Mtake msitake Zitto ni jembe

Status
Not open for further replies.

Mkuu Mwita Maranya
Na wewe unataka kuwa kama wale vijana wanaofadhiliwa na wanaume wenzao hapo mjini? Sikujua kama unatoa misaada midogomidogo kama hiyo; Mkuu rudi tena kwenye maandiko matakatifu mtakatifu Paulo ameyakemea sana mambo hayo; starehe ninayoipata kwa mwanamke inanitosha sana.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Chama wa Gongo la mboto, nakuheshimu na kuthamini mawazo yako binafsi hata kama siyaafiki, huna sababu yoyote ya kunidharirisha kisa tofauti ya mitazamo yetu. Naamini huo sio utamaduni wa kisomi.

Mkuu Gwalihenzi
Sikuwa na maana ya wewe unafadhaliwa hapo mjini mambo hayo ni ya vijana watanashati kina B8

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:

Mkuu wangu chama,

Nadhani haujaelewa logic ya maandiko yangu. Nilikuwa (and still i am) very clear kwamba, tangu miaka hiyo niliyoitaja, nilikuwa Jambo na DHW/DHB kama msomaji tu; na wala sikuwa member hadi majuzi (March 2012) nilipoachakuwa guest na kuwa member.

Miaka 6 ya kusoma na kuona ya JF ni mingi sana. Sina jipya la kulisikia kutoka kwa Waberoya, Malaria Sugu na wahafidhina wengine kwa kuwa nimekuwa nikiwasoma tangu enzi.

Wlau hapa utakuwa umenisoma kidogo.
Halafu Mkuu wangu, unaandika 02am ukidhani wengine tunakesha humu? Kwa tofauti yetu ya masaa, unakuwa unanitesa sana.

1. Kuna jirani yako pale Gombs anaumwa; uliwasiliana naye na kumpa pole?
2. Mjadala/Mdahalo wa Jumatano saa mbili usiku utakuwepo?

Wasalaam,
 
Last edited by a moderator:

Hadithi yako ni sawa mashairi ya Shaaban Robert; bado hujanihabarisha kwenye hilo; nitakubali tu kufupisha mjadala ila ndani ya nafsi yangu; hizo ni fix tu mkuu ni PM nijue ID yako wewe mkongwe ndani ya jamvi si tu ulikuwa unasoma kama guest bali ni mchangiaji mkubwa; majirani wagonjwa wapo wengi yupi unamuongelea nimtilie dua apate ahaueni: mjadala j5 saa ngapi kwa saa za Tanzania?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Misemo ya jembe ni kishamba na imepitwa na wakati. Huyu kijana kachezea nafasi yake kwa ulevi tu wa madaraka. Hafai kabisa. Halafu nafurahi sana jinsi ambavo hachukuliwi hatua maana hii inamkosesha usingizi akisubiri nini kitatokea kama mtu aliyefumaniwa na asisemeshe chochote.
 

Tupo pamoja mkuu. Zitto ni zaidi yawanavyo mfikiria na ndie Rais ajae watake wasitake....
 
starehe ninayoipata kwa mwanamke inanitosha sana.
Chama
Gongo la mboto DSM

Sasa chama kama kweli mke wako anakupa starehe inayokutosha, yanini kushupaza shingo kuzungumzia starehe wanazopewa wanaume wenzako na wake zao?
 
Last edited by a moderator:
kaka ni kweli kabisa! nakupa tano Zitto ni jembe!
 
Huo mdomo ndio unaolia na chakula? Penye ukweli watu watasema, hakuna anayesema Zito hajui kujenga hoja, suala la msingi ni hizi element za kiusaliti zinazoaanza kumuhusisha yeye. Pia unafanya makosa makubwa kuwadharau au kuwaita waropokaji Mbilinyi, Mnyika, Msigwa!!!!!!!!!!!!! Au wewe ndiye msemaji wa Zitto au ndio mropokaji namba moja? Tujadili ualisia wa jambo badala ya kukurupuka na kukimbia hoja za msingi
  1. Jembe sio lazima lilime
  2. Likilima sio lazima lipande mbegu
  3. Likipanda sio lazima mbegu ziote
  4. Zikiota sio lazima zisitawi
  5. Zikisitawi sio lazima zizae matunda
  6. Zikizaa matunda sio lazima yawe matunda bora
Sisi tunata jembe litakalo sabababisha uzao wa matunda bora na sio matunda yasiyofaha kuliwa kama yakina


  • Mchange
  • Mwampamba
  • Shonza
  • Gwakisa
  • Festo Sanga
  • :majani7:
 
 
Sasa chama kama kweli mke wako anakupa starehe inayokutosha, yanini kushupaza shingo kuzungumzia starehe wanazopewa wanaume wenzako na wake zao?

Mkuu Mwita Maranya
Babu alioa au anaishi na kimada? hebu nikumbushe ndoa ilifungwa kanisa gani?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
labda jembe la kulimia dawa za kichawi kwa ajili yakunywesha masalia wenzie
 
hana confidence mbona kaogopa kutaja walioficha pesa nje ya nchi?mimi namwona mtu anayeyejitafutia sifa kupitia migongo ya watu.
jembe kwa wale wajinga na siyo kwa watu makini tunaofuatilia siasa uchwala za nchi hii.ushabiki utawapeleka pabaya.
 
Hakika nyie wachaga endeleeni kumchafua zzk lakini watanzania tuliowengi tunafahamu uwezo wake na Mungu ata muinua
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…