Wakulonga
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 762
- 772
Ebwana mimi naweza amini maana hiyo Passport haitumiki tena yeye kawezaje kutumia kwenda mpaka India huu ni uongoAcha upumbavu hakuna aliye kufa me mwenyewe nilikuwa kwenye hiyo ndege
Ebwana mimi naweza amini maana hiyo Passport haitumiki tena yeye kawezaje kutumia kwenda mpaka India huu ni uongoAcha upumbavu hakuna aliye kufa me mwenyewe nilikuwa kwenye hiyo ndege
Acheni upuuzi. Hizo passport zitakoma 2022
MwiliDah....hivi kumsafirisha marehemu na mtu aliyehai.... gharama kubwa Ni yupi?
Sent using Beretta ARX 160
Mkuu unazijua Air Laws?RIP mtanzania mwenzetu. Ina maana ile kauli ya Mh. Rais ya kuwasitiri wenzetu katika makao ya milele sehemu za asili au makaazi yao Tanzania bado haitekelezeki.
Maana ingewezekana kabisa maiti iletwe Tanzania kufuatana na taratibu za IATA na kama kweli alifia akiwa angani ndani ya ATCL..
Kwa hiyo kama alikua anakaa huko, mimi nna ndugu China mwaka wa 4 sasa hajarudi. Kingine ujue kua kuna utaratibu upo wa kupata passport mpya kwenye ubalozi ulio karibu nawe kama upo nje ya nchi. Mfano kuna wtz wapo China hawajarud na walishapata passport zao. So kuna uwezekano mwanadada alikua hajaenda kubadili passport. Mfano rahis tu kuna waongo had leo hawajaenda nida.Pasi ya kusafiria ya zamani mbona, mtoa taarifa za vifo jf aje athibitishe.
Hizi Paspoti zimekoma kutumika tarehe 31 January 2020. Ni sheria za kimataifa Paspoti inayotumika uwekwa wazi katika mataifa yote. Mie nilipotaka safiri nikiwa moja ya nchi za Ulaya mnamo mwezi wa kwanza nilikataliwa kwasababu paspoti nilikuwa sijabadili. Nilishauriwa nibadili passport nipate mpya zilizobadilishwa kwani nilikuwa naelekea bara lingine tena.Kwa hiyo kama alikua anakaa huko, mimi nna ndugu China mwaka wa 4 sasa hajarudi. Kingine ujue kua kuna utaratibu upo wa kupata passport mpya kwenye ubalozi ulio karibu nawe kama upo nje ya nchi. Mfano kuna wtz wapo China hawajarud na walishapata passport zao. So kuna uwezekano mwanadada alikua hajaenda kubadili passport. Mfano rahis tu kuna waongo had leo hawajaenda nida.
Kingine ujue kua huwezi kumzuia mtanzania kurud nyumbani hasa kipindi hiki cha corona kisa tu ana passport ya zamani.
Mwisho kabisa tusikalili kua wewe kama una uwezo kusafiri kwenda China au sehemu yoyote ile ukakaa wiki ukarudi Bongo ukadhani wengine hawawezi kaa miaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtanzania ambaye passport yake imewekwa hapa amefariki akiwa njiani kuja Tanzania kutoka India. Aliugua ghafla akiwa Dubai na amezikwa huko huko. Ni kwenye ile ndege yetu iliyoenda kuwachukua.
View attachment 1455072
Unamaana kazushiwa kifo? Kwenu kuna watu wanazushia wengine kifo na kuweka pp? What do you want to prove?Fake news! ! Ndege inaruka moja kwa moja mpaka dar. Au unasema ilifanya emergency landing Dubai. And show us the proof! ! Kwamba ilifanya hiyo emergency landing.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba bado anatumia passport ya zamani eeeh.....Jingest weweMtanzania ambaye passport yake imewekwa hapa amefariki akiwa njiani kuja Tanzania kutoka India. Aliugua ghafla akiwa Dubai na amezikwa huko huko. Ni kwenye ile ndege yetu iliyoenda kuwachukua.
View attachment 1455072
Naamini next of keen atakua kajulishwa.
Rip
Poleni sana ,watz tuendelee kujifukiza.
mnafaidika nini mnavyobisha mmechukua tabia za baba yenu kuktaa watu kupFake news! ! Ndege inaruka moja kwa moja mpaka dar. Au unasema ilifanya emergency landing Dubai. And show us the proof! ! Kwamba ilifanya hiyo emergency landing.
Sent using Jamii Forums mobile app