uchochezi huu huchangiwa na viongozi wakubwa wa vyama vinavyounda UKAWA. Cha kushangaza hata sheria inayozungunzia ukomo wa kipindi cha Rais Zanzibar wanapindisha.
Kwa mtazamo wangu UKAWA muda si mrefu watatengana.
Inaonekana huyajui madai ya UKAWA. Msikilize Tundu Lissu alitoa hoja jana asubuhi.
 
Mkuu mimi si mgeni ndani ya nchi yangu. Ufumbuzi wa tatizo si kupiga makelele kama watoto wadogo bali ni kupatia tatizo usuluhisho.

Kama wewe si mgeni hapa TZ basi aidha kuna mtu ameishikilia akili yako na anafanya maamuzi kwa niaba yako au umeamua kuvaa miwani ya mbao. Muulize huyo aliyeshikilia akili yako hiyo suluhu itapatikanaje?
 
Mkuu mimi si mgeni ndani ya nchi yangu. Ufumbuzi wa tatizo si kupiga makelele kama watoto wadogo bali ni kupatia tatizo usuluhisho.


Pole sana mti wa chuma, kwa upofu ulio kupata. Yaani weye na ufahamu wako hukuona impact iliyowekwa na UKAWA pale bungeni?? Kweli sikio la kufa halisikii tena dawa. Dawa ya JPM kujua kuwa hafanyi vizuri ni kumpigia zile kelele mpaka ashindwe kuhutubia tu. Hakuna namna nyingine pale.
CCM weshakufa macho na masikio kwa ulevi mmbaya wa madaraka. Hawaamini kuwa kuna mwingine duniani mwenye hata kauwezo ka kuongoza zaidi yao. Hata Maalim kuchaguliwa na wazanzibari kwao ni kukosa ufaham kwa wazanzibari, hivyo wao wanaamini bado Dr ni rais.
Usikubali kufunikwa macho. Funguka uione hiyo kweli
 
Tunataka wabunge wetu wa ukawa watuletee katiba ya wananchi. Tunashukuru jana walianza vizuri.
Maendeleo chini ya serikali ya ccm sio kitu cha kukitegemea sana.
 
Naheshimu mtazamo wako huo, ila kwakua tuko wachanga sana kisiasa hamtaelewa kilichofanyika na impact yake kwa Jamii ya kimataifa, kwamba kinachofanyika Zanzibar sio sahihi na kwamba Ccm wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano. Walichaguliwa na wananchi sio wakashangilie upuuzi wa serikali ya ccm, Walichaguliwa ili wapinge dhuluma na uonevu dhidi ya Watanzania wote na jana walipinga. ASANTENI UKAWA.
Mtawalilia sana hao et kimataifa ikawa akili ZERO, wenzenu hawafanyi mambo kijuhajuha wana sababu ya maana acheni kukurupuka
 
Naheshimu mtazamo wako huo, ila kwakua tuko wachanga sana kisiasa hamtaelewa kilichofanyika na impact yake kwa Jamii ya kimataifa, kwamba kinachofanyika Zanzibar sio sahihi na kwamba Ccm wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

Walichaguliwa na wananchi sio wakashangilie upuuzi wa serikali ya ccm, Walichaguliwa
ili wapinge dhuluma na uonevu dhidi ya Watanzania wote na jana walipinga. ASANTENI UKAWA.

excactly
 
Kinachofurahisha zaidi ni kwamba comments za wananchi wengi juu ya maamuzi ya UKAWA ni negativu. Ka kweli wananchi wengi huku mitaani wanalaani sana walichofanya ukawa jana. Nimepita jana mitaa kadhaa kama Mfaranyaki, Bombambili, Makambi, Mateka, Mjimwema, Matarawe, hapa Lizaboni, Lilambo na kwingineko hakika wananchi wamekasirishwa sana na walichofanya UKAWA
Sisi huku Mbeya tumefurahi sana.Tumeridhika kuwa wametusimamia vema.
 
Mkuu mimi si mgeni ndani ya nchi yangu. Ufumbuzi wa tatizo si kupiga makelele kama watoto wadogo bali ni kupatia tatizo usuluhisho.

tuambie watatatuaje mana wanagandamizwa kwa uchache wao nadhani uliona hata kwenye uchaguz wa naibu spika kilichotokea mi nadhani uelewa wako una walakini mimi tu ninaetoka kwenye familia za vigogo wa ccm naona kuna tatizo. Sasa tumekuwa kama simba na yanga kwa staili hii nchi haiendelei mpaka tupate chama na serikali inayofuata utaratibu wa sheria na katiba mpya
 
Back
Top Bottom