Mtanzania Hasa A Kingo awa Jaji Nchini Marekani

Mtanzania Hasa A Kingo awa Jaji Nchini Marekani

wanafata maisha ndugu..
wee unadhani mzungu hata awe maskini ataoa kibibi ili atunzwe??!!
akioa jua anatafuta FAME tuu..
sisi wabongo huku ni rahisi kuwa baba wa nyumbani.lakini sio muamerika mwenye akili zake eti umuweke kinyumba..BIG NO
Haya unayoyaandika yapo katika race zote , fuatilia forum za nje hukonutaelewa , au hata majadiliano yao hap wazungu YouTube!
 
Joe Chialo was born in 1970 in Bonn as the son of a Tanzanian diplomat. In the 1990s, he was a member of the Green party. "I am not the token black guy," said Chialo now a CDU party candidate in an interview ..... BILD...



Source : BILD
 
Ukioa mweusi hupati mafanikio ughaibuni kwani kila siku ni kuzinguana tu! Mzungu akipenda amependa!!

So this means wanawake wote (duniani) sio Sawa?

Funny fact is; Kuna wanawake “weusi “ wanasema the same statement about “muzungu “ men!

Dunia na viumbe vyake!!

Hongera sana Judge Hassa A.
 
Naomba maoni yako kuhusu “dada zenu wa Kiafrica” ambao ni wake wa
Wako njema na ndoa zao provided hawana uswahili na ninao kadhaa ambao pia ni marafiki zangu. They enjoy their marriages maisha yanaenda poa tu.

Waswahili swahili kama akina Mange tumewaona live walivyoharibu huko ughaibuni.
 
Kama nikifanikiwa kuvuka tu maji ya bahari kuingia huko utashani why nisione mtasha[emoji2]

Nani anataka drama za wala vumbi wa bongo[emoji1787][emoji1787]
 
Hao kina Obama alioa kabla ya kuwa maarufu Sasa angeoaje wakati amekuwa Raisi wa nchi, kikwete tumtoe tu kwenye hii list, pia but majority ya blacks maarufu hukimbiliwa na wazungu that's was my point
Usikute hao wazungu nao ukimbilia kuolewa na black wenye ukwasi na jina

Wazungu wako walalahoi pia
 
Kama nikifanikiwa kuvuka tu maji ya bahari kuingia huko utashani why nisione mtasha[emoji2]

Nani anataka drama za wala vumbi wa bongo[emoji1787][emoji1787]
Nani hataki mbegu kama hizi? Hawa ni watoto wa Chindo Man yule bro chalii ya Chuga. Alipata mtasha wake unyamwezini akafanya kweli! Sahivi LG tu maisha yanaenda na uwekezaji wa kutosha no drama yani.

Angekuwa na Mmeru sahizi angekuwa analewa tu banana na bangi nyingi kwa stress pengine angekuwa dalali wa vitunguu toka Mang’ola hapo😅
EF258089-92B6-4585-9E43-286E0B2C0A09.jpeg
 
Sijui kwanini wabongo wengi (sio wote) wanapenda kuoa vibibi huko duniani....🤔🤔
Sasa mkuu nani anapenda kuendelea kuwa kwenye chain ya kupambania wali maharage😅?

Ofcourse naweza sema 80% ya wabongo wapo katika deep state of poverty kuna 20% ya watu ambao ni High na Middle income earners hao ndio wanasiasa na wafanyabiashara wakubwa na wengine wala rushwa humo na janja janja.

Wananchi wa kawaida wengi ni maskini so ikitokea chance kuna watu huwa hawataki kuzichezea! Ndio utaona kugonga kibibi ni ajabu ila maisha ya mtoni msoto wake sio wa kutafta hela ya kula na kulala kama bongo. Ukila visa ukaenda ukapewa PR ya kule mambo huwa mswano tu.

Bongo ukikosa mchongo maisha yanakuwa shaghalabagala kabisa😂😂😂 utateseka adi ufe!
 
Huyo ni mmarekani mwenye asili ya Tanzania. Ni sawa na case ya Obama Kenya
 
Sasa mkuu nani anapenda kuendelea kuwa kwenye chain ya kupambania wali maharage😅?

Ofcourse naweza sema 80% ya wabongo wapo katika deep state of poverty kuna 20% ya watu ambao ni High na Middle income earners hao ndio wanasiasa na wafanyabiashara wakubwa na wengine wala rushwa humo na janja janja.

Wananchi wa kawaida wengi ni maskini so ikitokea chance kuna watu huwa hawataki kuzichezea! Ndio utaona kugonga kibibi ni ajabu ila maisha ya mtoni msoto wake sio wa kutafta hela ya kula na kulala kama bongo. Ukila visa ukaenda ukapewa PR ya kule mambo huwa mswano tu.

Bongo ukikosa mchongo maisha yanakuwa shaghalabagala kabisa😂😂😂 utateseka adi ufe!
Wali maharage umekukosea nini jamani?
 
Back
Top Bottom