Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,462
- 2,219
Habari wakuu,
Nawapa tu taarifa kama una laini ya halotel usijalibu kutumia Halo pesa maana utaliwa hela zako
Kisa kinaanzia APA mnamo j pili saa tatu usiku luku ikakata nikajalibu kununua umeme wa kiasi xxxx ilikuwa saa tatu na dakika 36 baada ya mda hakuna token yoyote ile nimekaa hakuna msg yoyote nikaona ninunue tena saa nne wakanitumia token mda huo huo msg ya Halo pesa kuingia wamekata pesa mara mbili
Ukiwapigia bra bra nyingi wanataka meter number namba yako baada ya dakika tano utapata umeme hola no umeme siku ya nne leo.
Mpaka kuweka pesa naogopa wasije wakafyeka zote.
Huu mtandao ni wakiuni.
Tuchukue Tahadhali.
Nawapa tu taarifa kama una laini ya halotel usijalibu kutumia Halo pesa maana utaliwa hela zako
Kisa kinaanzia APA mnamo j pili saa tatu usiku luku ikakata nikajalibu kununua umeme wa kiasi xxxx ilikuwa saa tatu na dakika 36 baada ya mda hakuna token yoyote ile nimekaa hakuna msg yoyote nikaona ninunue tena saa nne wakanitumia token mda huo huo msg ya Halo pesa kuingia wamekata pesa mara mbili
Ukiwapigia bra bra nyingi wanataka meter number namba yako baada ya dakika tano utapata umeme hola no umeme siku ya nne leo.
Mpaka kuweka pesa naogopa wasije wakafyeka zote.
Huu mtandao ni wakiuni.
Tuchukue Tahadhali.