Mtanisamehe kwa hili

Mtanisamehe kwa hili

Sema gari inalinda brand bhana, yaani hata ukiingia bar funguo inaning'inia kwenye ruksi ya jinsi videmu macho juu juu kwako.

Mimi viwanja ambavyo hawanijui jina langu wahudumu wananiita yule kaka mwenye toregi(wakimaanisha touareg)

Sema mkuu 30's umewaonea. Kibongo bongo hapo bado kundi kubwa la wanaume lipo kwenye chaos. Ungeanzia 40's. Halafu kuna kundi la wanawake mabonge nyanya umelisahau unakuta mtu siti mbili za daladala anakaa peke ake abiria mwingine anakalia tako moja. Hawa mabonge nyanya nao ni wa kuimizwa wanunue usafiri binafsi.
 
Trump ni kichaa fulani hivi, ila kwa hili la kusema kwamba Afrika kuna "shithole countries" hakukosea kabisa, imagine wananchi wa shitholes country wanatambiana kua na gari wakati mamtoni gari ni kitendea kazi tu. Public transport zipo reliable mabasi, train, trams etc. yaani unaweza panda bus ukajikuta uko wewe tu na dereva, na kua au kutokua na gari si ishu ni wewe tu.
Ona huyu mturutumbi kaanzisha uzi kabisa kuwananga wasio na magari, huu ni umaskini.
 
Trump ni kichaa fulani hivi, ila kwa hili la kusema kwamba Afrika kuna "shithole countries" hakukosea kabisa, imagine wananchi wa shitholes country wanatambiana kua na gari wakati mamtoni gari ni kitendea kazi tu. Public transport zipo reliable mabasi, train, trams etc. yaani unaweza panda bus ukajikuta uko wewe tu na dereva, na kua au kutokua na gari si ishu ni wewe tu.
Ona huyu mturutumbi kaanzisha uzi kabisa kuwananga wasio na magari, huu ni umaskini.
Namweleza ana shida mahali anabisha
 
Wape njia , binafsi naweza sema kama wewe mwisho wa siku nawaunganisha vijana na kazi , ajira na michongo mingine mingi , ebu shauri tufanye nini ili tusifanye mara kwa kurudia na utupe mifano hai
HIvi nikuulize wewe uliye andika hapa utawezaje kusaidia jamii ya watu kujikwamua kwa kutoa nafasi za kazi?

Hiyo ni delusion. Huwezi kusaidia namna hiyo utasaidia wachache sana ambao wako kwenye field husika.

People need awakening of the mind. Wajitambue na wajue wanahitaji nini katika haya maisha
 
Trump ni kichaa fulani hivi, ila kwa hili la kusema kwamba Afrika kuna "shithole countries" hakukosea kabisa, imagine wananchi wa shitholes country wanatambiana kua na gari wakati mamtoni gari ni kitendea kazi tu. Public transport zipo reliable mabasi, train, trams etc. yaani unaweza panda bus ukajikuta uko wewe tu na dereva, na kua au kutokua na gari si ishu ni wewe tu.
Ona huyu mturutumbi kaanzisha uzi kabisa kuwananga wasio na magari, huu ni umaskini.
Mkuu wewe ndo Hujaielewa namaanisha nini kwenye huu uzi!

Look at the context. Leo mtu akipanda gari la Uma anafika aendako mida gani?

Wacha kujifariji mkuu na watu wa nje! This is a weak mind talking.

Tumeongelea context ya nchi ya Tanzania sio nje, wanao panda magari haya ni maskini na hawana option. Hata ya kupanda boda because of cost issues
 
Endelea kuwa Keyboard warrior sio mbaya. Ukimaliza kula Ugali wa shikamoo kutoka kwa shemeji uje uendelee kushinda humu
Kaendelee na loop hizo hizo haulazimishwi ewe mmatumbi
 
Trump ni kichaa fulani hivi, ila kwa hili la kusema kwamba Afrika kuna "shithole countries" hakukosea kabisa, imagine wananchi wa shitholes country wanatambiana kua na gari wakati mamtoni gari ni kitendea kazi tu. Public transport zipo reliable mabasi, train, trams etc. yaani unaweza panda bus ukajikuta uko wewe tu na dereva, na kua au kutokua na gari si ishu ni wewe tu.
Ona huyu mturutumbi kaanzisha uzi kabisa kuwananga wasio na magari, huu ni umaskini.
😀😀😀😀 Kuna siku niliona kwenye tv messi na suarez wamechukua tex kwenda kwenye mitoko yao. Nikavuta picha kwa ukwasi wa hswa jamaa wangekua wabongo eti waache mabugati yao ndani wapande tex
 
HIvi nikuulize wewe uliye andika hapa utawezaje kusaidia jamii ya watu kujikwamua kwa kutoa nafasi za kazi?

Hiyo ni delusion. Huwezi kusaidia namna hiyo utasaidia wachache sana ambao wako kwenye field husika.

People need awakening of the mind. Wajitambue na wajue wanahitaji nini katika haya maisha
Sio kila mtu yupo kwa shemeji au anatumia gari ya shemeji, kama ulivyodai kwenye mada yako, haya hapa nilipo sijala chochote na njaa , umeme umekata , maji bili imeisha , ebu fanya hiyo awakening of mind unayotaka kuifanya
 
Sio kila mtu yupo kwa shemeji au anatumia gari ya shemeji, haya hapa nilipo sijala chochote na nnjaa , umeme umekata , maji bili imeisha , ebu fanya hiyo awakening of mind unayotaka kuifanya
Elewa kilicho kisema na ukae humo.

Humo ndo ufunguo ulimo

Huku kwengine ni kujifariji tu
 
Ni nyie ambao mnajaribu kiswitch mada iwe kwenye favor yenu ndo ambao mna shida sio mimi
Mada ni yetu kwa sasa , ukiona kuna shida mahali wafahamishe mods wapo kwa ajili ya hilo
 
Sio kila mtu yupo kwa shemeji au anatumia gari ya shemeji, kama ulivyodai kwenye mada yako, haya hapa nilipo sijala chochote na njaa , umeme umekata , maji bili imeisha , ebu fanya hiyo awakening of mind unayotaka kuifanya
Aweanesi ndio inasolve haya ?
 
Back
Top Bottom