Siku nyingine inabidi wapigane kabsa......Tanzania ni Zanzibar na Tanganyika....nafikiri na wewe ulikuwa machimboni baada ya kufukiwa na kifusi ukaokolewa na kuja kuanzisha thread Hapa JF. THINK BIG
Huo ni mtazamo wako lakni ni sawa kabisa walivyofanya coz hyo ni mkoa 1 ya kupigania haki ya wananchi walowachagua, nadhani ww mwandishi hujui siasa mfano angalia bunge la south Africa julias malema na kundi lake anavyofanya bungeni ,nenda kajifunze siasa kwanza halaf ndo uandike utumbo wako humu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.