Mtanisamehe kwa hili

Mtanisamehe kwa hili

Wacha kutokwa povu kimasihara ewe mmatumbi. It is a sign of mental weakness to attack a person who's living a better life than you. Endelea kuishi kimatumbi ukitegemea change
Sitoki povi wewe ndio unatoka povu 😅 umekula kwanza hapo kwa shemeji yako? au dada katoka😅
 
Kwani SGR na ndege siyo usafiri wa umma? Mbona sgr na ndege sikuizi wanagombea kabisa kupanda ....kilichokosekana kwenye daladala ni usasa tu ...tumia akili kujifunza kwa usafiri wa treni Tanzania...hadi mashirika ya ndege yana hofia kufirisika kwa sababu ya sgr ya kisasa ...pia kuhusu matajiri kuto kupanda usafiri ...wakati mwingine ni usalama wao mfano mawaziri wabunge wanaofia usalama wao kujichanganya sana na raia ni hatati kwao
Wacha porojo unajua ukweli kuwa kapuku habebeki. Usalama wao, kwani hawana walinzi? Kingine mtu mwenye ukwasi hawezi Kamwe Kuba ana na wa uka jasho kwenye daladala. Huo ndio ukweli Mchungu
 
Enyi wamatumbi mnao taka kuwahi magari ya daladala. Naombeni mnisamehe kwa bandiko hili ila naomba mjitafalari kidogo.

Hivi huwa mnajisikiaje ndani ya nyoyo zenu? Yaani unakuta mtu wa miaka kuanzia 35 na kuendelea eti na yeye anakaa kupambana na vijana wa miaka 20 kwenye daladala.

Wth is wrong with you guys? Hivi ni kwamba mmekata tamaa ya maisha Liwalo na liwe tu? Mimi sema kweli juzi gari la shem lilikua bovu so tu kasema instead of ubering gari ngoja nikapande gari za daladala just for fun maana ni muda mrefu sana.

So katika kufikia pale kituoni kulikuwa na abiria wengi sana, Ila cha kushangaza ni kuwa kulikuwa na watu wazima kabisa.. Yaani nikawa nawacheki wale watu nasikitika tu moyoni najiuliza hata 6M mtu anashindwa kweli kudunduiza akipata? Dah aisee alafu ukiangalia hata mindset za hawa watu, bado kabisa they are man child. Bado hawajakuwa kifikra, basi unaishia kusononeka tu.

Jamani hiki kitu so kizuri hasa kwa watu wazima. Imagine baba wa familia huna usafiri wako, inaitwa mzee wa Kaya. Hapo kuna watoto nyuma yako.. How does that feel?

Hivi wewe kweli una hisia? Kweli kabisa uko sawa kuona wenzako wanaishi maisha na wewe una survive? Kweli kabisa huna uchungu ndani yako wa kujifanya upambane not just for you, ila kwa ajili ya watu walio nyuma yako?

Atleast hata uwe example nzuri kwa wanao kuangalia? Ndugu zangu fanyeni kama kujihurumia. Angalieni mustakabli wa maisha yenu. Angalieni kuwa tayari umri umesha sogea na regrets za mtu mzima ni mbaya zaid ya kijana aliye kuja kubadilika na kutoboa.

Haya, kuna watu huwa wana nongwa. Wewe mwenye nongwa endelea kuona uko sawa mpaka siku utakapo kuja kidharauliwa na vitoto vya elfu mbili ndo utajua na maanisha nini.

Asubuhi njema. Na eny wamatumbi wahini kazin mkaendelee kufanya jambo lile lile kwa miaka 50 straight.

Nimemaliza.
Vijana wa millennia mkuje hapa..kuna ujumbe wenu..for sure ni aibu 35+ kupanda madaladala, waachieni hao gen z..nunueni hata baiskeli basi kama mmeshindwa magari.
 
Umesharudi? Si juzi ulisema unapumzika kuingia JF?

Ila naona angalau unajitahidi kutochanganya lugha japo bado kidogo. Endelea kujitahidi hivyo hivyo. Kwa mengine yote uliyoandika hapa unastahili tu kuambiwa Nyanoko faza! 😂😂😂
Ilikua detox ya muda mfupi tu
 
Swala sio shida ni kuonyesha upendo na shukrani, mbunge wa Moshi mjini Marehemu Ndesa pesa(Ndesamburo)form za kugombea Ubunge, walikuwa wanamchukulia machinga sio kwamba alikuwa hana pesa!usiwe mbishi kijana,zingatia HAya ya muhenga, utakuja kunishukuru.
Sasa ndo point ya kuleta mezani hiyo?
 
Unafanya umatumbi tu dogo , wala hakuna ulicho vuka zaidi ya kujitekenya na kucheka mwenyewe, jinsi upepo unavyovuma ndivyo nyetu za kuku zinazidi kuonekana.
Because mm sio manipulator huwa nikipiga napiga kwenye mshono kabisa
 
Back
Top Bottom