Mtatuua jamani, vaeni chupi mtuepushie mabalaa

Mtatuua jamani, vaeni chupi mtuepushie mabalaa

Tatizo sio kuivuta nakuilaza juu Mkuu,tatizo hisia inakaa rohoni,wanaume tunapata mfadhaiko mpaka tunagongwa na Bajaj,kwa kweli hata ukikwepa kutazama,kule utakapo kwepea unakutana na ingine inatikisika kama Tractor shambani.
Sawa kabisa mdau..Hizi adha kuna watu sijui hawazioni??
 
Cha kushangaza wengine wanavaa chupi, skin tight na kaptula juu.
 
mm nikiona zengembe tu dudu langu.hilooo
 
Nimeona eti kuna siku ya wasiovaa chupi .....
IMG-20160623-WA0010.jpg
 
Thread Mzuri Ila Imekosa Mvuto Kwasababu Imekosa Picha Hata Moja Jamani Hii Ni Hatari
Nawaalika Members Kuweka Picha Kwenye Hii Mambo
 
Mkuu hata mimi tabia hii ya baadhi ya members huwa inanikera sana, yaani akijitokeza tu kuchangia jambo la maana wao wana derail mada kabisa na kuanza kumshambulia bila sababu!!!

Nafikiri tatizo ni male chuvanism walizo copy wakati wa makuzi yao - binadamu wenye traits za nanma hiyo ni wazi hata manyumbani mwao ni wanyanyasaji wakubwa wa akina mama!!!
Mkuu heshima kwako,yaani umelenga pale pale,ni male chauvanism ndio saratani iliyowakumba kizazi cha leo,hata hivyo hakuna wanachokipata zaidi ya laana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom