Mtandao wa simu wa Halotel umekuja na usiku pack

Mtandao wa simu wa Halotel umekuja na usiku pack

Naona jamaa wame update packages zao

Tsh 1500 unapata 18GB kwa siku mbili(usiku tu)


Tsh 500 unapata 1.2GB Kwa usiku mmoja tu.

# ofa hii ni kuanzia saa tano usiku.#


Sijatest speed nasubiria saa tano ifike then ntaleta feedback.

Mdau vp speed yake mda ndo huu
 
Naona jamaa wame update packages zao

Tsh 1500 unapata 18GB kwa siku mbili(usiku tu)


Tsh 500 unapata 1.2GB Kwa usiku mmoja tu.

# ofa hii ni kuanzia saa tano usiku.#


Sijatest speed nasubiria saa tano ifike then ntaleta feedback.

ebwana eeeh nina week 2 sijashusha seriez tngu tigo walete uch_oko wao naona halotel wananibeep ksho ntawapigia
 
airtel shida ni covarage yao mkuu.
kuhusu speed ndo tuna subir saa tano ifike tuone

airtel inachuja kwa kasi, speed yao imeshuka sana. kwa sasa naiona mzigo. nafurahi kutumia voda japo vifurushi vya airtel ndivyo nanunua. siku zote niliwasifia lkn kwa sasa hapana, natafakar namna ya kuhama kabisa.
 
kwa kweli soko la mitandao mipya nchini ni gumu ila kwa njia hii halotel watatusua ngoja nkasajili mapema
 
Safi sana huu upuuzi wa tigo umetuharibia sana! Line napata wapi mjini?
 
Naona bongo inahitaji msaada wa google sasa maana wenzetu uganda sasa 10K wanapiga unlimited ya mwezi mzima.
 
Daaah nasikitika huu uzi ndio nauona asubuhi....nilikuwa nanunua kile kifurushi cha MB800 Kwa TZS999 ila waliniuzi kitu kimoja tu...speed! Wanalimit speed ukifikia matumizi flani hivi...kama hii package ya usiku hawalimit speed basi itakuwa poaw...sana
 
Daaah nasikitika huu uzi ndio nauona asubuhi....nilikuwa nanunua kile kifurushi cha MB800 Kwa TZS999 ila waliniuzi kitu kimoja tu...speed! Wanalimit speed ukifikia matumizi flani hivi...kama hii package ya usiku hawalimit speed basi itakuwa poaw...sana

MB 800 unatumia kwenye simu au nini mkuu ?
 
TZ makampuni ya simu yenyewe pia majungu tu, hivyo vifurushi hata wiki tatu utashangaa havifiki.
 
jana nilitumia kwa modem ya huawei wireless spidi yao kwa modem inasoma 6 mbs na kwa IDM nikidownload ni 1 mbs

mkuu Srebrina hiyo modem ya wireless uliinunua wapi maana na mimi naihitaji sana hipo je ni universal?
 
Last edited by a moderator:
mkuu Srebrina hiyo modem ya wireless uliinunua wapi maana na mimi naihitaji sana hipo je ni universal?

nunua simu ya 4g ukitafuta vizuri unazipata hata chini ya laki 1. utapata modem nzuri yenye kioo na inayoingia apps.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom