Wengi wetu Afrika hawabebeki hata ufanyaje!

Wengi wetu Afrika hawabebeki hata ufanyaje!

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
11,016
Reaction score
21,826
Hakika itoshe kusema wamatumbi(ngozi nyeusi) hawatofautiani na nyumbu tu

Wamatumbi ndo watu pekee wanaweza kufanya jambo lile lile kwa miaka 50 straight bila kukinai

Wamatumbi ndio watu pekee wanao kwenda shule lakini wakabaki kuamini ushirikina

Wamatumbi ndo watu pekee watakao kushauri uache pombe na umalaya wakati ndo wao wamuwindao mkeo.

Wamatumbi ndo watu pekee wakusemawo vibaya ukiteleza na wakati wewe ndo uliowatoa kwenye dimbwi la umaskini

Wamatumbi ndo watu pekee wasio amini katika jitihada na mafanikio pasipo kutoa kafara

Ndio watu pekee washindiawo ugali dagaa huku wakimiliki iPhone 17 pro max

Ndo watu pekee wasio penda ustaarabu wa kufuata protocol wanapenda shortcut

Ndo watu pekee wasio na u rafiki wa kudumu anakuchekea usoni wakati ukimpa kisogo anakusngenya

Hakika wamatumbi ni jamii mbaya sana duniani, ni watu wasio bebeka...😔

Mwenye nongwa na yeye ni mmatumbi basi afanye kama hajasikia... Aamke blue Monday hii akaendele kufanya kitu kile kile kwa miaka 50.

Nimemaliza.
 
Vyote havina maana , mbio za maisha ni zile zile ;kuzaliwa na kufa . Hayo mengine ni ujinga wa kujifananisha , kama mwanaume usipende kujifananisha kabisa.
Isiwe kigezo cha ewe mmatumbi kuishi kipuuzi bali ikufanye upate chachu ya kupambana ujikwamue na ukwamue kizazi chako kabla hujafukiwa kaburini
 
Back
Top Bottom