kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,713
- 11,274
Wanabodi,
Suala la uaminifu hapa Nchini kwetu limekuwa ni Changamoto kubwa sana kiasi kwamba mpaka nchi za nje watanzania tunajulikana kwa sifa za UONGO, UJANJA, UTAPELI NA WIZI.
Nimejaaliwa kutembea nchi nyingi tu za Nje zikiwemo katika mabara ya ASIA, EUROPE, USA na AFRICA na kila niendapo watanzania tunasifiwa kwa Amani na utulivu lkn always zinafuatana na hizo sifa hizi mbaya.
Upande wa utalii vijana wetu wanawapiga sana watalii kwenye kila nyanja. Kuanzia upandishaji wa bei za nauli, huduma mbalimbali mpaka Bei ya Mkate mtalii anapewa tofauti na Mtanzania. Na WATALII WOTE wanaokuja kwetu SIO WAJINGA.
We unampa bei ya juu unapata buku la ziada yeye kumbe anakucheki tu akijua "huyu kijana njaa yake hatari" kaiba buku? (senti 35 dollar) ambayo kwao hata ukidondosha hamna atakaeokota.)
Wengine wanaibiwa sana kwenye mabasi ya abiria. Nimekutana na wageni wanadai mizigo yao yote iliibiwa waliposimama na BUS kwenye zile Hoteli za vyakula Njiani.
Wakati mwingi Makondakta wanakula na WIZI njama za kuiba mizigo ya watalii manake abiria wengi wanashuka kwenye Bus. Inakuwaje Mwizi achukue Bila Konda kufahamu?
Hapa Nchini leo ukitaka kutafuta kijana wa kumuajiri awe dereva, karani, mhasibu, Shop salesmen hata house girl au house boy kuweza kupata muaminifu asilimia 100 hiyo sahau.
Huko mashambani vijana wanaiba mpaka vifaa vya kazi.
Kwenye Workshops, magereji vijana wanaondoka na Spana na kila kinachoweza kubebwa Fasta.
Swali nauliza. Kama kuiba kunaletwa na NJAA ina maana Tanzania wana shida kuliko Rwanda, Burundi na Zambia? Mbona sisi tumezidisha wizi kuliko hizi nchi za jirani.
Kwanini Ukienda Dubai kuna maduka ya Dhahabu lakini hukuti Nondo wala Mageti ya chuma na saa ya swala IKIFIKA wenye mali wanawacha wazi maduka. Na hakuna anaeiba?
Dubai maskin wengi tu kutoka India na kwengine. Kama ni kuogopa kukatwa mkono mbona Bongo vibaka wanapigwa mpaka Kufa lakini wizi unaendelea tena mchana?
Wabongo tuna sifa mbaya sana nje ya nchi..
Someni Website za serikali ya USA, UK, FRANCE na Nchi nyingine nyingi . Wameweka angalizo kwa watalii wao wanaotaka kuja TANZANIA kuwa wajichunge na MATAPELI NA WEZI WA MIFUKONI na MAJAMBAZI WAKABAJI.
SERIKALI haina budi kusimamia sheria kwa ukali sana otherwise itakuwa tunatwanga maji kwenye kinu.
Serikali inapiga promo za utalii. Vijana wanaibia watalii.
Wakirudi kwao wanatoa onyo kwa wengine kuwa Tanzania nuksi. Na wanajaza kashfa kwenye blog zao kupeana tahadhari kuwa Tanzania vijana WEZI, MATAPELI, WAONGO NA MAJAMBAZI
Nawasilisha.
Suala la uaminifu hapa Nchini kwetu limekuwa ni Changamoto kubwa sana kiasi kwamba mpaka nchi za nje watanzania tunajulikana kwa sifa za UONGO, UJANJA, UTAPELI NA WIZI.
Nimejaaliwa kutembea nchi nyingi tu za Nje zikiwemo katika mabara ya ASIA, EUROPE, USA na AFRICA na kila niendapo watanzania tunasifiwa kwa Amani na utulivu lkn always zinafuatana na hizo sifa hizi mbaya.
Upande wa utalii vijana wetu wanawapiga sana watalii kwenye kila nyanja. Kuanzia upandishaji wa bei za nauli, huduma mbalimbali mpaka Bei ya Mkate mtalii anapewa tofauti na Mtanzania. Na WATALII WOTE wanaokuja kwetu SIO WAJINGA.
We unampa bei ya juu unapata buku la ziada yeye kumbe anakucheki tu akijua "huyu kijana njaa yake hatari" kaiba buku? (senti 35 dollar) ambayo kwao hata ukidondosha hamna atakaeokota.)
Wengine wanaibiwa sana kwenye mabasi ya abiria. Nimekutana na wageni wanadai mizigo yao yote iliibiwa waliposimama na BUS kwenye zile Hoteli za vyakula Njiani.
Wakati mwingi Makondakta wanakula na WIZI njama za kuiba mizigo ya watalii manake abiria wengi wanashuka kwenye Bus. Inakuwaje Mwizi achukue Bila Konda kufahamu?
Hapa Nchini leo ukitaka kutafuta kijana wa kumuajiri awe dereva, karani, mhasibu, Shop salesmen hata house girl au house boy kuweza kupata muaminifu asilimia 100 hiyo sahau.
Huko mashambani vijana wanaiba mpaka vifaa vya kazi.
Kwenye Workshops, magereji vijana wanaondoka na Spana na kila kinachoweza kubebwa Fasta.
Swali nauliza. Kama kuiba kunaletwa na NJAA ina maana Tanzania wana shida kuliko Rwanda, Burundi na Zambia? Mbona sisi tumezidisha wizi kuliko hizi nchi za jirani.
Kwanini Ukienda Dubai kuna maduka ya Dhahabu lakini hukuti Nondo wala Mageti ya chuma na saa ya swala IKIFIKA wenye mali wanawacha wazi maduka. Na hakuna anaeiba?
Dubai maskin wengi tu kutoka India na kwengine. Kama ni kuogopa kukatwa mkono mbona Bongo vibaka wanapigwa mpaka Kufa lakini wizi unaendelea tena mchana?
Wabongo tuna sifa mbaya sana nje ya nchi..
Someni Website za serikali ya USA, UK, FRANCE na Nchi nyingine nyingi . Wameweka angalizo kwa watalii wao wanaotaka kuja TANZANIA kuwa wajichunge na MATAPELI NA WEZI WA MIFUKONI na MAJAMBAZI WAKABAJI.
SERIKALI haina budi kusimamia sheria kwa ukali sana otherwise itakuwa tunatwanga maji kwenye kinu.
Serikali inapiga promo za utalii. Vijana wanaibia watalii.
Wakirudi kwao wanatoa onyo kwa wengine kuwa Tanzania nuksi. Na wanajaza kashfa kwenye blog zao kupeana tahadhari kuwa Tanzania vijana WEZI, MATAPELI, WAONGO NA MAJAMBAZI
Nawasilisha.