GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,742
- 109,177
"Ni Balozi wetu na tunamshukuru kwa hilo. Kuna muda huwa ananikosoa kwa Kunipiga Madongo kwa Kuwatetea Kwangu Wanawake Wenzangu, ila kuna muda huwa napenda Hoja zake. Ninamfuatilia JamiiForums na ni Mtandao ambao kila mara naupitia" Farhia Middle Mtangazaji Nguli, Maarufu na Mrembo Radio One na ITV Asubuhi hii katika Kipindi Kizuri na ambacho GENTAMYCINE sikosi Kukisikiliza kila Jumapili Saa 1 na Nusu hadi Saa 4 Kamili kiitwacho Mazungumzo ya Familia.
Akhsante sana Dada Farhia Middle.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Akhsante sana Dada Farhia Middle.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!