Microsoft
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 623
- 366
Hii mitandao ya simu watatufanya tusilale usiku sasa..
Sio watafanya mkuu. ..tayari kuna watu hawalali muda wa kutosha usiku kutokana na hizi ofa
Hii mitandao ya simu watatufanya tusilale usiku sasa..
Sio watafanya mkuu. ..tayari kuna watu hawalali muda wa kutosha usiku kutokana na hizi ofa
Kumbe mlio oa usiku mnakua busy sanaHivyo vifurushi vya mabachelor! Kwa tuliooa hatuvifaidi hata kidogo. Walete vifurushi bomba vya mchana na wapunguze gharama zao. Mtandao wao kweli uko vizuri ila bei ya vifurushi vyao ni ghali sana.
Naona jamaa wame update packages zao
Tsh 1500 unapata 18GB kwa siku mbili(usiku tu)
Tsh 500 unapata 1.2GB Kwa usiku mmoja tu.
# ofa hii ni kuanzia saa tano usiku.#
Sijatest speed nasubiria saa tano ifike then ntaleta feedback.
Mkuu si wamebadilisha juzi juzi..tu...Mtoa mada aliandika hivyo baada ya kifurushi hicho kutangazwa....hiko cha 1500 ni siku moja na sio mbili km ulivyosema.
Hivyo vifurushi vya mabachelor! Kwa tuliooa hatuvifaidi hata kidogo. Walete vifurushi bomba vya mchana na wapunguze gharama zao. Mtandao wao kweli uko vizuri ila bei ya vifurushi vyao ni ghali sana.
Hivyo vifurushi viko vingi sana tatizo speed wanabana unakuta hata gb 2 hufikishi, vipi hao halotel speed ikoje, lakini bado airtel baba lao mia sita gb 10 ni sheeda
tatizo la airtel speed ndogo,ila halotel wako vizur
Hawa Jamaa Nuksi Usiku I see!poor kabisa halotel najuta kuunga hii night pack yaani wanabana speed mpaka kero dah..,,
Hii sasa ndo ya kupakulia series zangu, hal hala wasiete ujinga wao wa kulimit speed
Hawa Jamaa Nuksi Usiku I see!
Awawezi izo ni mbio za sakafuni tu na mwanzo wa bwebwe nyingiii ila ukwel awaeezi na verysoon network yao itaanza kusumbuaJamani ukweli Halotel kiboko,kazi zangu nyingi nafanyia porini,kila nikienda porini wiki mbili home wananisahau kwa mawasiliano huwa sipatikani hd nirejee,na kwenye whatsap ndio kabisaaa,sasa naenda porini full network haikati ukiangalia internet ndio usiseme maana haishuki H+ ht dakika moja,hongereni sana sana sana halotel,mkiendelea hivi tutahama mitandao yote ya tz.