Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

Mimi ni mfanyakazi wa Serikali nipo Mbeya, nina elimu ya degree ya sheria, ila ninafanya kazi tofauti na sheria, hivyo kutokana na ugumu wa maisha nimeona bora nikope bank ili niweze kuanzisha biashara kwa ajili ya kuongeza kipato.

1. Sifurahishwi na Mwanasheria kukopa benki milioni 2 kama mtaji wa kuanzisha biashara wakati wanasheria straight toka vyuoni ndio wanalipwa ujira huo wakiwa Legal Officer tuu kwenya law firms!.

Mkuu Pasco hii law firm inayomlipa legal officer 2M ipo eneo gani hapa TZ nitupe kila kitu nikawe legal officer hapo??
 
Last edited by a moderator:
nikujipanga kila kitu kinawezekana!mana unaweza pata hela nyingi kuliko mtumishi wa serikali!
 
Hili sio wazo zuri kabisaa.
Jela itamwita,inamaana kila miezi kumi anatafuta madereva wapya.Hii mikataba ya kizamani sana na walioingia kichwa kichwa kwa tamaa,siku hizi mtu anakuletea 50,000 na bado pikipiki inakuwa yako.Ingekuwa hivyo basi hadi watu wa daladala zingekuwa zao.

Rudi giningi we mwali.

50,000????
Ebu fafanua vizuri mkuu...
 
Ninawaomba kama wewe ni muhitaji na unayomalengo karibu tufanye biashara bora inayolipa yenyekutumia mtaji kidogo na kuleta faida kubwa kwa mjasiliamali. Karibu tushirikiane kuleta mabadiliko ya msisha. Mtaji ni kuanzia TZS 250,000/= TU.
 
Ninawaomba kama wewe ni muhitaji na unayomalengo karibu tufanye biashara bora inayolipa yenyekutumia mtaji kidogo na kuleta faida kubwa kwa mjasiliamali. Karibu tushirikiane kuleta mabadiliko ya msisha. Mtaji ni kuanzia TZS 250,000/= TU.

Jaribu kutoa japo ABC za hiyo biashara unayoongelea...
 
Katika entrepreneurial skills unatakiwa kuwa na business plan kwanza, then plan itagharimu kiasi fulani. Hivyo capital ni swala linalojileta lenyewe. Usipofuata principle hii hutafanikiwa kama mjasiria mali.

Naomba kuwakilisha

Good point mkuu
Hii ndo key point kabla ya kuanzisha biashara
 
Wadau habarini humu,mimi nipo geita,nina kiasi cha Tsh.2million,nimejaribu kuchekecha kichwa nimeona bora nifanye biashara ya kuuza weaving,wigs,Rasta na ikiwezekana pia pad na pampers za watoto lkn cjui wapi ntanunua kwa jumla,faida,gharama zikoje na mchanganuo wake in general,msaada jamani tafadhari..km kuna msaada tafadhari naomba nitoe mawasiliano ya ziada pia.
babanasreen8@gmail.com.
Nitafaidika sana km ntapata msaada.
 
Wadau habarini humu,mimi nipo geita,nina kiasi cha Tsh.2million,nimejaribu kuchekecha kichwa nimeona bora nifanye biashara ya kuuza weaving,wigs,Rasta na ikiwezekana pia pad na pampers za watoto lkn cjui wapi ntanunua kwa jumla,faida,gharama zikoje na mchanganuo wake in general,msaada jamani tafadhari..km kuna msaada tafadhari naomba nitoe mawasiliano ya ziada pia.
babanasreen8@gmail.com.
Nitafaidika sana km ntapata msaada.

Kama upo geita si uende kampala nauli nadhani ni 35,000 hiyo hela uliyo nayo unaizidiasha kwa 1.62 ndo unapata kiasi gani kwa fedha za uganda kwaio kwa hela yako mawig utapata, pampers, na makoro koro kibao au kama unaweza uende dar kariakoo kwaio chagua wapi panakufaa na wapi karibu zaidi
 
Wadau habari zenu naitaji kufanya business ila sina wazo business gani nianze capital au mtaji ni one million naomba ushauri jamani ni biashara gani naweza kuaza kwa hiyo capital? Msinikatishe tamaa naombeni sana. ..
 
Back
Top Bottom