Mtatuua jamani, vaeni chupi mtuepushie mabalaa

Mtatuua jamani, vaeni chupi mtuepushie mabalaa

hahahahahahaaaa daaaah umenifanya nicheke mpaka basi.. saiv nitaaza kutembea nikiwaangalia wanaume nione kama wanautendea kazi ushauri wako.
Teh teh mimi nilikua nafurahisha jamvi huyo mwanaume atakae tembea kasimamisha atajua mwenyewe lazima aonekane chizi
 
d5e7b84cc42135ad8cf49ff91644a0d1.jpg
 
aq
Teh teh mimi nilikua nafurahisha jamvi huyo mwanaume atakae tembea kasimamisha atajua mwenyewe lazima aonekane chizi

aiseee basi umejua kufurahisha..yaani hapa nawaza ndo yupo kwenye daladala sasa daaah
 
Shida ni pale unakumbwa na mfadhaiko, ndugu yangu usiombe jioni uwe kwenye daladala la Mbagala halafu awe amesimama mbele yako na hana pichu. Ile laiiini iwe inakugusa kunako kila wakati, unaweza kuumbuka!
Na wadada wenyewe walivyo na kusudi kila unapokwepesha, yeye analengesha. Ukipeleka kushoto yupo, kulia kategesha, unaweza kushuka BP bila kutegemea.
umenikumbusha mbali sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom