Mtanzania Hasa A Kingo awa Jaji Nchini Marekani

Mtanzania Hasa A Kingo awa Jaji Nchini Marekani

Usikute hao wazungu nao ukimbilia kuolewa na black wenye ukwasi na jina

Wazungu wako walalahoi pia
Yes ndio hukimbilia kwa blacks Ili kupata utajiri plus fame juu ya yote
 
Wabongo huwa tunapenda unafiki na kujigongagonga

Halafu huyu sio kiranga huyo

Maana nae mzaramo[emoji1787]
Sahv watajikomba atatengenezewa

Mpaka makalaa,tunawasubiria wakina mlayo, gbltv etc

Ova
 
Sio kweli mkuu, mapenzi ni hisia na wanawake wanakuwa emotional driven, sio lazima iwe sababu ulizosema,
Uko serious Jombaa? Au unatania? Women love men for what they can do for them (opportunistically) i.e higher status, better lifestyle, physical protection, etc. Hujawahi kusikia kauli ya filisika umjue mkeo?
Watu wanabeba wazungu safi tu kutoka hapa hapa tz
Umeisoma vizuri hiyo comment yangu? Jaribu kuirudia taratibu na uitafakari. Jamaa aliuliza mbona wanaoa vibibi vya kizungu? Hata hawa unaowasema huwa wanaoa wanawake wakubwa past their prime years(30+).

Ngoja nikupe tafsiri ya nilichomaanisha kwa mfano, Je, hakuna wanawake wanaopata mimba wakiwa na miaka 50? Jibu ni wapo. Ila si kila mwanamke anaweza kupata mimba na umri huo.
 
Sasa mkuu nani anapenda kuendelea kuwa kwenye chain ya kupambania wali maharage😅?

Ofcourse naweza sema 80% ya wabongo wapo katika deep state of poverty kuna 20% ya watu ambao ni High na Middle income earners hao ndio wanasiasa na wafanyabiashara wakubwa na wengine wala rushwa humo na janja janja.

Wananchi wa kawaida wengi ni maskini so ikitokea chance kuna watu huwa hawataki kuzichezea! Ndio utaona kugonga kibibi ni ajabu ila maisha ya mtoni msoto wake sio wa kutafta hela ya kula na kulala kama bongo. Ukila visa ukaenda ukapewa PR ya kule mambo huwa mswano tu.

Bongo ukikosa mchongo maisha yanakuwa shaghalabagala kabisa😂😂😂 utateseka adi ufe!
Kaka hata ukiwa na karatasi kama sio mpambanaji hutoki,watu wakifika nje wanabweteka wanajiona wamekuwa wazungu
 
Huyu ni Mtanzania kutoka kijiji cha Msanga kwa Dibibi, Wilaya ya Kisarawe.

Leo ameapishwa kuwa Jaji wa Mahakama jiji la New York.

Anaingia kwenye rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kuwa Jaji nchini Marekani.
View attachment 2040082View attachment 2040083View attachment 2040084View attachment 2040085
Mnapenda sana huu ujinga wa kudandia mafanikio ya watu, Tanzania hakuna uraia pacha na ulishakataliwa. He is simply a US citizen

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Huyu ni Mtanzania kutoka kijiji cha Msanga kwa Dibibi, Wilaya ya Kisarawe.

Leo ameapishwa kuwa Jaji wa Mahakama jiji la New York.

Anaingia kwenye rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kuwa Jaji nchini Marekani.
View attachment 2040082View attachment 2040083View attachment 2040084View attachment 2040085
Hakuna kijiji kinacho itwa msanga kwa dibibi bali kuna kijiji kinaitwa msanga. Apo pana soko japo ni dogo sana wamezoea kupaita msanga sokoni. Sasa kwa mbele kuna check point ya maliasili kuna diwani mmoja amejenga apo huyo diwani ndio anaitwa dibibi. Mtoto wake mmoja anaitwa shafii nimesoma nae apo Jasesco. Mzee mwingine maharufu apo msanga sokoni ni mzee gema,ng'ungule n.k
 
Nakumbuka yule jamaa aliye pata tuzo ya nobel tukaanza jimwambafai kumbe sisi wenyewe tulimzingua mpaka akakimbia nchi!

Yani tunapenda kudandia mafanikio ya mtu badala ya kuweka mazingira mazuri ili tutengeneze watu wenye mchango hapa duniani!

Sasa huyu una muita mtanzania, hivi anaweza kuwa judge nchini marekani wakati sio raia wa Marekani?
Tuwatengeneze wakati mtu hapa home akiwa na reasoning kubwa utaitwa kibaraka wa mabeberu, mara sio mzalendo au mleta chokochoko.
Mf lissu, saa8
 
Uko serious Jombaa? Au unatania? Women love men for what they can do for them (opportunistically) i.e higher status, better lifestyle, physical protection, etc. Hujawahi kusikia kauli ya filisika umjue mkeo?

Umeisoma vizuri hiyo comment yangu? Jaribu kuirudia taratibu na uitafakari. Jamaa aliuliza mbona wanaoa vibibi vya kizungu? Hata hawa unaowasema huwa wanaoa wanawake wakubwa past their prime years(30+).

Ngoja nikupe tafsiri ya nilichomaanisha kwa mfano, Je, hakuna wanawake wanaopata mimba wakiwa na miaka 50? Jibu ni wapo. Ila si kila mwanamke anaweza kupata mimba na umri huo.
Nimekupata vyema mkuu, uko sahihi kea upande mmoja
 
hen unaona hawakufai kuao unaenda ku-commit to other women?
Ni maamuzi ya mtu binafsi, kuoa au kuolewa na mtu wa taifa lolote,

Namtu akiwa na tatizo juu ya hilo mara nyingi ni ... inferiority complex
 
Back
Top Bottom