Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,941
- 3,963
- Thread starter
- #101
Kugeuza shingo hakupingiki...Ya huwa tunapigwa shock unajikuta umegeza tuSasa na hizo shingo hua mnageuza mara2 za nini?
Kugeuza shingo hakupingiki...Ya huwa tunapigwa shock unajikuta umegeza tuSasa na hizo shingo hua mnageuza mara2 za nini?
Itabidi kuongea na mchina atengeneze chupi zinazotoa kaupepo..Sasa sijui mtavaa au mtaleta sababu nyingineChupi zinatuchosha joto
Kuiziba mbumba ising'atwe na nyenyeleKwani kazi ya chupi ni nini haswa???
Kumbe mnaendekeza wenyeweKugeuza shingo hakupingiki...Ya huwa tunapigwa shock unajikuta umegeza tu
Maana hata Dar sijawahi kufika...Ukirudi kijijini ni mwendo wa kutembeza mkia tu huku unavuta picha ulizoziona town
Ukisimamisha si atajaza watu .....Mkuu kwani ni kosa kisheria kutembea huku umesimamisha ?? Wewe ukiwaona simamisha tu
UncleBen hauna kapicha japo nikaona hao wadada Wa mujiniiiHahaha inaelekea ninafanana akili na Uncleben wa Kijitonyama
Teh teh afande Maduhu bana nenda kitengo cha uhamiaji utawakuta hao wadada wa uhamiaji utafikiria ni watoto wa baba mmoja wengi wao wana balaaUncleBen hauna kapicha japo nikaona hao wadada Wa mujiniii
Kivipi sasa Dr ?? Wewe unatembea zako huku ukipiga mluzi hao watu atakujazia vipi ?Ukisimamisha si atajaza watu .....
Ha ha ha uku bunda hawa wajita si washamba......aiseeTeh teh afande Maduhu bana nenda kitengo cha uhamiaji utawakuta hao wadada wa uhamiaji utafikiria ni watoto wa baba mmoja wengi wao wana balaa
Sasa na wewe unashindwa kutafuta hata kisafari cha uongo na kweli ,uende Mbeya,Mwanza au Bukoba ?? Au Uncle Magu ukim beep anakupigia ??Ha ha ha uku bunda hawa wajita si washamba......aisee
Mkuu kwani Marekani nako pia hawavai chupi...Ndo ninasafari ya kwenda huko.Sasa na wewe unashindwa kutafuta hata kisafari cha uongo na kweli ,uende Mbeya,Mwanza au Bukoba ?? Au Uncle Magu ukim beep anakupigia ??
Ujanja wote hapo Nairobi tu sijawahi kukanyaga sasa huko Marekani inabidi uongee vizuri na GENTAMYCINE niliona sehemu kasema yeye yupo TexasMkuu kwani Marekani nako pia hawavai chupi...Ndo ninasafari ya kwenda huko.
Antibiotic........yupo Texas ya Bukoba....Ujanja wote hapo Nairobi tu sijawahi kukanyaga sasa huko Marekani inabidi uongee vizuri na GENTAMYCINE niliona sehemu kasema yeye yupo Texas
Hujui tu tunavyoweweseka..Laiti ungejua kila siku ungevaaKumbe mnaendekeza wenyewe
Ha haa mnashida sana nyie. Hebu mtuwacheHujui tu tunavyoweweseka..Laiti ungejua kila siku ungevaa
Huo ni unyanyasaji wa kijinsia...Ha haa mnashida sana nyie. Hebu mtuwache
Sasa starehe ya mwenzako iweje kero kwako?Huo ni unyanyasaji wa kijinsia...