nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
sawa kabisa na kama ni covid haina shida sana sababu huku kuna maombi kwa hiyo kama aliambukiza watu hawataingia nayo huku maan tulishaishindaMkuu hizo pasi ziliacha kutumika toka mwaka jana nadhani,tuna pasipoti mpya,halafu air Tanzania uwa haina kituo ikiruka dar ni mumbai moja kwa moja,sasa dubai ilienda kufanya nini na ikiwa hata dubai airport kesho 21 may ndio inafunguliwa tena kwa baadhi ya route tu