SwadaktaMpaka amekua jaji Us basi ujue sio mtanzania tena.
kama ni kweli isomeke "Mmarekani mwenye asili ya Tz"
Nakumbuka yule jamaa aliye pata tuzo ya nobel tukaanza jimwambafai kumbe sisi wenyewe tulimzingua mpaka akakimbia nchi!Huyu ni Mtanzania kutoka kijiji cha Msanga kwa Dibibi, Wilaya ya Kisarawe.
Leo ameapishwa kuwa Jaji wa Mahakama jiji la New York.
Anaingia kwenye rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kuwa Jaji nchini Marekani.
View attachment 2040082View attachment 2040083View attachment 2040084View attachment 2040085
Huyu ni Mtanzania kutoka kijiji cha Msanga kwa Dibibi, Wilaya ya Kisarawe.
Leo ameapishwa kuwa Jaji wa Mahakama jiji la New York.
Anaingia kwenye rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kuwa Jaji nchini Marekani.
View attachment 2040082View attachment 2040083View attachment 2040084View attachment 2040085
Hongera zake. Huu utaratibu wa sisi wananchi kuwachagua kwa kuwapigia kura majaji utatusaidia sana kupata majaji ambao hawapokei maelekezo kutoka kwa wanasiasa.Huyu ni Mtanzania kutoka kijiji cha Msanga kwa Dibibi, Wilaya ya Kisarawe.
Leo ameapishwa kuwa Jaji wa Mahakama jiji la New York.
Anaingia kwenye rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kuwa Jaji nchini Marekani.
View attachment 2040082View attachment 2040083View attachment 2040084View attachment 2040085
Huyu ni Mtanzania kutoka kijiji cha Msanga kwa Dibibi, Wilaya ya Kisarawe.
Leo ameapishwa kuwa Jaji wa Mahakama jiji la New York.
Anaingia kwenye rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kuwa Jaji nchini Marekani.
View attachment 2040082View attachment 2040083View attachment 2040084View attachment 2040085
Sijui kwanini wabongo wengi (sio wote) wanapenda kuoa vibibi huko duniani....🤔🤔
Hivi kijana wa kitanzania unazama nchi za wenzetu unao mweusi mwenzako!!! Aibu, oa hata kama ni kibibi cheupe ili ubadilishe ngozi za wanao. Aidha kama unataka kuoa mweusi usidandie nchi za wenzako, tubanane hapa hapa.Weusi na wazungu yaani ukiwa na mafanikio lazaima uowe mzungu.
Kwa hiyo weusi ni laana kwa watoto wetu tukiwa ughaibuniHivi kijana wa kitanzania unazama nchi za wenzetu unao mweusi mwenzako!!! Aibu, oa hata kama ni kibibi cheupe ili ubadilishe ngozi za wanao. Aidha kama unataka kuoa mweusi usidandie nchi za wenzako, tubanane hapa hapa.
Wazungu wanapenda mtu mwenye future I'm sure Africa ingekuwa rich continent ungekuta nusu ya watu weusi duniani through intermarriages na hao whitesWeusi na wazungu yaani ukiwa na mafanikio lazaima uowe mzungu.
Sijui kwanini wabongo wengi (sio wote) wanapenda kuoa vibibi huko duniani....[emoji848][emoji848]