TZ makampuni ya simu yenyewe pia majungu tu, hivyo vifurushi hata wiki tatu utashangaa havifiki.
Naona bongo inahitaji msaada wa google sasa maana wenzetu uganda sasa 10K wanapiga unlimited ya mwezi mzima.
Unlimited ya mtandao gani UG unapata unlimited kwa 10,000/= UGX ??
Naona jamaa wame update packages zao
Tsh 1500 unapata 18GB kwa siku mbili(usiku tu)
Tsh 500 unapata 1.2GB Kwa usiku mmoja tu.
# ofa hii ni kuanzia saa tano usiku.#
Sijatest speed nasubiria saa tano ifike then ntaleta feedback.
nunua simu ya 4g ukitafuta vizuri unazipata hata chini ya laki 1. utapata modem nzuri yenye kioo na inayoingia apps.
nunua simu ya 4g ukitafuta vizuri unazipata hata chini ya laki 1. utapata modem nzuri yenye kioo na inayoingia apps.
Hivi kuna mtandao bongo unaotoa unlimited internet kama zile za mbele,yaan unlimited kweli sio ya kisanii?
Simu gani yenye 4g unaweza pata chini ya 100, na zinapatikana wapi?
Ebu funguka vyema.
seems wameshusha nao, kifurushi cha usiku sasa hivi ni siku 1 tu na sio mbili, na nahisi kama wanapunguza speed ukijiunga hiki kifurushi na disconection za kutosha tu.
kuna yoyote ambaye speed yake ya mchana inafanana na akijiunga hiki kifurushi?
Naona jamaa wame update packages zao
Tsh 1500 unapata 18GB kwa siku mbili(usiku tu)
Tsh 500 unapata 1.2GB Kwa usiku mmoja tu.
# ofa hii ni kuanzia saa tano usiku.#
Sijatest speed nasubiria saa tano ifike then ntaleta feedback.
Hii imekaa poa. Pornhub itanikoma
Halotel wana speed sana asubuhi hadi jioni ila ikifika saa 2 usiku speed inakuwa ovyo pia inadisconnect sana.seems wameshusha nao, kifurushi cha usiku sasa hivi ni siku 1 tu na sio mbili, na nahisi kama wanapunguza speed ukijiunga hiki kifurushi na disconection za kutosha tu.
kuna yoyote ambaye speed yake ya mchana inafanana na akijiunga hiki kifurushi?