Mtazamo wangu kuhusu wabunge wa UKAWA Kuzomea bungeni

Unaandika kanakwamba ulikufa na ulivyofufuka tu ukakuta zomeazomea bungeni. Jifunze kufikiri na kutafakari chanzo cha tatizo. Unapowanyang'anya watu haki zao za msingi ulitarajia watakuchekea.

Sasa imesaidia nini zaidi ya kujichoresha?!kipi kimebadilika baada ya wao kutoka bungeni na kuzomea uongozi wa juu wa nchi kana kwamba wamekunywa viroba na gongo?!

Ni haki yao kisheria kwa mbunge kutoka nje ya ukumbi wa bunge pale anapoona hakubaliani au haafiki mada au hoja zinazotolewa!lakini kuzomea na kuleta fujo bungeni ni kinyume na sheria na taratibu za bunge!

Hoja zinapingwa kwa Hoja na sio Vioja kama walivyofanya Ukawa jan!Wametia aibu na kuwafanya watu waliowachagua kujutia maamuzi yao
 
ufisadi uliishiya wapi? na mafisadi wanao wao leo wameacha shida za watanganyika wameeanza za wapema mungubwasaidie ukawa kwao moshi vyoo vimefurika hats magari ya kunyonya maji machafu wangewapelekea jamani wanainchi wao wataingiya na geya ya Znz.hapo kwetu hatuwapi kura kwanza Znz hawawapendi Kyle hawataki wakristo
 
Bunge la 11. Iliingia siku yake ya nne (4) ijumaa ambapo ilikuwa sikuu maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia bunge na kufungua rasmi. Kabla ya Mh. Magufuli hajaingia wabunge wa upinzani wanaounda UKAWA walianza kupiga makelele wakimtaja Maalim Seif wa Zanzibar. Hali hiyo ilimlazimu spika wa bunge Job Ndugai kuamuru watoke nje baada ya kuwataka watulie lakini hawakufanya hivyo.
Cha kujiuliza; Walichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kufanya vitu vya ajabu?
UKAWA sioni wanachodai hadi kupiga makelele ndani ya ukumbi tukufu la bunge. Katika kufuatilia kwangu kwa undani zaidi kuna mtu nyuma ya wabunge wa UKAWA, na si wote wanapenda kufanya fujo (kupiga kelele)
Kwa mtazamo wangu UKAWA nakoelekea watapoteza mwelekeo pia watakosa matumaini kwa wananchi, uchochezi huu huchangiwa na viongozi wakubwa wa vyama vinavyounda UKAWA. Cha kushangaza hata sheria inayozungunzia ukomo wa kipindi cha Rais Zanzibar wanapindisha.
Kwa mtazamo wangu UKAWA muda si mrefu watatengana.
Tumewaelewa UKAWA na walichokifanya jana ni mojawapo ya njia ya ku - protest kutokukubaliana na uhuni wa CCM ambao ndiyo waliokuwa wanaongoza serikali zote za muungano na ile ya SMZ.

Binafsi nawaunga mkono na hisia zako za kwamba watapoteza mwelekeo huko mbeleni, zitaendelea kuwa hisia zako tu za kishabiki.

Laiti ungekuwa na uwezo wewe wa kuitisha uchaguzi leo, basi wananchi wangewaongeza wabunge wa UKAWA marudufu wa hawa waliopo kwa katiba, sheria, na tume ya uchaguzi hii hii!

Kwa kifupi kabisa, ujasiri wa jana waliouonesha wapinzani kama njia ya kupinga ushenzi na uhuni wa CCM unaoendelea huko Zanzibar, umewaongezea political score japo kwa CCM na wafuasi wao kama wewe wataona kwa jicho la uhuni kwa upande wao!!
 
UKAWA kwa sasa hawana hoja ya msingi. Kibaya zaidi ni kupiga makelele. Mtu mzima ukipiga makelele huna tofauti na mtoto mdogo.
 
Basi wamwambie shein aendelee kutawala hadi 2020 haina haja kupoteza fedha kwenye uchaguzi wakati mshindi wameshamteua.
 
Naheshimu mtazamo wako huo, ila kwakua tuko wachanga sana kisiasa hamtaelewa kilichofanyika na impact yake kwa Jamii ya kimataifa, kwamba kinachofanyika Zanzibar sio sahihi na kwamba Ccm wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

Walichaguliwa na wananchi sio wakashangilie upuuzi wa serikali ya ccm, Walichaguliwa ili wapinge dhuluma na uonevu dhidi ya Watanzania wote na jana walipinga. ASANTENI UKAWA.
Mweleweshe tu kwa upole mtoa mada.

Spika Ndugai alichanganyikiwa, wale viongozi wastaafu hawakuamini demokrasia ya Bunge ilivyofanya kazi walibakia vinywa wazi na kujionea aibu. Walijua janja ya CCM imejulikana na ulimwengu unafahamu DOMOkrasi la Tanzania.

Spika alionesha ubabe na mwanzoni Naibu spika naye alinukuu katiba ya Zanzibar kukidhi haja ya kuridhisha matakwa ya Chama Chake na kuhalalisha "uvundo, uchafu ulifanyika Zanzibar na maduhuri yake".

Spika Ndugai alishituliwa mwishoni kuwa mle ukumbini wapo mabalozi wanaowakilisha nchi zao. Naye akatambua uwepo huo na kuwatambulisha. Yaaah. Aibu ya CCM na Dr. Shein ya kupindisha katiba na sheria zimeonekana na zimeeleweka.

Ni mpaka pale mleta mada atakapoona hiyi "impact" ya wafadhili wetu ndio ataweza kuisoma namba vizuri.

Mhula wa urais ni miaka 5. na sio miaka 5 na miezi 3 na nusu. Umuhimu wa kuleta katiba inayokidhi mfumo mpya unaonekana hapa. Mleta mada aone umuhimu wa kuheshimu maamuzi ya wananchi kupitia uchaguzi mkuu na umuhimu wa kuheshimu katiba na sheria. Hili sio kwa upinzani tu ni kwa wote. CCM haiko juu ya Katiba na sheria hata kama wanataka kutuaminisha hivyo.
 
Mkuu mimi si mgeni ndani ya nchi yangu. Ufumbuzi wa tatizo si kupiga makelele kama watoto wadogo bali ni kupatia tatizo usuluhisho.

How? Kwa kujaribu kufuta uchaguzi kinyume cha sheria na katiba ya nchi kwa vile unahisi umeshindwa?

Mimi nafikiri wadai haki na wawatee wanyonge wa nchi hii kwa kutumia njia zozote poossible zinazojitokeza. Mojawapo ni hiyo na I believe asilimia kubwa ya wananchi wanawasapoti na mimi nikiwa mmojawapo!
 
Zanzibar inatawaliwa na Tanganyika kwa mawazo ya wanaCCM, UKAWA wanajua tuna Muungano, hapo kuna fikra mbili tofauti.

Na ninawaambia hata uchaguzi ukirudiwa, watahakikisha CCM inashinda, akishinda CUF utafutwa tena, kwasababu wanauwezo wa kuufuta Uchaguzi bila sababu,

Wanasema hataiachia Zanzibar kwa Karatasi, Je, uchaguzi si unatua karatasi?
Hata wakoroni walikuwa hawataki kutoka lakini walitoka, Nguvu itatumika mwisho mnao wakandamiza watachoka,
Mungu ibariki Tanzania.
 
Kwa sasa UKAWW hawana tena ajenda ya kujinadi kwa wananchi. Wamebaki kushikilia bango suala la Zanzibar tu kama mtaji wao wa kutokea

Sikuwahi kukuona ukija na HOJA ya maana tangu nikuone humu, ni mambo ya kike tu tena ya Kiswahili tu.

Nahisi una mapungufu makubwa sana kiakili na kifikra.
 
Mkuu mimi si mgeni ndani ya nchi yangu. Ufumbuzi wa tatizo si kupiga makelele kama watoto wadogo bali ni kupatia tatizo usuluhisho.

Wewe unaonekana una nidhamu ya woga ama ya kinafiki. Ile njia waliyotumia Ukawa ni njia sahihi na ya kistaarabu sana. Angalia nchi nyingine inapotokea hali kama hiyo ya ZnZ unakuta tayari vijana wanatembea na AK47 huku wakipita juu ya maiti. Hicho ccm mnachokifanya ZnZ hakikubaliki na jana ilikuwa ni sehemu tu ya kuwaonyesha watanzania na jumuiya ya kimataifa kwamba huko kuna ukiukwaji mkubwa wa katiba kwa maslahi ya ccm. Ninashukuru kila mtanzania na jumuiya ya kimataifa inayopenda amani wameona na kujua nini kinaendelea ZnZ na kila mmoja kwa wakati wake anawavutia pumzi. Iwapo itatokea la kutokea utaona ni akina nani wataenda kwenye mahakama ya kimataifa ni wabunge wa ukawa ama viongozi wa ccm wenye uchu wa madaraka.
 
Mweleweshe tu kwa upole mtoa mada.

Spika Ndugai alichanganyikiwa, wale viongozi wastaafu hawakuamini demokrasia ya Bunge ilivyofanya kazi walibakia vinywa wazi na kujionea aibu. Walijua janja ya CCM imejulikana na ulimwengu unafahamu DOMOkrasi la Tanzania.

Spika alionesha ubabe na mwanzoni Naibu spika naye alinukuu katiba ya Zanzibar kukidhi haja ya kuridhisha matakwa ya Chama Chake na kuhalalisha "uvundo, uchafu ulifanyika Zanzibar na maduhuri yake".

Spika Ndugai alishituliwa mwishoni kuwa mle ukumbini wapo mabalozi wanaowakilisha nchi zao. Naye akatambua uwepo huo na kuwatambulisha. Yaaah. Aibu ya CCM na Dr. Shein ya kupindisha katiba na sheria zimeonekana na zimeeleweka.

Ni mpaka pale mleta mada atakapoona hiyi "impact" ya wafadhili wetu ndio ataweza kuisoma namba vizuri.

Mhula wa urais ni miaka 5. na sio miaka 5 na miezi 3 na nusu. Umuhimu wa kuleta katiba inayokidhi mfumo mpya unaonekana hapa. Mleta mada aone umuhimu wa kuheshimu maamuzi ya wananchi kupitia uchaguzi mkuu na umuhimu wa kuheshimu katiba na sheria. Hili sio kwa upinzani tu ni kwa wote. CCM haiko juu ya Katiba na sheria hata kama wanataka kutuaminisha hivyo.

You are right Nonda and I like your comment!

Unajua sometimes ili mtu usikike na upate haki yako ktk mazingira fulani, ni lazima watu wakuone mjinga, mpumbavu, lofa au mtoto so long as wewe unajua nini unachokitaka. Mwisho wa siku manakuja kujua na kutambua alaa, kumbe huyu mtu hakuwa mjinga kama tulivyokuwa tunafikiri!!

Binafsi recently niliwahi kushuhudia kituko cha watuhumiwa flani cha ajabu sana hapa Mwanza ambao walisota mahabusu kwa muda mrefu sana pasipo kesi yao kusikilizwa.

Iilikuwa kila wakipelekwa mahakamani inapigwa tarehe kwa kisingizio cha upelelezi haujakamilika. Ikafika siku ambayo hawa jamaa sasa ilionekana wazi uvumilivu uliwafikia kikomo.

Haijulikani waliwa taimu vipi polisi kwani walichomoka na kwenda chini ya mti wa bendera ya taifa wakavua nguo na kubaki uchi huku wakipaza sauti zao wakieleza sababu ya kufanya vile.

Trust me, protest yao hiyo ilizaa matunda kwani japo waliwaona kama vichaa au wendawazimu flani, lakini dunia nzima iliona tukio lile na vyombo vinavyohusika vilipata changamoto kubwa hata kuwapa haki zao wale watu. Walikuwa ni wanaume wawili na walikuwa wanashtakiwa kwa kesi ya tuhuma za mauaji lakini walishasota zaidi ya miaka mitano mahabusu pasipo kesi kuamuliwa!!

Kwa kitendo cha jana kilichofanywa na upinzani, ni wazi halikuwa jambo la kufurahisha lakini ilikuwa lazima kitu kama hicho kifanyike kama njia ya kupeleka ujumbe kwa watawala.

Mimi naamini hata Mohamedi Shein mwenyewe ambaye ndiye kisababbisho na mlengwa mkuu wa kituko cha jana, kuanzia jana hiyo ataanza kufikiri tofauti.

Dunia iliona na itaanza kutaka kujua ni kwa nini vile!
 
Tumewaelewa UKAWA na walichokifanya jana ni mojawapo ya njia ya ku - protest kutokukubaliana na uhuni wa CCM ambao ndiyo waliokuwa wanaongoza serikali zote za muungano na ile ya SMZ.

Binafsi nawaunga mkono na hisia zako za kwamba watapoteza mwelekeo huko mbeleni, zitaendelea kuwa hisia zako tu za kishabiki.

Laiti ungekuwa na uwezo wewe wa kuitisha uchaguzi leo, basi wananchi wangewaongeza wabunge wa UKAWA marudufu wa hawa waliopo kwa katiba, sheria, na tume ya uchaguzi hii hii!

Kwa kifupi kabisa, ujasiri wa jana waliouonesha wapinzani kama njia ya kupinga ushenzi na uhuni wa CCM unaoendelea huko Zanzibar, umewaongezea political score japo kwa CCM na wafuasi wao kama wewe wataona kwa jicho la uhuni kwa upande wao!!

mkuu umenena vema.haya majitu mengi humu na hata mtaani hayajui kwamba ukawa haijamtambua huyo makomeo kama mshindi halali hvyo hata asingekuja na shein bado hana uhalali wa kuhutubia bunge.kuna limama flani limalaya tu la salun huku kwa msugur mbez liliniudhi sana jana nilitaman nikalilime makof4
 
Tatizo la hii nchi watu wana uelewa mdogo sana hivi huyo mbunge mnaemwita mtoto alienda kwa wananchi akaomba kura tena wengine awamu ya pili, wengi wao wamesoma, wana akili timamu. Wewe pasippo kujiuliza kwa nini wametoka njee unaanza maneno yako ya shombo, wale sio vichaa ni watu na akil zao kwa suala la Zanzibar jumuia za kimataifa zinajua haki haikutendeka, sasa wafanyeje ili sauti yao isikike? wapo sahihi sana na wangekaa kimya ningewadharau
 
Back
Top Bottom