Mtandao huu wa uhalifu wa wachina ufumuliwe

Mtandao huu wa uhalifu wa wachina ufumuliwe

....mziki wa uhamiaji ulipoisha ndio ikaanza sasa ule mtafutano na kuwindana mpaka siku walipokutana live na kusababisha kifo cha kijana wetu mtanzania aliyekuwa na ndoto nyingi
Kilipita kipindi cha kama mwezi mzima hivi kila upande ukisikilizia halafu baada ya hapo huyu mmoja akahamishia kambi masaki kwenye ghorofa moja( apartment) sijalitaja lakini kodi ilikuwa usd 2500 kwa mwezi, hapo akaongeza mabinti wengine wawili kwahiyo jumla akawa nao wanne
Huku biashara ikaendelea tena! Kulikuwa na Noa 2 full tinted na vijana wawili madereva , waliokuwa wanafanya kazi mpaka usiku wa manane
Iko hivi kijana anapokea oda toka kwa boss kuwa ampelekee mteja mzigo sehemu fulani akifika huko anamsubiri, akimaliza anapokea tena oda ya kumpeleka kwengine! Hawa mabinti walikuwa na nguvu ya ajabu kwakuwa kwao kulala na wanaume wasiopungua 6 kwa siku ni kitu cha kawaida sana
Mwezi ule ule likaja kundi lingine kwenye ile ghorofa, hawa walipanga floor ya pili wakati wale walipanga floor ya tatu....!
Hapo ukatokea tena mtafaruku mwingine lakini kipindi hiki ikiwa ni mabinti kwa mabinti bila kuwahusisha maboss...ugomvi ulikuwa mkubwa mpaka wa kukatana na visu na kuumizana sana... ..wote wakapewa notice ya saa 48 wawe wamehama....! Ikawa hamna namna wakahama......
Itaendelea
mshana jr hii nitaisoma hadi mwisho
 
Umenipa mwanga Juu ya mile nilichokuwa nahisi. Kuna mchina mmoja yeye gari lolote LA maana likipata ajali basis huwa anapewa taarifa na kufika police kulikaguwa Kwa ajili ya kulitengeneza au kulinunua. Na huyu ukienda karibu garage zote za spring city atapigiwa simu kama ndio bosi upatane nae Kwa matengenezo. Ame link mpaka na kampuni zote za insurance za Magari. Watu wako very corrupt na syndicated wanajenga network hata uhamiaji,dawasco,Tanesco sababu wanajua kukata kitu kidogo.

Kampuni moja ya kichina ya ujenzi sasa imekuwa kubwa walikuja hapa tz hata mtaji hawana lakini walinetwork na vibopa flank wenye mamlaka zao wakakopa na mtaji hata collateral waliitolea hapahapa.
 
KUNA KIPINDI NILIKUWA NAPIGA MISHE FULANI WATEJA WANGU WAKUBWA WALIKUWA NI WACHINA NLIKUJA KUJUA ISHU NYINGI SAANA WANAO ZIFANYA HAPA TANZANIA..IN SHORT HATA HUYO MAMA MALKIA WA PEMBE NSHAKUTANA NAYE SANA TU,WAKATI ULE ALIKUWA NA HOTEL BEIJING RESTAURANT OPP NA SHOPERZ PLAZA,WANA DEALS NYINGI SANA NA MAGUMASHI...HIYO MAMA WAKUBWA WA POLICE WOTE ALIWATIA MKONONI,ALIKUWA PIA KAMA MKALIMANI WA BALOZI WA CHINA HAPA TZ.
WACHINA WANA GENGE WANAFANYA UHALIFU SANA HAPA TZ.

OVA
[emoji144] [emoji144] so sad
So interesting!
Cc Mwigulu Nchemba
 
Wachina si wabaya lakini no watu wanaohitaji surveillance ya ukaribu wako sawa na wanaijeria hawa watu.
 
SERIKALI IWE MAKINI NA WACHINA WA FU JIAN
sio wachina wote ni wabaya kivile, lakini wachina wa FU JIAN ndio wenye matukio sana ndio maana baadhi ya mataifa wakiangalia mchina husika anatoka huko hawampi visa sisi huku hatujastuka...lakini ndio hawa wengi wanaofanya biashara za kamari hapa nchini

Kisa hiki cha mwaka jana
Kuna mchina alitafuta mabaunsa wa kumlinda (huyu mchina alikuwa na ugomvi na wenzake, wote ni wamiliki wa madanguro, hivyo wakapokonyana wateja)
akapata vijana watatu mabaunsa toka gym moja mwananyamala akawa anatembea nao popote aendapo
Siku moja akiwa na mabaunsa wake akakutana na wale wachina wengine zikapigwa kung fu za kufa mtu lakini wale walipozidiwa walimpiga risasi binti wa huyu mchina mwenye walinzi
Baunsa mmoja kuona vile akataka kumvamia yule mchina mwenye silaha ili ampokonye, aliishia kulishwa risasi 12 mwilini
Hii kesi haikufika popote na Baunsa alizikwa kwao bagamoyo kwa msaada mkubwa wa mchina
Kuna mengi ya wachina jamani


Tanzania giza nene, kama kisa hiki hakikujulikana na tuna vyombo chungu mzima vya usalama, basi tupo hatarini
 
SERIKALI IWE MAKINI NA WACHINA WA FU JIAN
sio wachina wote ni wabaya kivile, lakini wachina wa FU JIAN ndio wenye matukio sana ndio maana baadhi ya mataifa wakiangalia mchina husika anatoka huko hawampi visa sisi huku hatujastuka...lakini ndio hawa wengi wanaofanya biashara za kamari hapa nchini

Kisa hiki cha mwaka jana
Kuna mchina alitafuta mabaunsa wa kumlinda (huyu mchina alikuwa na ugomvi na wenzake, wote ni wamiliki wa madanguro, hivyo wakapokonyana wateja)
akapata vijana watatu mabaunsa toka gym moja mwananyamala akawa anatembea nao popote aendapo
Siku moja akiwa na mabaunsa wake akakutana na wale wachina wengine zikapigwa kung fu za kufa mtu lakini wale walipozidiwa walimpiga risasi binti wa huyu mchina mwenye walinzi
Baunsa mmoja kuona vile akataka kumvamia yule mchina mwenye silaha ili ampokonye, aliishia kulishwa risasi 12 mwilini
Hii kesi haikufika popote na Baunsa alizikwa kwao bagamoyo kwa msaada mkubwa wa mchina
Kuna mengi ya wachina jamani
Mh am toungue tied. Mh we mtoto mh. Malizia siendelei.
 
Mbona kwenye Uzi wake, kataja vijana wa kike na wa kiume wa kitanzania nao wanahusika kwa namna moja ama nyengine? Mumsome tu vizuri mtamuelewa, na zaidi kasema hapo atafafanua baadae hilo la Logistic.

Nashukuru maelezo yangu yamefika, maana daah nilitoa macho kweli, na ningesikitika kama nilivyosikitika leo muda mfupi uliopita, kuna mwenzetu alileta uzi wa tatizo la kaka'ke kuwa ni shoga, nikaandika maombi na maoni yangu weeee, daah si yakakataliwa aisee, na Jf hakuna mahala pa Ku-save pointi zako ili zikigoma uongeze bando, urudi kuzitupia tena. Kwa kweli iliniuma sana. Na pia Jf hakuna pa ku-like post yako.

mengine mawazo na nyuzi zako, binafsi nakufuatilia sana, hujui tu, hata nisipo-like maelezo yako ila kaa ukijua nakufuatilia sana kwa kAgain, Mshana Jr, ahsante kwa hili na uwa najifunza machache mazuri tokea kwako.

Ahsante!
mengine mawazo na nyuzi zako, binafsi nakufuatilia sana, hujui tu, hata nisipo-like maelezo yako ila kaa ukijua nakufuatilia sana kwa kAgain, Mshana Jr, ahsante kwa hili na uwa mazunajifunza machacheri tokea kwako.

Basi humfatilii machache tuu?
 
Nmeshaanza kuona dalili ya kuwapo genge la mafia wa kichina almaarufu triads hapa tanzania
 
Back
Top Bottom