Lavan Island
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 2,378
- 2,057
Hata sikujua kumbe alietekwa ni mwanamke ?duh
kuna mchina alikuwa na tabia hiyo wabongo wakamvizia wakamuua ..Kuna vijana wetu pia wanateswa sana kwenye majumba ya wachina wengine mabinti wanaliwa mtungo huku wakirekodiwa
Hapo kuwananii dada zetu, That's too much!!! Serikali yetu nayo kwa kujidai vipofu miksa viziwi hawajambo!!!Kuna vijana wetu pia wanateswa sana kwenye majumba ya wachina wengine mabinti wanaliwa mtungo huku wakirekodiwa
Aiseeeee Daaah!!! hapo kwenye maji ya Kilimanjaro hadi nimejiona ni mfu nayetembea.UFUKUZE WAWEKEZAJI WA CCM WEWE NI MCHOCHEZI
View attachment 424881 View attachment 424882 View attachment 424883 hapo wameshikwa wakitengeneza maji ya kilimanjaro wanatumia maji ya bomba.
swissme
Hapa ndipo naona jinsi jeshi letu la polisi lilivyo “makini”[emoji125]SERIKALI IWE MAKINI NA WACHINA WA FU JIAN
sio wachina wote ni wabaya kivile, lakini wachina wa FU JIAN ndio wenye matukio sana ndio maana baadhi ya mataifa wakiangalia mchina husika anatoka huko hawampi visa sisi huku hatujastuka...lakini ndio hawa wengi wanaofanya biashara za kamari hapa nchini
Kisa hiki cha mwaka jana
Kuna mchina alitafuta mabaunsa wa kumlinda (huyu mchina alikuwa na ugomvi na wenzake, wote ni wamiliki wa madanguro, hivyo wakapokonyana wateja)
akapata vijana watatu mabaunsa toka gym moja mwananyamala akawa anatembea nao popote aendapo
Siku moja akiwa na mabaunsa wake akakutana na wale wachina wengine zikapigwa kung fu za kufa mtu lakini wale walipozidiwa walimpiga risasi binti wa huyu mchina mwenye walinzi
Baunsa mmoja kuona vile akataka kumvamia yule mchina mwenye silaha ili ampokonye, aliishia kulishwa risasi 12 mwilini
Hii kesi haikufika popote na Baunsa alizikwa kwao bagamoyo kwa msaada mkubwa wa mchina
Kuna mengi ya wachina jamani
Jamani,so sad aiseeee, ina maana Serikali yetu hawajui kabisaaa haya mamboSERIKALI IWE MAKINI NA WACHINA WA FU JIAN
sio wachina wote ni wabaya kivile, lakini wachina wa FU JIAN ndio wenye matukio sana ndio maana baadhi ya mataifa wakiangalia mchina husika anatoka huko hawampi visa sisi huku hatujastuka...lakini ndio hawa wengi wanaofanya biashara za kamari hapa nchini
Kisa hiki cha mwaka jana
Kuna mchina alitafuta mabaunsa wa kumlinda (huyu mchina alikuwa na ugomvi na wenzake, wote ni wamiliki wa madanguro, hivyo wakapokonyana wateja)
akapata vijana watatu mabaunsa toka gym moja mwananyamala akawa anatembea nao popote aendapo
Siku moja akiwa na mabaunsa wake akakutana na wale wachina wengine zikapigwa kung fu za kufa mtu lakini wale walipozidiwa walimpiga risasi binti wa huyu mchina mwenye walinzi
Baunsa mmoja kuona vile akataka kumvamia yule mchina mwenye silaha ili ampokonye, aliishia kulishwa risasi 12 mwilini
Hii kesi haikufika popote na Baunsa alizikwa kwao bagamoyo kwa msaada mkubwa wa mchina
Kuna mengi ya wachina jamani
Ukienda kwenye makampuni ya barabara utawakuta wanafanya kazi mpaka za vibarua hali ya kuwa wazawa wanakosa kazi, ikitokea mradi umeisha ndo wanaanza kujiingiza kwenye kazi ya ujangili, naomba serikali yetu tukufu isiwaonee haya hawa jamaaAma kweli wachina wana unasaba na ccm ukitibua mishe zao kesho utaamkia mabwepande huna kucha wala meno na ni majaaliwa ya Maanani kukuacha na roho yako!!
Wachina ni watu wenye dharau sana aisee
Hawa watu kumbe ni washenzi kiasi hiki.!
kuna mchina alikuwa na tabia hiyo wabongo wakamvizia wakamuua ..
Jamani,so sad aiseeee, ina maana Serikali yetu hawajui kabisaaa haya mambo
Hawa wachina kumbe ni wapuuzi kiasi hiki
mkuu permit wanapewa sema pale uhamiaji wanakula pesa zao sana1.
2.
3.
4.
Nawachukia sana hawa watu, nafikiri matendo yao wanaonyesha ni kwa jinsi gani wanatudharau sisi watanzania. Sehemu kubwa ya wachina wanaokuja wana tabia zinazofanana.
Viongozi watu wamewakumbatia sana, hasa awamu iliyotoka walipata kichwa sana, hata alipokuja kiongozi wao mkuu waliona kama ndio wamekubaliwa sana, sina hakika kama wana permit za kuishi hapa Tz.
Uhamihaji watakuwa wanahusika sana nahawa watu, unapewaje permit kama huna shughuli inayoeleweka?mkuu permit wanapewa sema pale uhamiaji wanakula pesa zao sana
unakuta wanatoa permit kampuni moja manager kumi .. halafu wanakuja huku wanafanya kazi za wabongo... kingine uhamiaji wanakula rushwa sana kutoka kwa hawa watu.. wakiwakamata wachina wanawauliza unataka shilingi ngapi?Uhamihaji watakuwa wanahusika sana nahawa watu, unapewaje permit kama huna shughuli inayoeleweka?