Mtatuua jamani, vaeni chupi mtuepushie mabalaa

Mtatuua jamani, vaeni chupi mtuepushie mabalaa

C uweke na ka picha sasa? Mbona 'waalimu' wa siku hizi hampendi kutumia vielelezo... Mnapeenda porojo na nadharia tupu sasa wanafunzi wataelewaje???
 
Hamna mwenye kapicha ka wanavyovaa na mie nione Mimi nipo kijijini.......
 
Watu wengine wanaandika tu lakini kuna mipini na mpini ipo mipini mingine inafyatuka vibaya wajameni!
 
Mmmmh vyuoni ndo siku hizi imeingia wanaita fashenii yaaan mtu unakuta kavaa gaun.dera.kimini au sket ya kawaida ila uwo mtetemoo Wa wezereee n hatari jamani wakina Dada hebu mtuhulumie watoto Wa kiumeee duuuh ht km utandawazi mud a mwingine mtuhurumie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom