Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,478
- 7,458
Una asili ya utumwa wewe sio bure.hata mie simuelewi huyu mama, namuona ni JK amerudi kivingine!
bora dikteta!.
Una asili ya utumwa wewe sio bure.hata mie simuelewi huyu mama, namuona ni JK amerudi kivingine!
bora dikteta!.
Sema nyie chato gang ambao mmeanzisha vi Id vipya humu vingi kuleta ujinga wenuWananchi wakisikia kuna Tril 1.3 zimekopwa kwa ajili ya kuchochea mdororo wa uchumi ulioletwa na Uviko -19, wanahisi kupigwa tu. Wanajua kuna kizingumkuti namna zitavyotumika.
Umeme umekuwa ni tatizo la kukatika katika kila mara, wanahisi, kuna mchongo wa kupigwa kama walivypopigwa huko nyuma kupitia Escrow na Richmond
Teuzi za mawaziri zikifanyika, wanajua kuna safu ya mawaziri inapangwa ili kulikamua taifa, maana wanaoteuliwa wananukia ufisadi.
Waziri mwenye dhamana ya Biashara anakanusha hadharani kuwa hakuna mkataba au maelewano juu ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili hali uzinduzi wa ujenzi ulifanyika.
Ni muda mfupi sana serikali iliyopo madarakani imepoteza imani kwa wananchi.
Jisemee nafsi yako......nami pia ni mwananchi.....na nina imani kubwa juu ya serikali hii......Wananchi wakisikia kuna Tril 1.3 zimekopwa kwa ajili ya kuchochea mdororo wa uchumi ulioletwa na Uviko -19, wanahisi kupigwa tu. Wanajua kuna kizingumkuti namna zitavyotumika.
Umeme umekuwa ni tatizo la kukatika katika kila mara, wanahisi, kuna mchongo wa kupigwa kama walivypopigwa huko nyuma kupitia Escrow na Richmond
Teuzi za mawaziri zikifanyika, wanajua kuna safu ya mawaziri inapangwa ili kulikamua taifa, maana wanaoteuliwa wananukia ufisadi.
Waziri mwenye dhamana ya Biashara anakanusha hadharani kuwa hakuna mkataba au maelewano juu ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili hali uzinduzi wa ujenzi ulifanyika.
Ni muda mfupi sana serikali iliyopo madarakani imepoteza imani kwa wananchi.
10 Tena kwa SSH.Wananchi wakisikia kuna Tril 1.3 zimekopwa kwa ajili ya kuchochea mdororo wa uchumi ulioletwa na Uviko -19, wanahisi kupigwa tu. Wanajua kuna kizingumkuti namna zitavyotumika.
Umeme umekuwa ni tatizo la kukatika katika kila mara, wanahisi, kuna mchongo wa kupigwa kama walivypopigwa huko nyuma kupitia Escrow na Richmond
Teuzi za mawaziri zikifanyika, wanajua kuna safu ya mawaziri inapangwa ili kulikamua taifa, maana wanaoteuliwa wananukia ufisadi.
Waziri mwenye dhamana ya Biashara anakanusha hadharani kuwa hakuna mkataba au maelewano juu ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili hali uzinduzi wa ujenzi ulifanyika.
Ni muda mfupi sana serikali iliyopo madarakani imepoteza imani kwa wananchi.
Kwa iyo kumbe una chuki tu na JK?😂😂hata mie simuelewi huyu mama, namuona ni JK amerudi kivingine!
bora dikteta!.
Angekuwa hajafanya cha maana asingekuwa anaongelewa kila kukicha humu licha ya wengine kumkejeli😅kiujumla wananchi hawajawahi kuwa na imani na serikali ya chama cha mapinduzi msitake kumwangushia jumba bovu huyu mama ili ionekane huyu mwendazake kafanya cha maana
Watanzania hawajawahi kuwa na imani na utawala wa CCM ndiyo maana Serikali hii dhalim inatumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.Wananchi wakisikia kuna Tril 1.3 zimekopwa kwa ajili ya kuchochea mdororo wa uchumi ulioletwa na Uviko -19, wanahisi kupigwa tu. Wanajua kuna kizingumkuti namna zitavyotumika.
Umeme umekuwa ni tatizo la kukatika katika kila mara, wanahisi, kuna mchongo wa kupigwa kama walivypopigwa huko nyuma kupitia Escrow na Richmond
Teuzi za mawaziri zikifanyika, wanajua kuna safu ya mawaziri inapangwa ili kulikamua taifa, maana wanaoteuliwa wananukia ufisadi.
Waziri mwenye dhamana ya Biashara anakanusha hadharani kuwa hakuna mkataba au maelewano juu ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili hali uzinduzi wa ujenzi ulifanyika.
Ni muda mfupi sana serikali iliyopo madarakani imepoteza imani kwa wananchi.
Kwa wakazi wa Masaki labda sie wa uswazi ukipita vijiweni utaelewaImani imeongezeka mara 100
Sukuma gangWananchi wakisikia kuna Tril 1.3 zimekopwa kwa ajili ya kuchochea mdororo wa uchumi ulioletwa na Uviko -19, wanahisi kupigwa tu. Wanajua kuna kizingumkuti namna zitavyotumika.
Umeme umekuwa ni tatizo la kukatika katika kila mara, wanahisi, kuna mchongo wa kupigwa kama walivypopigwa huko nyuma kupitia Escrow na Richmond
Teuzi za mawaziri zikifanyika, wanajua kuna safu ya mawaziri inapangwa ili kulikamua taifa, maana wanaoteuliwa wananukia ufisadi.
Waziri mwenye dhamana ya Biashara anakanusha hadharani kuwa hakuna mkataba au maelewano juu ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili hali uzinduzi wa ujenzi ulifanyika.
Ni muda mfupi sana serikali iliyopo madarakani imepoteza imani kwa wananchi.
mkuu hata mitume walikua wengi bt waliotajwa na kuzungumziwa zaidi ni wachache, levels katka maisha haziepukiki.Tanzania haijaanza kipindi cha utawala wa hayati JPM .... tuwe na akili timilifu.. .
Siempre JMT
Katembee jangwani kama kina Musa nawe ushushiwe manemane.Hivi kwenye maandiko kulikuwa na samaki wangapi na nipate mingapi ?
Jikite kwenye hoja ,ID ya nini?, pathetic!Itazame kwanza hiyo ID yake ndiyo utajua kwanini ameandika huu ujinga.
kilichofanyika ni kutengeneza kikundi cha propaganda za kusifu tu hata kwa vitu visivyo na maanaAngekuwa hajafanya cha maana asingekuwa anaongelewa kila kukicha humu licha ya wengine kumkejeli😅
Bebaneni na gwajiboy mkamfufue huyo mungu wenu, tumewachoka nyie wapuuziWananchi wakisikia kuna Tril 1.3 zimekopwa kwa ajili ya kuchochea mdororo wa uchumi ulioletwa na Uviko -19, wanahisi kupigwa tu. Wanajua kuna kizingumkuti namna zitavyotumika.
Umeme umekuwa ni tatizo la kukatika katika kila mara, wanahisi, kuna mchongo wa kupigwa kama walivypopigwa huko nyuma kupitia Escrow na Richmond
Teuzi za mawaziri zikifanyika, wanajua kuna safu ya mawaziri inapangwa ili kulikamua taifa, maana wanaoteuliwa wananukia ufisadi.
Waziri mwenye dhamana ya Biashara anakanusha hadharani kuwa hakuna mkataba au maelewano juu ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili hali uzinduzi wa ujenzi ulifanyika.
Ni muda mfupi sana serikali iliyopo madarakani imepoteza imani kwa wananchi.
Hama nchi,au kagalegale kwenye kaburi la mungu wenu afufuke,hata mie simuelewi huyu mama, namuona ni JK amerudi kivingine!
bora dikteta!.
Pole kama hili umeanza kuliona Leo, shida no kuwa unapokuwa mwimba pambio unageuka kipofu pamoja na ukiziwi juu.Wananchi wakisikia kuna Tril 1.3 zimekopwa kwa ajili ya kuchochea mdororo wa uchumi ulioletwa na Uviko -19, wanahisi kupigwa tu. Wanajua kuna kizingumkuti namna zitavyotumika.
Umeme umekuwa ni tatizo la kukatika katika kila mara, wanahisi, kuna mchongo wa kupigwa kama walivypopigwa huko nyuma kupitia Escrow na Richmond
Teuzi za mawaziri zikifanyika, wanajua kuna safu ya mawaziri inapangwa ili kulikamua taifa, maana wanaoteuliwa wananukia ufisadi.
Waziri mwenye dhamana ya Biashara anakanusha hadharani kuwa hakuna mkataba au maelewano juu ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili hali uzinduzi wa ujenzi ulifanyika.
Ni muda mfupi sana serikali iliyopo madarakani imepoteza imani kwa wananchi.
Jamaa wewe unakomenti za kipumbavu kweli!, Sijui una degree ngapi za ujinga.Hama nchi,au kagalegale kwenye kaburi la mungu wenu afufuke,
Samia hadi 2060,