Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,672
- 2,697
Elimu, malazi (visit AirBnB), usafiri etcUkiacha huduma ya miamala. Kuna huduma ingine unaweza toa?
Elimu, malazi (visit AirBnB), usafiri etcUkiacha huduma ya miamala. Kuna huduma ingine unaweza toa?
Hata chakula ni utoaji wa hudumaUkiacha huduma ya miamala. Kuna huduma ingine unaweza toa?
ThanksElimu, malazi (visit AirBnB), usafiri etc
Ndo ubongo wako ulipoishia hahahaacha ukuda wewe kaweke heshima bar ela enyewe ndogo
Hahahaha kwahyo yote ungepeleka kwenye ku betMimi Ni Gwiji wa kubet. Nisije kukushauri upuuzi ndugu yangu.
Ngoja waje wajuvi
Hahahaha kwahyo yote ungepeleka kwenye ku bet
Tuanze na hobby yakoWapendwa katika pilikapilika zangu za mtaa, mpaka sasa Nimejaaliwa na kiasi cha Tsh 1 0000 000/= Milioni 1. Ushauri wenu utakuwa muhimu sana kwangu, kwani naamini humu kuna wazoefu wengi wa Biashara. Sihitaji kukurupuka. Maoni yenu biashara gani itafaa kwa Mtaji huo?? Nipo Arusha.
ulifanikiwa my dearNiliamua kutafuta mtaji kwa udi na uvumba mpaka nikazifuata hela mikoa ya nyanda za juu kusini mtoto wa kike. Sasa nimerudi jijini nikiwa na mtaji kidogo tu ambao kichwa kinaniwaka sijui nifanyie biashara ipi kati ya hizi
1. Nifungue grocery ya kisasa
2. Nifungue mgahawa
3. Nifungue saloon ya kike
4. Nifungue duka la nguo za mitumba
5. Nifungue genge la kisasa
Mtaji wangu ni zaidi ya mil 5.
Naomba mawazo yenu wajasiriamali mliotutangulia. Nahitaji na mchanganuo kama itawezekana maana nahitaji na nipo tayari kujisimamia
Karibuni sana
Mkuu unajua miji mingapi?Mie nimeongelea "mijini" wewe unaongelea "mji" labda unaangalia mji mmoja ambao wewe una uzoefu nao. Mfano mie najua mwanamama ambaye anafanya hii kazi na anapiga hela za kutosha.mjini utapata wateja gan .... labda uuze mahindi ya makande