Na hili jotroo akaaaVaeni hata tyt ilimradi hizo fujo zipungue..
hahahahahahahaha.........Ila wewe jamaa unanichekesha sana, kwa hiyo ikifika usiku kichwa kinaanza kucheuwa matukio thereafter unamalizia hasira zako wapi?Hapana mkuu mimi hiyo hali nishai master ,nikikutana nao nawaangalia tu ila kusimamisha ni ule mda nimelala kitandani usiku nawaza matukio ya siku nzima
Hahaha......mara moja uwe unakuja mjini mkuu kujionea vituzHamna mwenye kapicha ka wanavyovaa na mie nione Mimi nipo kijijini.......
Sawa mkuu....Hahaha......mara moja uwe unakuja mjini mkuu kujionea vituz
Ukirudi kijijini ni mwendo wa kutembeza mkia tu huku unavuta picha ulizoziona townSawa mkuu....
Hahahahaha unauliza tena ?? Kama mama mwenye nyumba hayuko karibu ...naenda kuoga nusu saa kinachotokea huko ni kupeleka watoto bwawani sekondari kuogeleahahahahahahahaha.........Ila wewe jamaa unanichekesha sana, kwa hiyo ikifika usiku kichwa kinaanza kucheuwa matukio thereafter unamalizia hasira zako wapi?
Kwa hyo hakuna namna..Wanaume inabidi tuteseke tu. Plz usiwe na roho mbaya hvy.Na hili jotroo akaaa
Sasa si muwe mnafunga macho?Valentina roho mbaya hiyo...Onea watu huruma kwa kweli
Hahahaha...........basi mkuu umemaliza kaziHahahahaha unauliza tena ?? Kama mama mwenye nyumba hayuko karibu ...naenda kuoga nusu saa kinachotokea huko ni kupeleka watoto bwawani sekondari kuogelea
Hahahahaha unauliza tena ?? Kama mama mwenye nyumba hayuko karibu ...naenda kuoga nusu saa kinachotokea huko ni kupeleka watoto bwawani sekondari kuogelea
Nilijua tu utatokea ...= mabarabarani
mmmmh! itakuwa ww ndio nimekuona leo umenisbabishia balaa tupu, km vp tutafutane tumalizane kbs maana hali ni teteMaskini ulivyo ongea hadi unatia huruma.Ila tatizo joto jamani....
Khaa..Tukifunga macho tutagongwa na magari/pikipiki. Kungekua na miwan ya kizuia tusiwaone ningenunua kwa kweliSasa si muwe mnafunga macho?
Hahahaaaa cpati picha..Mkuu kwani ni kosa kisheria kutembea huku umesimamisha ?? Wewe ukiwaona simamisha tu
Sasa na hizo shingo hua mnageuza mara2 za nini?Khaa..Tukifunga macho tutagongwa na magari/pikipiki. Kungekua na miwan ya kizuia tusiwaone ningenunua kwa kweli
Kwa hyo kipi bora kati ya joto na kutuua kwa presha watoto wa wenzenu. Vumilineni tu muokoe maisha yetuMaskini ulivyo ongea hadi unatia huruma.Ila tatizo joto jamani....
Hawa viumbe wanataka haki sawa ,sasa piteni barabarani wakitingisha na sisi tunasimamisha ,Hahahaaaa cpati picha..
Wewe umeandika kama unachukia ila najua unapenda tu. Wanaume wengi wanapenda sana wanawake wawe nusu uchi au uchi kabisa barabarani na ndo maana nao wale wanavaa vile.. Mambo ya kula kwa macho c unajua.. Ila unajifanya eti wanachukia.. Just be honestDada zetu siku hizi hawapendi kuvaa chupi kabisa..Wenyewe wanadai wanataka wapigwe upepo kunako. Sasa wengine nguo wanazovaa ni hatari tupu,unakuta kavaa nguo lainii na mzigo kajaliwa huo mtikisiko sasa mpaka presha zinatupanda. Na wengine mpaka tamu yote inaonekana. Dada zetu hembu tuoneeni huruma sisi watoto wa watu. Tunajua ni utandawazi lakini sasa mmezidisha.