Ni fake kweli kweli ndege ya Air Tanzania iliyotoka Mumbai kwenda Dar haijapita Dubai na abiria wote walifika salama. Fact check.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, inaelekea kila mtu humu JF unamchukulia kwamba ni CHADEMA, ukiondoa ile team yakoNa hao ndio washauri wa dikteta Mbowe
It's kin* buddy.Naamini next of keen atakua kajulishwa.
Rip
Wengi humu taratibu za ndege hawazijui mtu wa kwanza kusema hizo passport hazitumiki kwasasa alikuwa mkweli pengine hata wapili anajua Mambo haya ila waliofwata wengi inaonyesha ni wadesaji hawajui lolote kuhusu Mambo ya visa na passport wanajisemea tu ili waonekane jamiiforums kwamba wanajua haya Mambo infact jf kila mtu Ana gari kila mtu Ana degree na kila mtu anaijua ulaya !!
Wabongo acheni ujuaji Kama sio viwango vyako piga kimya.
Yaani hicho nacho ni Kiingereza cha kukimbilia kuangalia dictionary? Lumumba bwana majanga kama mwenyekiti wenu!keen = having or showing eagerness or enthusiasm
kin = one's family and relations.
sasa mimi nawewe nani ndo anajiona mjuaji, Ficha ujinga wako, Fool!Hawa ndio waking Parabora ufafanuzi ushatolewa zaidi ya post kumi huko nyuma nawewe unajidai unamkosoa mleta Mada ili ujulikane unamiliki Pspt .
Ya man!It's kin* buddy.
Next of kin.
Sijaelewa why azikwe dubai?
Ni mdogo tu maskini kazaliwa 1993
Lililojema hapo ni ndugu zake kujitokeza na kuweka ukweli au huyo binti mwenyewe iwapo yu hai atoe tu salamu!1Acha upumbavu hakuna aliye kufa me mwenyewe nilikuwa kwenye hiyo ndege