Wabunge wa CCM wanaojitambua wameamua kutoingia Bungeni kupitisha Azimio la kuuza Bandari; bunge lipo tupu

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,101
Hii nchi kuna mambo sensitive ambayo waliopewa dhamana wameamua wasiyasimamie. Leo kuna mjadala wa kukodishwa bandari, jambo nyeti kama hili lakini wabunge wa CCM awapo bungeni wapo mtaani wanapiga kamnyweso wakiangalia bunge kwenye TV.

This is not sawa kwa kweli, natambua wengi wamekwepa kuwa sehemu ya mjadala huu wakiogopa kuandamwa kwa kuipinga serikali; lakini tujiulize walipoimba ubunge awakujua wanakwenda kujadili mambo gani?

Bunge viti vipo empty as if hakuna jambo la maana linaendelea. Kulikuwa na haja gani ya kupeleka jambo hili kwenye bunge lisilo na wabunge?
 
Ni bora kuuepuka laana,kuliko kuitafuta laana.Nikimjua aliyekataa Kuwa sehemu ya jambo hili atakuwa rafiki,ndugu na mzalendo mwenzetu wa taifa hili🤔
 
Tupiamo na tupicha picha tujionee,isije Kuwa mambo yanaendelea closed door/behind the scene😂
 
Chadema Leo kama ningekuwa mwanasiasa wenu ningechoma moto kuanzia kadi yenu Hadi magunia yenu ya kupitia mipunga huku Rukwa.
Mwanazuoni Pr Alexandre Mkumbo huyu mtu ana akili kubwa sana.amechambua vizuri sana
 
Hii nchi kuna mambo sensitive ambayo waliopewa dhamana wameamua wasiyasimamie. Leo kuna mjadala wa kukodishwa bandari, jambo nyeti kama hili lakini wabunge wa CCM awapo bungeni wapo mtaani wanapiga kamnyweso wakiangalia bunge kwenye TV. This is not sawa kwa kweli, natambua wengi wamekwepa kuwa sehemu ya mjadala huu wakiogopa kuandamwa kwa kuipinga serikali; lakini tujiulize walipoimba ubunge awakujua wanakwenda kujadili mambo gani? Bunge viti vipo empty as if hakuna jambo la maana linaendelea. Kulikuwa na haja gani ya kupeleka jambo hili kwenye bunge lisilo na wabunge?
Bishop Gwajima, Mpina wamehudhuria?

Tuanzie hapo.
 
Chadema Leo kama ningekuwa mwanasiasa wenu ningechoma moto kuanzia kadi yenu Hadi magunia yenu ya kupitia mipunga huku Rukwa.
Mwanazuoni Pr Alexandre Mkumbo huyu mtu ana akili kubwa sana.amechambua vizuri sana
Sasa CDM wamekukirihisha kipi na hawapo bungeni?Au ndiyo ile ukionewa sehemu hata ukimkuta mbwa na wewe unampiga ili kutuliza uchungu wako?
 
Hii nchi kuna mambo sensitive ambayo waliopewa dhamana wameamua wasiyasimamie. Leo kuna mjadala wa kukodishwa bandari, jambo nyeti kama hili lakini wabunge wa CCM awapo bungeni wapo mtaani wanapiga kamnyweso wakiangalia bunge kwenye TV.

This is not sawa kwa kweli, natambua wengi wamekwepa kuwa sehemu ya mjadala huu wakiogopa kuandamwa kwa kuipinga serikali; lakini tujiulize walipoimba ubunge awakujua wanakwenda kujadili mambo gani?

Bunge viti vipo empty as if hakuna jambo la maana linaendelea. Kulikuwa na haja gani ya kupeleka jambo hili kwenye bunge lisilo na wabunge?
Kwani hao wabunge hawataki maendeleoo
 
Tupiamo na tupicha picha tujionee,isije Kuwa mambo yanaendelea closed door/behind the scene

IMG_6851.jpg

IMG_6849.jpg

IMG_6845.jpg

IMG_6846.jpg

IMG_6853.jpg




HATA HAWAJALI
 
Hii nchi kuna mambo sensitive ambayo waliopewa dhamana wameamua wasiyasimamie. Leo kuna mjadala wa kukodishwa bandari, jambo nyeti kama hili lakini wabunge wa CCM awapo bungeni wapo mtaani wanapiga kamnyweso wakiangalia bunge kwenye TV.

This is not sawa kwa kweli, natambua wengi wamekwepa kuwa sehemu ya mjadala huu wakiogopa kuandamwa kwa kuipinga serikali; lakini tujiulize walipoimba ubunge awakujua wanakwenda kujadili mambo gani?

Bunge viti vipo empty as if hakuna jambo la maana linaendelea. Kulikuwa na haja gani ya kupeleka jambo hili kwenye bunge lisilo na wabunge?
Hata hata Mimi na Mpwayungu Village hayupo bungeni
 
Ni bora kuuepuka laana,kuliko kuitafuta laana.Nikimjua aliyekataa Kuwa sehemu ya jambo hili atakuwa rafiki,ndugu na mzalendo mwenzetu wa taifa hili🤔
Sasa kama ana nafasi ya kwenda kupinga huu udhalimu akaamua kuepuka na kukaa kimya anakuaje mzalendo?
 
Back
Top Bottom