MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Yaani Dada yangu Farhia Middle hivi Waziri wa Maji Awesso kuwa 'Field' kuangalia Changamoto za upatikanaji wa Maji Mkoani Dar es Salaam ndiyo hadi Umsifu mpaka utake hata Kumkufuru Mwenyezi Mungu katika Kipindi chenu Kizuri cha Mazungumzo ya Familia cha leo ukiwa na Pacha wako Aboubakary Sadick?
Farhia Middle una uhakika kuwa huyu Waziri wako wa Maji Awesso tokea awepo hapo ameweza hata tu Kutatua 30% ya Changamoto za upatikanaji wa Maji Tanzania nzima achilia mbali tu Dar es Salaam na hapo Kwako Sinza?
Sitaki nikukandie (nikusilibe) kwani Wewe ni mwana Simba SC Mwenzangu (kama alivyo pia Mtangazaji mwenzako Aboubakary Sadick) halafu nakukubali mno kwa Utendaji wako, ila acha tabia ya kukurupuka kujipendekeza Kuwapongeza Watu ambao KEROZENE sioni kama kweli wanastahili Sifa na tunajua wengine hawatumbuliwi katika Nafasi zao kwa Utendaji mbovu kwakuwa hata huko Vijijini Kwao Bibi na Babu zao wanaogopeka sana kwa Ndumba (Ulozi)
Kitendo ulichokifanya leo cha Kumsifia Waziri wa Maji Awesso kuwa anafanya mno Kazi hakina tofauti na Kumsifia Golikipa Manula (wa Simba SC yetu) kuwa anaokoa zaidi Michomo wakati kumbe Kiuhalisia ndiyo Jukumu lake na analipwa kwa Kuwajibika hivyo.
Farhia Middle una uhakika kuwa huyu Waziri wako wa Maji Awesso tokea awepo hapo ameweza hata tu Kutatua 30% ya Changamoto za upatikanaji wa Maji Tanzania nzima achilia mbali tu Dar es Salaam na hapo Kwako Sinza?
Sitaki nikukandie (nikusilibe) kwani Wewe ni mwana Simba SC Mwenzangu (kama alivyo pia Mtangazaji mwenzako Aboubakary Sadick) halafu nakukubali mno kwa Utendaji wako, ila acha tabia ya kukurupuka kujipendekeza Kuwapongeza Watu ambao KEROZENE sioni kama kweli wanastahili Sifa na tunajua wengine hawatumbuliwi katika Nafasi zao kwa Utendaji mbovu kwakuwa hata huko Vijijini Kwao Bibi na Babu zao wanaogopeka sana kwa Ndumba (Ulozi)
Kitendo ulichokifanya leo cha Kumsifia Waziri wa Maji Awesso kuwa anafanya mno Kazi hakina tofauti na Kumsifia Golikipa Manula (wa Simba SC yetu) kuwa anaokoa zaidi Michomo wakati kumbe Kiuhalisia ndiyo Jukumu lake na analipwa kwa Kuwajibika hivyo.