Mtanisamehe kwa hili

Mtanisamehe kwa hili

Una mada nzuri sana , saikolojia yako kuna pahala ina shida , sio rahisi uelewa hili .
I don't give a shit, because I know myself better than a cringy dumbass nigga who thinks they know me
 
Sasa point yako iko wapi hapo kama sio kudeal na mtu instead of hoja zao?
Toa solution , kuendelea kulaumu sijui watu wanafanya kitu kile kile mara unatumia gari ya shemeji yako mara hili na lile , mwisho unalaumu wamatumbi bila solution, unafanya umatumbi tu.
 
Toa solution , kuendelea kulaumu sijui watu wanafanya kitu kile kile mara unatumia gari ya shemeji yako mara hili na lile , mwisho unalaumu wamatumbi bila solution, unafanya umatumbi tu.
Hauwezi kutoa ushauri wa nini mtu afanye ili afanikiwe, and you know that... These people need push, kila mtu anajua nini afanye achukue the next step kufikia mafanikio.

Ni kuwa wamekuwa brainwashed haiwezekani tu. Na hapo ndo wanatakiwa wajue kuwa wamefungwa kifikra. Na ndo jambo muhimu
 
Uzuri wa haya maisha hakuna cheating. Unaweza kujifanya fahari nyuma ya keyboard ukimaliza unarudi kwenye uhalisia wa maisha yako.
😂😂😂
Wacha kujifariji katika complacency ya ufukara ewe mmatumbi
 
Hawawezikutoa ushauri wa nini mtu afanye ili afanikiwe, and you know that... These people need push, kila mtu anajua nini afanye achukue the next step kufikia mafanikio.

Ni kuwa wamekuwa brainwashed haiwezekani tu. Na hapo ndo wanatakiwa wajue kuwa wamefungwa kifikra. Na ndo jambo muhimu
Wape njia , binafsi naweza sema kama wewe mwisho wa siku nawaunganisha vijana na kazi , ajira na michongo mingine mingi , ebu shauri tufanye nini ili tusifanye mambo kwa kurudia na utupe mifano hai
 
Back
Top Bottom