de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,887
- 21,558
Hivi doto magari anajielewa kweli?
Yaani unakuwa chawa na kuomba hela kisa kupamba watu na mafanikio yao kweli?
Sasa Maybach sio yako, unasifia wanaume wenzako na bado, unatambia wanaume wengine kwa kusikia wanaume...
Na wamatumbi tu bwana..
Na msanii wake jamaa linamdhalirisha mbele ya media.. Imagine dogo Rema anakuja kuwa independent na maisha yake si atakuja kujutia tu?
Watu kama hawa ndo wanawaaminisha vijana kuna shortcut kwenye maisha.
Aisee ifike mahala kama taifa tuwe na limits kwa influencer wa namna hii ndo maana kuna vizazi vilivyo shindikana.
Ila Tukiachana matani jamaa anakula maisha kizembe sana huyu, vijana igeni mpasuke misamba..
Wasomi hii 👋
Yaani unakuwa chawa na kuomba hela kisa kupamba watu na mafanikio yao kweli?
Sasa Maybach sio yako, unasifia wanaume wenzako na bado, unatambia wanaume wengine kwa kusikia wanaume...
Na wamatumbi tu bwana..
Na msanii wake jamaa linamdhalirisha mbele ya media.. Imagine dogo Rema anakuja kuwa independent na maisha yake si atakuja kujutia tu?
Watu kama hawa ndo wanawaaminisha vijana kuna shortcut kwenye maisha.
Aisee ifike mahala kama taifa tuwe na limits kwa influencer wa namna hii ndo maana kuna vizazi vilivyo shindikana.
Ila Tukiachana matani jamaa anakula maisha kizembe sana huyu, vijana igeni mpasuke misamba..
Wasomi hii 👋