Habari nilizozipata punde kutoka Zanzibar zinasema Mtawa Mkatoliki ameshambuliwa na kuumizwa vibaya Visiwani Zanzibar jirani kabisa na alipopigwa risasi Padri Mushi na kuuawa.
Chanzo ni mbwa wa masista kumng'ata kuku wa majirani. Ndipo kundi la vijana wenye mapanga na marungu wakamvamia mtawa na kumuumiza.-
Chanzo: Mwandishi wetu wa Zanzibar
Tafsiri ipi potofu? Kama walijiripua wenyewe pale soweto,hayo mengine yanashindikana vipi?
Hao vijana waliomshambulia wote ni majirani?me naona kama hili swala hata hali husiani na dini,perhaps ni ugomvi wa majirani tu au chuki binafsi ndani ya jamii ...
Tunamtakia mtawa pole kwa yote yaliyompata, Mungu amjalie apone haraka
Na upande wa pili hawatendei kazi kitabu chao:Teh Teh TehTatazo watu wengi huwa hawaelewi, wakisikia mashehe wanahubiri chuki dhidi ya madhehebu mengine wanadhani ni wachochezi, kumbe wao wanahubiri kilicho ndani ya vitabu vyao vya dini, na hiyo ndio kazi yao kama viongozi wa dini.
Tatazo watu wengi huwa hawaelewi, wakisikia mashehe wanahubiri chuki dhidi ya madhehebu mengine wanadhani ni wachochezi, kumbe wao wanahubiri kilicho ndani ya vitabu vyao vya dini, na hiyo ndio kazi yao kama viongozi wa dini.
Ni bora ufe bila dini lakni cio kuwa Muislam
Kwa hiyo una hati miliki ya Yesu?Suluhu ya udini Tanzania ni kuchora mstari tu! Hata siku moja YESU hajawahi kuitwa Issa, ila upande wa pili wanang'ang'ania kweli. Hawaridhiki na Mohd na Issa wao wanataka na YESU KRISTO! Majanga
Toa aya ndani ya Quran,yenye ushahidi na manen yako,usitoe maneno ya kichwani,au maneno ya vijiwe vya gongo.Sababu za 'kiimani' za waislam kuchukia mbwa ni
1. Wachafu- bata je?
2. Hufukuza malaika-
sijui wao waliumbwa na shetani?
3. Mtume Muhamad alisema mbwa WEUSI ni mashetani(evil)!- ina maana weupe hawana neno
Na yule ambaye hakuoa kabisa,alikuwa bwabwa?Labda ni baada ya kubainika alipenda sana mademu.. Mpaka wajane.. Mateka na vitoto vya miaka 9! Wajane wengine walikuwa wazuri akaamua kuwauwa waume zao! Na yeye akamchukua huyo mjane.. Ama kweli hii mikitu ni mitamu!
Wanawake wao watapewa nini au mipini hahahaaaa kweli majanga..Sure mkuu..
Nakichosababisha yooote haya ni ile aya ya mabikira 73
Lipumba....Na yule ambaye hakuoa kabisa,alikuwa bwabwa?
Kama alivyonyooshwa Ponda..Mtawa wenyewe kama ana bifu na wanakijiji wacha anyooshwe
Wakipigana wenyewe kwa wenyewe,alimuumiza mwenzake,tayari anakuwa ameshasilimu,kawa muislamu,ujinga huu sijui watauwacha lini.Utafikiri wakristo kwa wakristo hawapigani,wala hawauwani,wala hawagombani.Wakati wanachinjana kila siku na kuuwana,mke na mume tu,wakigombna wakikristo,wangapi wameshauwana kwa kunyongana,kupigana risasi,wacha wanaouwana huko Ireland ya kaskazini,na Kongo,mpaka hapo uganda kuna wanauwa na kutia vilema wenzao wakisema wametumwa na Mungu wao wauwe.Umenena vizuri Mkuu, maana kuna wengine wana chuki binafsi na udini uliopitiliza. Mbona kuna tetesi kwamba waliompiga huyo mtawa ni Wakatoliki wenziwe.