Mtanisamehe kwa hili

Mtanisamehe kwa hili

Enyi wamatumbi mnao taka kuwahi magari ya daladala. Naombeni mnisamehe kwa bandiko hili ila naomba mjitafalari kidogo.

Hivi huwa mnajisikiaje ndani ya nyoyo zenu? Yaani unakuta mtu wa miaka kuanzia 35 na kuendelea eti na yeye anakaa kupambana na vijana wa miaka 20 kwenye daladala.

Wth is wrong with you guys? Hivi ni kwamba mmekata tamaa ya maisha Liwalo na liwe tu? Mimi sema kweli juzi gari la shem lilikua bovu so tu kasema instead of ubering gari ngoja nikapande gari za daladala just for fun maana ni muda mrefu sana.

So katika kufikia pale kituoni kulikuwa na abiria wengi sana, Ila cha kushangaza ni kuwa kulikuwa na watu wazima kabisa.. Yaani nikawa nawacheki wale watu nasikitika tu moyoni najiuliza hata 6M mtu anashindwa kweli kudunduiza akipata? Dah aisee alafu ukiangalia hata mindset za hawa watu, bado kabisa they are man child. Bado hawajakuwa kifikra, basi unaishia kusononeka tu.

Jamani hiki kitu so kizuri hasa kwa watu wazima. Imagine baba wa familia huna usafiri wako, inaitwa mzee wa Kaya. Hapo kuna watoto nyuma yako.. How does that feel?

Hivi wewe kweli una hisia? Kweli kabisa uko sawa kuona wenzako wanaishi maisha na wewe una survive? Kweli kabisa huna uchungu ndani yako wa kujifanya upambane not just for you, ila kwa ajili ya watu walio nyuma yako?

Atleast hata uwe example nzuri kwa wanao kuangalia? Ndugu zangu fanyeni kama kujihurumia. Angalieni mustakabli wa maisha yenu. Angalieni kuwa tayari umri umesha sogea na regrets za mtu mzima ni mbaya zaid ya kijana aliye kuja kubadilika na kutoboa.

Haya, kuna watu huwa wana nongwa. Wewe mwenye nongwa endelea kuona uko sawa mpaka siku utakapo kuja kidharauliwa na vitoto vya elfu mbili ndo utajua na maanisha nini.

Asubuhi njema. Na eny wamatumbi wahini kazin mkaendelee kufanya jambo lile lile kwa miaka 50 straight.

Nimemaliza.
Mkuu una umri wa maji ya moto yenye kuchemka, hili siyo kosa lako ni nature.

Nasi sote tuliwahi kuwaza hivyo, tukapambana tulivyoweza na Mungu akatia baraka zake tukashukuru lakini maisha yetu hayalingani na yote tuliyoyawaza na kuyalenga.

Ninakuhakikishia nawe, si kwa kutolea mfano kwa mtu mwingine, nikwa wewe huyo huyo:
Katika kusanyiko la watu wengi kama vituo vya dala dala ama popote unapoona watu wameque kupata huduma flani usije ukawapimia maisha na kuwaona wote wale ni 'class c'.

Pia utakapofikisha umri wa miaka 50 na kama Mungu hajakuua, utakuja kuyajutia sana haya unayoyawaza leo, kwa sababu utajikuta pamoja na kuchakarika sana hakuna lolote la maana kuwazidi vijana wote uliowaacha mbali sana kiumri.

Kifupi, leo waweza kupata, lakini kesho ukawa huna, dunia haijawahi kuwa na haitakuja kuwa sawa kutokana na kuwa kila binadamu huwaza kivyake kwa namna yake na vipaumbele vyake.
 
Mkuu una umri wa maji ya moto yenye kuchemka, hili siyo kosa lako ni nature.

Nasi sote tuliwahi kuwaza hivyo, tukapambana tulivyoweza na Mungu akatia baraka zake tukashukuru lakini maisha yetu hayalingani na yote tuliyoyawaza na kuyalenga.

Ninakuhakikishia nawe, si kwa kutolea mfano kwa mtu mwingine, nikwa wewe huyo huyo:
Katika kusanyiko la watu wengi kama vituo vya dala dala ama popote unapoona watu wameque kupata huduma flani usije ukawapimia maisha na kuwaona wote wale ni 'class c'.

Pia utakapofikisha umri wa miaka 50 na kama Mungu hajakuua, utakuja kuyajutia sana haya unayoyawaza leo, kwa sababu utajikuta pamoja na kuchakarika sana hakuna lolote la maana kuwazidi vijana wote uliowaacha mbali sana kiumri.

Kifupi, leo waweza kupata, lakini kesho ukawa huna, dunia haijawahi kuwa na haitakuja kuwa sawa kutokana na kuwa kila binadamu huwaza kivyake kwa namna yake na vipaumbele vyake.
Thanks for the wise words mkuu.
Nimekuelewa vyema na huenda jinsi nilivyo ifikisha message haikuwa vyema kabisa.

I'll try to be more sane next time
 
Thanks for the wise words mkuu.
Nimekuelewa vyema na huenda jinsi nilivyo ifikisha message haikuwa vyema kabisa.

I'll try to be more sane next time
Now you're talking.

You intended to awakened Wamatumbi , its okay. but the sms was simply focusing on wondering why they had over 35+yrs and don't succeed yet.

And thats NOT okay. Because life has a lot of uncertainty that can caused NOT to have what you think they deserve to have.
 
Ko mwanetu unapull ndinga la shem,anyway wazo zuri ila so kila mtu anaweza afford gari,pia usiwe ba ego ya kuona wengine wazembe kisa hawana.
No mimi nilitaka kuwaamsha tusikae sana katika kuusherekea umaskini
 
Thanks mkuu that's well said.

Ila nia yangu ni kutoa watu katika complacency ya kukubali maisha walivyo nayo ilihali they can be more. Sure life is unpredictable I agree with you
Do you think you ain't complacent being comfortable under the wing of your bro/sis in-law?
 
Enyi wamatumbi mnao taka kuwahi magari ya daladala. Naombeni mnisamehe kwa bandiko hili ila naomba mjitafalari kidogo.

Hivi huwa mnajisikiaje ndani ya nyoyo zenu? Yaani unakuta mtu wa miaka kuanzia 35 na kuendelea eti na yeye anakaa kupambana na vijana wa miaka 20 kwenye daladala.

Wth is wrong with you guys? Hivi ni kwamba mmekata tamaa ya maisha Liwalo na liwe tu? Mimi sema kweli juzi gari la shem lilikua bovu so tu kasema instead of ubering gari ngoja nikapande gari za daladala just for fun maana ni muda mrefu sana.

So katika kufikia pale kituoni kulikuwa na abiria wengi sana, Ila cha kushangaza ni kuwa kulikuwa na watu wazima kabisa.. Yaani nikawa nawacheki wale watu nasikitika tu moyoni najiuliza hata 6M mtu anashindwa kweli kudunduiza akipata? Dah aisee alafu ukiangalia hata mindset za hawa watu, bado kabisa they are man child. Bado hawajakuwa kifikra, basi unaishia kusononeka tu.

Jamani hiki kitu so kizuri hasa kwa watu wazima. Imagine baba wa familia huna usafiri wako, inaitwa mzee wa Kaya. Hapo kuna watoto nyuma yako.. How does that feel?

Hivi wewe kweli una hisia? Kweli kabisa uko sawa kuona wenzako wanaishi maisha na wewe una survive? Kweli kabisa huna uchungu ndani yako wa kujifanya upambane not just for you, ila kwa ajili ya watu walio nyuma yako?

Atleast hata uwe example nzuri kwa wanao kuangalia? Ndugu zangu fanyeni kama kujihurumia. Angalieni mustakabli wa maisha yenu. Angalieni kuwa tayari umri umesha sogea na regrets za mtu mzima ni mbaya zaid ya kijana aliye kuja kubadilika na kutoboa.

Haya, kuna watu huwa wana nongwa. Wewe mwenye nongwa endelea kuona uko sawa mpaka siku utakapo kuja kidharauliwa na vitoto vya elfu mbili ndo utajua na maanisha nini.

Asubuhi njema. Na eny wamatumbi wahini kazin mkaendelee kufanya jambo lile lile kwa miaka 50 straight.

Nimemaliza.
Sawa sawa.
 
Back
Top Bottom