Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,159
- 111,033
Uposawa mkuu, autufanye ndio anamiaka 21....teh🤣hana ubibi wowote huyo,wenzetu wanazeeka haraka tu,ukute ana miaka 38 huyo.
Uposawa mkuu, autufanye ndio anamiaka 21....teh🤣hana ubibi wowote huyo,wenzetu wanazeeka haraka tu,ukute ana miaka 38 huyo.
Sipendi huo ujanja wao, na sisi hatuoni kuwa hao chawa wanafuata watu wenye mafanikio tuu, makabwela hawana habari nao.Wazungu wanapenda mtu mwenye future I'm sure Africa ingekuwa rich continent ungekuta nusu ya watu weusi duniani through intermarriages na hao whites
Yes sio kwamba weusi wabaya ila umaskini angalia black wote wenye vyeo na pesa wameoa wazunguSipendi huo ujanja wao, na sisi hatuoni kuwa hao chawa wanafuata watu wenye mafanikio tuu, makabwela hawana habari nao.
Achana nao maana bahati utapisha nazo MlangoniKwa hiyo weusi ni laana kwa watoto wetu tukiwa ughaibuni
Ukioa mweusi hupati mafanikio ughaibuni kwani kila siku ni kuzinguana tu! Mzungu akipenda amependa!!Achana nao maana bahati utapisha nazo Mlangoni
Easy target. Wanawake wa kizungu akiwa ktk prime (20 - 24) na beauty scale yake ikiwa 8 to 10 out of 10 sio rahisi kuolewa na mwanaume mweusi ni asilimia ndogo sana (hasa hasa wana michezo kama kikapu) kwa sbb wengi huwa na options nyingi sana.Sijui kwanini wabongo wengi (sio wote) wanapenda kuoa vibibi huko duniani....🤔🤔
Ukiingia you tube utsona vijana wengi wa kawaida wameo mabinti wa kizungu wadogo tu ki umri.Easy target. Wanawake wa kizungu akiwa ktk prime (20 - 24) na beauty scale yake ikiwa 8 to 10 out of 10 sio rahisi kuolewa na mwanaume mweusi ni asilimia ndogo sana (hasa hasa wana michezo kama kikapu) kwa sbb wengi huwa na options nyingi sana.
Wakifika kuanzia miaka 30 hapa ndio huwa wanawakubalia wanaume weusi maana uzuri umepungua na uzee tayari umeingia hapa huwa wanaolewa sana na wanaume weusi waliofika vyuo vikuu na wana kazi nzuri kama huyu jombaa hapa.
Aliyekuwa MtanzaniaHuyu ni Mtanzania kutoka kijiji cha Msanga kwa Dibibi, Wilaya ya Kisarawe.
Leo ameapishwa kuwa Jaji wa Mahakama jiji la New York.
Anaingia kwenye rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kuwa Jaji nchini Marekani.
View attachment 2040082View attachment 2040083View attachment 2040084View attachment 2040085
ccm hata siku moja haiwezi kutengeneza watu kama hao. inaogopa mwisho wa siku watageuka na kuwa threat kwa chama.Nakumbuka yule jamaa aliye pata tuzo ya nobel tukaanza jimwambafai kumbe sisi wenyewe tulimzingua mpaka akakimbia nchi!
Yani tunapenda kudandia mafanikio ya mtu badala ya kuweka mazingira mazuri ili tutengeneze watu wenye mchango hapa duniani!
Sasa huyu una muita mtanzania, hivi anaweza kuwa judge nchini marekani wakati sio raia wa Marekani?
Mmarekani mwenye asili ya Tanzania.Huyu ni Mtanzania kutoka kijiji cha Msanga kwa Dibibi, Wilaya ya Kisarawe.
Leo ameapishwa kuwa Jaji wa Mahakama jiji la New York.
Anaingia kwenye rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kuwa Jaji nchini Marekani.
View attachment 2040082View attachment 2040083View attachment 2040084View attachment 2040085
... wanaoa au wanaolewa?Sijui kwanini wabongo wengi (sio wote) wanapenda kuoa vibibi huko duniani....🤔🤔
... ha ha ha! Huyo kisha ritadi; hukmu yake ni kifo tu basi! Dunia imetoka zama za ushenzi sana!Kwahiyo ndio akaona abadili na jina kutoka kuitwa hassan mpka kuitwa hasa ?
Watoto wake wazuri ....Bora kama alijua akamchukua mtasha[emoji848]Huyu ni Mtanzania kutoka kijiji cha Msanga kwa Dibibi, Wilaya ya Kisarawe.
Leo ameapishwa kuwa Jaji wa Mahakama jiji la New York.
Anaingia kwenye rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kuwa Jaji nchini Marekani.
View attachment 2040082View attachment 2040083View attachment 2040084View attachment 2040085
Kwan nasema uongo ndugu zangu😅[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1690]
Unatuponda sana jomoni
Weusi na wazungu yaani ukiwa na mafanikio lazaima uowe mzungu.