Mtazamo: Imani ya wananchi kwa Serikali imeshuka tangu Dkt. Magufuli atutoke

Wananchi wakisikia kuna Tril 1.3 zimekopwa kwa ajili ya kuchochea mdororo wa uchumi ulioletwa na Uviko -19, wanahisi kupigwa tu. Wanajua kuna kizingumkuti namna zitavyotumika.

Umeme umekuwa ni tatizo la kukatika katika kila mara, wanahisi, kuna mchongo wa kupigwa kama walivypopigwa huko nyuma kupitia Escrow na Richmond

Teuzi za mawaziri zikifanyika, wanajua kuna safu ya mawaziri inapangwa ili kulikamua taifa, maana wanaoteuliwa wananukia ufisadi.

Waziri mwenye dhamana ya Biashara anakanusha hadharani kuwa hakuna mkataba au maelewano juu ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili hali uzinduzi wa ujenzi ulifanyika.

Ni muda mfupi sana serikali iliyopo madarakani imepoteza imani kwa wananchi.

kiukweli imani haijashuka mnamsingizia tu mama, Imani imeshakufa kusema imeshuka ni kumpa credit za uongo
 
K
hata mie simuelewi huyu mama, namuona ni JK amerudi kivingine!
bora dikteta!.
Kweli kabisa unapoona mwandishi wa hotuba wa JK anapewa wizara ya Nishati na mgao kurudi,ujenzi wa bandari ya Bagamoyo,jua ni Kikwete ulingoni.
 
Wananchi wakisikia kuna Tril 1.3 zimekopwa kwa ajili ya kuchochea mdororo wa uchumi ulioletwa na Uviko -19, wanahisi kupigwa tu. Wanajua kuna kizingumkuti namna zitavyotumika.

Umeme umekuwa ni tatizo la kukatika katika kila mara, wanahisi, kuna mchongo wa kupigwa kama walivypopigwa huko nyuma kupitia Escrow na Richmond

Teuzi za mawaziri zikifanyika, wanajua kuna safu ya mawaziri inapangwa ili kulikamua taifa, maana wanaoteuliwa wananukia ufisadi.

Waziri mwenye dhamana ya Biashara anakanusha hadharani kuwa hakuna mkataba au maelewano juu ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili hali uzinduzi wa ujenzi ulifanyika.

Ni muda mfupi sana serikali iliyopo madarakani imepoteza imani kwa wananchi.
Itapanda tuu kadiri wenge lao na mda unavyoenda.
 
Back
Top Bottom