Mtanzania aliyekuwa akisafiri kutoka India kuja Tanzania afariki akiwa njiani -Dubai

Wengi humu taratibu za ndege hawazijui mtu wa kwanza kusema hizo passport hazitumiki kwasasa alikuwa mkweli pengine hata wapili anajua Mambo haya ila waliofwata wengi inaonyesha ni wadesaji hawajui lolote kuhusu Mambo ya visa na passport wanajisemea tu ili waonekane jamiiforums kwamba wanajua haya Mambo infact jf kila mtu Ana gari kila mtu Ana degree na kila mtu anaijua ulaya !!

Wabongo acheni ujuaji Kama sio viwango vyako piga kimya.
 
Wengi humu taratibu za ndege hawazijui mtu wa kwanza kusema hizo passport hazitumiki kwasasa alikuwa mkweli pengine hata wapili anajua Mambo haya ila waliofwata wengi inaonyesha ni wadesaji hawajui lolote kuhusu Mambo ya visa na passport wanajisemea tu ili waonekane jamiiforums kwamba wanajua haya Mambo infact jf kila mtu Ana gari kila mtu Ana degree na kila mtu anaijua ulaya !!

Wabongo acheni ujuaji Kama sio viwango vyako piga kimya.

BIG UP VERY GREAT THINKING: Watu wamekua wajinga kuacha issue na kudeal na mleta mada. Poor brains developing.
 
Back
Top Bottom