Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,487
Usiige biashara utalia na kusaga meno fanya unachokipenda
Hakuna biashara ya peke yako jombaa
Usiige biashara utalia na kusaga meno fanya unachokipenda
Kumbe nawe ume mfollow; insta nime follow watu ambao wanaoweza ongeza kitu tu katika maisha yangu.Namfahamu...haaha ana bahat yake
Kumbe nawe ume mfollow; insta nime follow watu ambao wanaoweza ongeza kitu tu katika maisha yangu.
Ana ni insipire sana yule binti, na kuna mwingine anaitwa Malembo farm naye namfuatilia toka kuchunga ng'ombe za tajiri yake mpaka sasa anamiliki kampuni yake na ameajili mpaka mtu wa level ya phd
Yani Mimi siamini kama nimeacha I got addicted na betting nanilikuwaga naweka kuanzia laki mmoja kwenda juu; ili nikila nile haswa na nikiliwa niliwe haswa
Nalijua hilo mkuu;na hata ikitokea umeiga basi uje na njia tofauti ama ubunifu zaidi ya mwenzioUsiige biashara utalia na kusaga meno fanya unachokipenda
mwamba katishaaa 😆😆😆
We jamaa bhana
Sijamfollow insuch..niliwah muona you tube..mie kuhusu kilimo nilishachefukwa wala sinaga mzuka kbs nacho...yaan walaa
Kilimo ni bora uwe broker vinginevyo utapigwa adi uchakae
Aisee! nimetumia nguvu kubwa mno kukuelewa
Hahahaha siku si nyingi tutakuwa majiraniSijamfollow insuch..niliwah muona you tube..mie kuhusu kilimo nilishachefukwa wala sinaga mzuka kbs nacho...yaan walaa
Karibu sana mkuuHahahaha siku si nyingi tutakuwa majirani
Wory out; though naja kwa issues zingine ila ntakuwa naijia kuchungulia maujanja
Ndio lakini kabla ya kuianza inatakiwa ufanye upembuzi yakinifuHakuna biashara ya peke yako jombaa
Mzee kuna siku sikwendaga chuo kwa hasira nakumbuka nilitia 250, pesa ikawa Ikawa inakuja kama 980. Nikabakia na msubiri mnyama arsenal naye mpaka half time akawa anaongoza 3.0Yani ukipunwa adi msosi huli
Mzee kuna siku sikwendaga chuo kwa hasira nakumbuka nilitia 250, pesa ikawa Ikawa inakuja kama 980. Nikabakia na msubiri mnyama arsenal naye mpaka half time akawa anaongoza 3.0
Nikajisemea hii laki 9 nimeshaila nikaanza kuipigia na bajet kabisa, kipindi cha pili wasije na come timu pinzani dakika ya 90 Anderlecht anatia goli 3. Matumaini yanakufa.
Siku pouwa siku nzima maana ile hela nilikuwa nimeshaanza ipigia bajet
Aje kule aweke kitako kumsubiri PROFESSOR yaani hiyo nyingi sana
Watu wanavuta 500k+ kwa siku kwa lak 200k tu mtaji
Sasa yeye akiweka mil2 anavuta mil5 kwa siku.
Kazi kwake.
GG.
Home over 1.5, No red Card, Penalty awarded (NO).
2.00*2.5mil=5mil in less than 24 hours.
..i wish...!
Samandito?kuna lodge kahama tamu balaa..mwenye lodge yy anadili na dagaa tu..bahati nzuri nikakutanishwa naye niliona uvivu ghafla....!