Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,384
Kwani kazi ya chupi ni nini haswa???
Kusitiri mwili wako..Kwani kazi ya chupi ni nini haswa???
Hivo nguo za nae hazisitiri bali chupi?Kusitiri mwili wako..
Mkuu hawa ndo wanasababisha perfomance inapungua kunako 6 kwa 6 mana ukiwa barabarani unamaliza hamu yote.Unasimamisha Dyudyu bila ya kupenda ukisema uangalie chin bodaboda nao watakupitia ukiangalia mbele unaona ndembendembe
Mpaka ufike om misuli ya uume inauma ukipewa Papunch hapo huchukui round chali hamu yote imeishia Mabarabaran(njian)Hahahahahaha vaeni chupi na nguo za kufunika miili yenu yote mnatunyanyasa kijinsia
Hahaaaa mkuu morning glory ndo nini hichoUnatembea umesimamisha kama morning glory
Bi mkubwa zako wewe si disposable ,hiyo nlikua sijawahi kuisikia popote zaidi ya jamii forum,kweli jamii forum ni kisiwa cha elimuBiashara ni matangazo.
kupungza mitetemoKwani kazi ya chupi ni nini haswa???
Mabarabarani=barabarani.= mabarabarani
Chupi mzigo tu......kupungza mitetemo
Bi mkubwa zako wewe si disposable ,hiyo nlikua sijawahi kuisikia popote zaidi ya jamii forum,kweli jamii forum ni kisiwa cha elimu
Ni ile hali ya uume kusimama alfajiri/asubuhi tena kwa muda mrefuHahaaaa mkuu morning glory ndo nini hicho
Kwa sababu umeamua kuwa mtumwa wa kuwaangalia basi usipate tabu pia kutembea na ki EVA chako ( sabuni) mjini kuna vyoo vingi unazama ndani unajishugulikiaHahaaaa...Mkuu ni tabu,unasimamisha mpaka misuli inauma mara kila kona wapo
Naam sawa sawa bi mkubwaSi kila mtu anajuwa kila kitu.
Nikweli mkuu zaman kumwona mwanamke ni mpaka umuoe ndio uone sehemu zake zikoje ila kwa sasa hata unajilinda na kujizuia ila utaona tu bila shurut tutaishia kula pweza tu na mihogo mibichi kuongeza nguvu mpaka imekuwa kawaida sasa kuona manyonyo na mitako yaoMkuu hawa ndo wanasababisha perfomance inapungua kunako 6 kwa 6 mana ukiwa barabarani unamaliza hamu yote.