Mkuu kwani ni kosa kisheria kutembea huku umesimamisha ?? Wewe ukiwaona simamisha tu
Daah wewe Aggyjay,si umeshaelewa lakini? yaani hali mbaya ya mitikisiko jamani au ?Mabalabarani ndo wakina nani?
Tatizo sio kuivuta nakuilaza juu Mkuu,tatizo hisia inakaa rohoni,wanaume tunapata mfadhaiko mpaka tunagongwa na Bajaj,kwa kweli hata ukikwepa kutazama,kule utakapo kwepea unakutana na ingine inatikisika kama Tractor shambani.Sasa mkuu si unaivuta tuu unailaza kwa juu kwenye mkanda wala hamna atakayejua ,kosa labda uwe ni mvaaji wa suruali ya kitambaa
duh!mkuu we noumer naona unamshauri mwenzako asmamishe tu wakati hali kwake mbayaMkuu kwani ni kosa kisheria kutembea huku umesimamisha ?? Wewe ukiwaona simamisha tu
Dah, mkuu umenifanya naonekana zuzu kwa kucheka barabarani peke yanguMkuu kwani ni kosa kisheria kutembea huku umesimamisha ?? Wewe ukiwaona simamisha tu
Akikusahihisheni au kusema ukweli,mnakuwa kama wanawake kwenye kitchen party,yaani full kujishaua kama mmepaka lipstick eti oooh ajuza oooh bibiii oooh my foot,unamjua vizuri? unarukia pikipiki kwa mbele? utakatika korodani,kwa nini usichangie hoja tukapata faida badala ya kumuandama mtu huyo huyo kila mara,akitoa hoja yoyote tayari mnaanza kuhara,kwani mwanamke jukwaani ni yeye peke yake?,au huo ushungi ndio sababu,hakuna mwanaume dhaifu duniani kama yule anaeonea wanawake,wewe mama yako au bibi yako sio ajuza,kwa hiyo ajuza ni dhambi?,kama ni dhambi basi hata wazee wako wana dhambi.bibiiii
Kusitiri tupu au maumbile,na kama haina kazi,basi msivae mkiwa period,tembeeni hivyo hivo ndio mtajua tofauti kati ya mnyama na binadamu,baba,kaka,wajomba,mama zenu watawasifu na kuwapa zawadi.Kwani kazi ya chupi ni nini haswa???
Acha kupotosha wewe bibi kwa kujifanya unajua Kiswahili kumbe ni kilaza..Kwenye Kiswahili hakuna wingi wa bararaba unaotumia mabarabara.Jipange kwanza= mabarabarani
Haha samahani mkuuDah, mkuu umenifanya naonekana zuzu kwa kucheka barabarani peke yangu
Akikusahihisheni au kusema ukweli,mnakuwa kama wanawake kwenye kitchen party,yaani full kujishaua kama mmepaka lipstick eti oooh ajuza oooh bibiii oooh my foot,unamjua vizuri? unarukia pikipiki kwa mbele? utakatika korodani,kwa nini usichangie hoja tukapata faida badala ya kumuandama mtu huyo huyo kila mara,akitoa hoja yoyote tayari mnaanza kuhara,kwani mwanamke jukwaani ni yeye peke yake?,au huo ushungi ndio sababu,hakuna mwanaume dhaifu duniani kama yule anaeonea wanawake,wewe mama yako au bibi yako sio ajuza,kwa hiyo ajuza ni dhambi?,kama ni dhambi basi hata wazee wako wana dhambi.