Wamatumbi mtanisamehe kwa hili

Wamatumbi mtanisamehe kwa hili

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
10,860
Reaction score
21,544
Katika harakati zangu nimekuja kugundua wamatumbi wengi ndo ambao tunawazia ajira tuu..

Hivi kwa tathmini zenu ndogo hapa Tz tuna jamii za waarabu na wahindi wengi na wanafamilia huku kwetu for generations, ila swali dogo Umeshawahi kuwaona wanakimbilia ajira?

Si ndo hawa wanamiliki biashara kubwa, na kuhold generational wealth? Wamatumbi ni lini tutaamka? Ni lini tutaacha kuwa watumwa wa kifikra?

Mbona mnapenda kujifariji enyi wamatumbi?

Jana nilikuwa Beach maeneo fulani DSM katika kutulia zangu ufukweni wakaja madogo wa primary walikuwa waarabu wale, ni wabongo maana walinisalimia kiswahili... Ila cha kushangaza ni kuwa wakianza kubonga pale, kando yangu huku wakijiandaa kuingia majini, it was a business talk.

Imagine dogo wa primary tayari alisha jua mzee wake anatoa wapi bidhaa, anajua inapita wapi, anajua business partners wa mzee wake... (imagine na bado kinda kabisa) nilikaa pale naperuzi jf like nothing is happening kumbe sikio langu liko kwao. Na waliongea kwa sauti ya chini sana as if they already know it is a secret.

Sasa ile incident ilinifanya nifikirie mengi sana, kwanza kuhusu how hao waarabu wenye watoto... Ilinifanya nianze kufikiria how these children are already business oriented wakiwa wadogo.. How wanaingia katika entrepreneurship before they know it... Ila pia nikajua how hawa waarabu ni wa siri sana katika mambo yao.

Ila pia nikaangalia namna wamatumbi tuko so complacent kuwa na mentality za kimaskini... Tunakalia majungu, kuongelea matajiri, hatujibidishi, hatuna discipline ya hela... Kweli kabisa nika connect dot ya kuwa hii ni kwasababu hatuaminiki.... Tuna ego za kijinga na wivu baina yetu wenyewe...

Hawa jamaa wanasponsor mpira, wanatumia branding zao kukua biashara zao na sisi tunaishia kushabikia tuu, tunaishia kuwa wapenzi watizamaji.. Ukweli ni kuwa sio ya kuwa wanafanya kitu kibaya ni kuwa wametuzidi kete, hatuna uwezo wa kifikra,

tumeiga wazungu na mifumo yao ya kusoma kuajiriwa, na huku wao wana population control wanazaliana kwa mpango na wanatumia raslimali zetu in exchange of misaada. Na sio kuongeza ajira.

Hakika tunasafari ndefu sana.
 
Katika harakati zangu nimekuja kugundua wamatumbi wengi ndo ambao tunawazia ajira tuu..

Hivi kwa tathmini zenu ndogo hapa Tz tuna jamii za waarabu na wahindi wengi na wanafamilia huku kwetu for generations, ila swali dogo Umeshawahi kuwaona wanakimbilia ajira?

Si ndo hawa wanamiliki biashara kubwa, na kuhold generational wealth? Wamatumbi ni lini tutaamka? Ni lini tutaacha kuwa watumwa wa kifikra?

Mbona mnapenda kujifariji enyi wamatumbi?

Jana nilikuwa Beach maeneo fulani DSM katika kutulia zangu ufukweni wakaja madogo wa primary walikuwa waarabu wale, ni wabongo maana walinisalimia kiswahili... Ila cha kushangaza ni kuwa wakianza kubonga pale, Lando yangu huku wakijiandaa kuingia majini, it was a business talk.

Imagine dogo wa primary tayari alisha jua mzee wake anatoa wapi bidhaa, anajua inapita wapi, anajua business partners wa mzee wake... (imagine na bado kinda kabisa) nilikaa pale naperuzi jf like nothing is happening kumbe sikio langu liko kwao. Na waliongea kwa sauti ya chini sana as if they already know it is a secret.

Sasa ile incident ilinifanya nifikirie mengi sana, kwanza kuhusu how hao waarabu wenye watoto... Ilinifanya nianze kufikiria how these children are already business oriented wakiwa wadogo.. How wanaingia katika entrepreneurship before they know it... Ila pia nikajua how hawa waarabu ni wa siri sana katika mambo yao.

Ila pia nikaangalia namna wamatumbi tuko so complacent kuwa na mentality za kimaskini... Tunakalia majungu, kuongelea matajiri, hatujibidishi, hatuna discipline ya hela... Kweli kabisa nika connect dot ya kuwa hii ni kwasababu hatuaminiki.... Tuna ego za kijinga na wivu baina yetu wenyewe...

Hawa jamaa wanasponsor mpira, wanatumia branding zao kukua biashara zao na sisi tunaishia kushabikia tuu, tunaishia kuwa wapenzi watizamaji.. Ukweli ni kuwa sio ya kuwa wanafanya kitu kibaya ni kuwa wametuzidi kete, hatuna uwezo wa kifikra,

tumeiga wazungu na mifumo yao ya kusoma kuajiriwa, na huku wao wana population control wanazaliana kwa mpango na wanatumia raslimali zetu in exchange of misaada. Na sio kuongeza ajira.

Hakika tunasafari ndefu sana.
Very nice. Ninanukuu sehemu hii:
"Ila pia nikaangalia namna wamatumbi tuko so complacent kuwa na mentality za kimaskini... Tunakalia majungu, kuongelea matajiri, hatujibidishi, hatuna discipline ya hela... Kweli kabisa nika connect dot ya kuwa hii ni kwasababu hatuaminiki.... Tuna ego za kijinga na wivu baina yetu wenyewe..."
Hapo umepiga kwenye mshono broo. Kweli ukifika kijiweni kijiwe chochote kile; tuko bize sana kuhusu yale yasiyotuhusu na wala hayana tija kwetu na familia zetu. Inakuwaje mtu anajadili tena kwa nguvu kubwa (hata kubeti/kuweka mzigo)habari za mpira au siasa (japokuwa kwa sasa hivi imepungua kutokana na hofu iliyotamalaki nchini).
 
Enzi hizo mifugo ipo pale nyumbani nakumbuka ng'ombe wakizaliwa baba alikuwa ana niambia huyu wa kwako, yule wa fulani

Tatizo wamatumbi ukishawapangia hichi cha huyu kile cha yule inawezekana watu wakadai urithi au kugawana na kuuza kabla hawajawa mayatima

zipo familia mtoto tokea ananyonya yupo dukani anafika darasa la nne anauzofu wa kuuza duka lakini kama wa uswahili hapo ni uzoefu wa singeli, sherawadu, yangaa, makebo na efootball
 
Mtoto akirudi shule anaishia dukani ,halafu anarudi jioni nyaumbani pamoja na wazazi wake...Dukani,unawakuta familia nzima ,hauwezi kufananisha na ngozi nyeusi.

Mwafrika akienda kwa mganga ,anadanganywa ndugu zake ndiyo wanamroga ,kma alivyo Hassan Mwakinyo ,akishindwa kwenye biashara zake za ngumi anageukia kulaumu ndugu zake ,eti wanamrudisha nyuma ,mara wanamchukia ...Ujinga mtupu ,kazi kwenda kwa waganga kila siku ,na huko kwa waganga wanapandikizwa chuki...Mwakinyo kabki kulaumu tu ndugu zake na kuropoka mitandaoni.
 
Tembea hapa nchini uone waarabu wenye maisha ya kawaida tu. Wapo wengi. Mambo sio rahisi kama unavyofikiri. Kwa hiyo wale waarabu elfu 50 wa morocco waliokimbilia spain na wengine kufa wameshindwa kujiajiri kwao wanaenda kujiajiri spain?
 
Enzi hizo mifugo ipo pale nyumbani nakumbuka ng'ombe wakizaliwa baba alikuwa ana niambia huyu wa kwako, yule wa fulani

Tatizo wamatumbi ukishawapangia hichi cha huyu kile cha yule inawezekana watu wakadai urithi au kugawana na kuuza kabla hawajawa mayatima

zipo familia mtoto tokea ananyonya yupo dukani anafika darasa la nne anauzofu wa kuuza duka lakini kama wa uswahili hapo ni uzoefu wa singeli, sherawadu, yangaa, makebo na efootball
Akiwa mgongoni anajifunza mdundiko, vigodoro na vijembe/mipasho.
 
Very nice. Ninanukuu sehemu hii:
"Ila pia nikaangalia namna wamatumbi tuko so complacent kuwa na mentality za kimaskini... Tunakalia majungu, kuongelea matajiri, hatujibidishi, hatuna discipline ya hela... Kweli kabisa nika connect dot ya kuwa hii ni kwasababu hatuaminiki.... Tuna ego za kijinga na wivu baina yetu wenyewe..."
Hapo umepiga kwenye mshono broo. Kweli ukifika kijiweni kijiwe chochote kile; tuko bize sana kuhusu yale yasiyotuhusu na wala hayana tija kwetu na familia zetu. Inakuwaje mtu anajadili tena kwa nguvu kubwa (hata kubeti/kuweka mzigo)habari za mpira au siasa (japokuwa kwa sasa hivi imepungua kutokana na hofu iliyotamalaki nchini).
Hali ni tete mkuu, wamatumbi ni watu wa ajabu sana. Na ukiwaambia ukweli wanakuona mjuaji
 
Tembea hapa nchini uone waarabu wenye maisha ya kawaida tu. Wapo wengi. Mambo sio rahisi kama unavyofikiri. Kwa hiyo wale waarabu elfu 50 wa morocco waliokimbilia spain na wengine kufa wameshindwa kujiajiri kwao wanaenda kujiajiri spain?
Fuatilia na ufanye tafiti ,ile sehemu ipo eneo gani ?
 
zipo familia mtoto tokea ananyonya yupo dukani anafika darasa la nne anauzofu wa kuuza duka lakini kama wa uswahili hapo ni uzoefu wa singeli, sherawadu, yangaa, makebo na efootball
Kuna madogo wa chuo mwaka wa tatu walikuja field, yaani wanachezea efootbal hawawazii kabisa kuhusu kujua kazi. Sasa unakaa unaji Uliza kizazi gani hiki?
 
Hali ni tete mkuu, wamatumbi ni watu wa ajabu sana. Na ukiwaambia ukweli wanakuona mjuaji
Afadhali wakuone mjuaji halafu iishie hapo.Wao watakuinukia kama wimbi - watakubeza, watakutukana (tena matusi ya nguoni), watakudhalilisha na hata kwenda kukujadili vijiweni.
 
Back
Top Bottom